Kulikoni Bulembo, kaufyata?

Kulikoni Bulembo, kaufyata?

Huyo naye ilisemekana alitafuna milioni 876 za umoja wa wazazi. Huko ni shida tupu. Ni mwendo wa kuumbuana kwakuwa Hakuna aliye safi.
 
Kakumbuka akiwa hajachelewa kumbe anaishi nyumba ya fulusuti kiyoo.
 
Aina ya siasa tuliyonayo hailisaidii Taifa letu.

Viongozi wanamtetea Rais na sio kuangalia maslahi ya Nchi.

Hiyo ni approach mbaya.

Tunahitaji kubadilika.

Rais atakuja na atapita ila Taifa linabakia pale pale.

Hivyo tunapaswa kuangalia katika jambo linojadiliwa je nini ni maslahi ya Taifa na sio nini ni maslahi ya mkuu wa nchi au yeye anapenda kusikia nini.
Katiba mpya ni maslahi ya taifa wewe mataga?
 
Ilikuwa ni vigumu kwa Bulembo kutokumjibu yule mwamba wa Kongwa.

Ajabu kimya kimetamalaki kutoka kwa mustaafu mpenda kutoa majibu kwa wale wote wakisemacho chama vinginevyo.

Kaufyata?!
Alishikwa sehemu za siri kuhujumu shule zajumuia ya wazazi.
 
Slow slow alisema yeye hamuwezi bulembo kwani jamaa ana. Historia chafu sana za utapeli na ushirikina [emoji1787]
 
Aina ya siasa tuliyonayo hailisaidii Taifa letu.

Viongozi wanamtetea Rais na sio kuangalia maslahi ya Nchi.

Hiyo ni approach mbaya.

Tunahitaji kubadilika.

Rais atakuja na atapita ila Taifa linabakia pale pale.

Hivyo tunapaswa kuangalia katika jambo linojadiliwa je nini ni maslahi ya Taifa na sio nini ni maslahi ya mkuu wa nchi au yeye anapenda kusikia nini.
Acheni unafiki, kama mnataka siasa za kuweza kulisaidia hili taifa leteni KATIBA MPYA ndio suluhisho
 
Ilikuwa ni vigumu kwa Bulembo kutokumjibu yule mwamba wa Kongwa.

Ajabu kimya kimetamalak
FB_IMG_1640798433279.jpg
i kutoka kwa mustaafu mpenda kutoa majibu kwa wale wote wakisemacho chama vinginevyo.

Kaufyata?!
 
Huyo Mzee angetulia akalea wajukuu tu.

Press conference nzima anatajataja majina tu kama wimbo wa Bwana Misosi.

Bila shaka wanae au wazee wenzie wamemwambia anaimba nje ya mdundo akae kimya.
 
Aina ya siasa tuliyonayo hailisaidii Taifa letu.

Viongozi wanamtetea Rais na sio kuangalia maslahi ya Nchi.

Hiyo ni approach mbaya.

Tunahitaji kubadilika.

Rais atakuja na atapita ila Taifa linabakia pale pale.

Hivyo tunapaswa kuangalia katika jambo linojadiliwa je nini ni maslahi ya Taifa na sio nini ni maslahi ya mkuu wa nchi au yeye anapenda kusikia nini
binafsi nimekuelewa sana mkuu....heshima kwako&ubarikiwe.
 
Aina ya siasa tuliyonayo hailisaidii Taifa letu.

Viongozi wanamtetea Rais na sio kuangalia maslahi ya Nchi.

Hiyo ni approach mbaya.

Tunahitaji kubadilika.

Rais atakuja na atapita ila Taifa linabakia pale pale.

Hivyo tunapaswa kuangalia katika jambo linojadiliwa je nini ni maslahi ya Taifa na sio nini ni maslahi ya mkuu wa nchi au yeye anapenda kusikia nini.
[/QUOTE

hahahahaha nimejikuta nacheka tu...
 
Ilikuwa ni vigumu kwa Bulembo kutokumjibu yule mwamba wa Kongwa.

Ajabu kimya kimetamalaki kutoka kwa mustaafu mpenda kutoa majibu kwa wale wote wakisemacho chama vinginevyo.

Kaufyata?!
SHULE ZA Wazazi ALIZOZIUA NA KULA HELA NDIO ZIMEMFANYA AUFYATE
 
Back
Top Bottom