Nimeshuhudia mechi nyingi za waarabu. Mechi zao ni fitina na ulaghai wa kila namna.
Watanzania tujifunze fitna kwani wenzetu wana fitna nyingi sana.
Yaani kila saa hata wakiguswa shati anabiringita mara mia. Sijui haya ni mashoga.Takataka kabisa.
Hivi hii safari ya Starz ina kibali cha Ikulu?
Mimi huwa namkubali marcio maximo sema fitina tu za watz
Msihofu tumeshampelekea Jecha malalamiko,ameahidi atayafuta matokeo
Nimeshuhudia mechi nyingi za waarabu. Mechi zao ni fitina na ulaghai wa kila namna.
Watanzania tujifunze fitna kwani wenzetu wana fitna nyingi sana.
Yaani kila saa hata wakiguswa shati anabiringita mara mia. Sijui haya ni mashoga.Takataka kabisa.
Msihofu tumeshampelekea Jecha malalamiko,ameahidi atayafuta matokeo
kiwango chetu kiko chini, ukweli raini kabisa
Jecha yupo?