Unafikiri kuzomewa rais kumemshushia heshima kiasi gani katika jamii yake(wananchi wake) unadhani uyo rais baada ya kuzomewa aliathirika kiasi gani kiakili kitu ambacho kinaweza kuchangia kufanya maamuzi ya kitaifa yasiyo na tija kwa taifa?
Kama wanausalama wangegundua hili jambo mapema wangeweza kumuepusha rais na hiyo aibu kwa kuchukua hatua mbadala ie kuahirisha hiyo hotuba (ratiba ) au kuwadhibiti katika vizuizi vya upekuzi magetini kwa kuwanyanganya izo filimbi nk
Kama wanausalama wangegundua hili jambo mapema wangeweza kumuepusha rais na hiyo aibu kwa kuchukua hatua mbadala ie kuahirisha hiyo hotuba (ratiba ) au kuwadhibiti katika vizuizi vya upekuzi magetini kwa kuwanyanganya izo filimbi nk