Dah hiyo ya filimbi ni comedy tosha nimecheka ile mbayaSio kuzomea, waliingia na filimbi
Ficha upumbavu wako....punda wewe!!!!!Huku wakileta ujinga namna hiyo mwiisho wao 2020 hakuna nyumbu atakayechaguliw kuingia bungeni kwakuwa Magufuli ni sauti ya wanyonge
Afadhali mmetoa taarifa mapema igeni tuBado huku kwetu, nkurunzinza wetu ni lazima azomewe bungeni
Hii ni aibu sana kwa rais na serikali yake kwa ujumla.pia inaonyesha madhaifu makubwa sana (mnoo) kwa idara yao ya usalama hasa kitengo cha inteligence
Hahaha!Eti punda?Heri nyumbu!Ficha upumbavu wako....punda wewe!!!!!