Kulikoni kwenye Bongo Fleva?

Kulikoni kwenye Bongo Fleva?

incredible terminator

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2016
Posts
2,498
Reaction score
4,162
Habari zenu wakuu.

Naomba tushauliane hapa, yawezekana hili naliona peke yangu.

Kwanini wasanii wa bongo fleva ikitokea msanii akavuma sana ndo unakuwa mwanzo wake wa kupotea?

Mbona wenzetu wa nigeria msanii anaweza kutoa hata ngoma moja na akavuma the whole Africa hadi nakuchukua Tuzo za MTV ... na ma awards kibao

Mfano Vijana wa nigeria akina
Wizzkid Ayo
Tekno miles..
Koledebello...
Patoraking..
ETC

Ni kama wameanza kusikika na Vijana wetu Akina
Baraka da prince...
Moo music..
Aslay....
Darasa...
Belle 9
Ben poul

Ila cha ajabu wenzetu wanapanda chati kila kuchapo huku kwetu ndo kwanza Vijana wetu ndo tunaanza kuwazika katika game na kusahaulika.

Mfano Moo music ndo basi yupo kama hayupo...
Baraka da prince ndo huyo yupo kwenye mseleleko kuelekea bondeni huko akauze samaki
Darasa ndo tena hatujui anafanya nini huko alipo
Belle 9 Ndo kashaanza kucheza ndondo cup collable na akina msaga sumu[emoji23] [emoji23]
Ben poul ndo huyo anajituma hadi na kiki za kupakwa mafuta ila bado hasikiki ..

Jamani kwanini sisi Watanzania? Kibaya zaidi hata mdogo wetu Aslay amekuja tukajua angalau ameleta mapinduzi, saizi ndo basi ameanza kunywea naskia kabisa na tetesi saizi ni yeye na pombe tu analewa hadi anaandika barua kwa wafu!

Kwanini Tanzania iwe WCB na KIBA tu ile hali tunovijana wazuri wanaojua kuimba?

Maoni yenu wadu[emoji26] [emoji26]
 
Wa huku kwetu wakishatoka wanaanza kuwachukua wabongo movie na hapa mziki wanauweka pembeni zinafata kiki tu,msanii anakuwa anajulikana kwa kiki kuliko Kazi, Kazi ndio zinaleta shows na sio kiki.
Mkuu wasanii wa mambele ndio wanaojua kiki bongo wanaiga tu huko nigeria ndo wakina wizkid ayo wanapiga selfie chooni wanakun** ila bado wanahit
 
Nchi hii hakuna kitu cha maana zaidi ya kiki tu. Kiki zikibuma na wao wanapotea. Unaona hata Rais wetu sasa hivi kiki zimeisha kabaki kununua madiwani wa upinzani tu, sijui hela anatoa wapi!!! Sijui kodi zetu.
 
Habari zenu wakuu..
Naomba tushauliane hapa, yawezekana hili naliona peke yangu.....

Kwanini wasanii wa bongo fleva ikitokea msanii akavuma sana ndo unakuwa mwanzo wake wa kupotea?

Mbona wenzetu wa nigeria msanii anaweza kutoa hata ngoma moja na akavuma the whole Africa hadi nakuchukua Tuzo za MTV ... na ma awards kibao

Mfano Vijana wa nigeria akina
Wizzkid Ayo
Tekno miles..
Koledebello...
Patoraking..
ETC

Ni kama wameanza kusikika na Vijana wetu Akina
Baraka da prince...
Moo music..
Aslay....
Darasa...
Belle 9
Ben poul

Ila cha ajabu wenzetu wanapanda chati kila kuchapo huku kwetu ndo kwanza Vijana wetu ndo tunaanza kuwazika katika game na kusahaulika.

Mfano Moo music ndo basi yupo kama hayupo...
Baraka da prince ndo huyo yupo kwenye mseleleko kuelekea bondeni huko akauze samaki
Darasa ndo tena hatujui anafanya nini huko alipo
Belle 9 Ndo kashaanza kucheza ndondo cup collable na akina msaga sumu[emoji23] [emoji23]
Ben poul ndo huyo anajituma hadi na kiki za kupakwa mafuta ila bado hasikiki ..

Jamani kwanini sisi Watanzania?
kibaya zaidi hata mdogo wetu Aslay amekuja tukajua angalau ameleta mapinduzi, saizi ndo basi ameanza kunywea naskia kabisa na tetesi saizi ni yeye na pombe tu analewa hadi anaandika barua kwa wafu!

Kwanini Tanzania iwe WCB na KIBA tu ile hali tunovijana wazuri wanaojua kuimba?

Maoni yenu wadu[emoji26] [emoji26]
Kumbe na wewe Abdu Kiba unatumia ID fake...!?
 
Habari zenu wakuu..
Naomba tushauliane hapa, yawezekana hili naliona peke yangu.....

Kwanini wasanii wa bongo fleva ikitokea msanii akavuma sana ndo unakuwa mwanzo wake wa kupotea?

Mbona wenzetu wa nigeria msanii anaweza kutoa hata ngoma moja na akavuma the whole Africa hadi nakuchukua Tuzo za MTV ... na ma awards kibao

Mfano Vijana wa nigeria akina
Wizzkid Ayo
Tekno miles..
Koledebello...
Patoraking..
ETC

Ni kama wameanza kusikika na Vijana wetu Akina
Baraka da prince...
Moo music..
Aslay....
Darasa...
Belle 9
Ben poul

Ila cha ajabu wenzetu wanapanda chati kila kuchapo huku kwetu ndo kwanza Vijana wetu ndo tunaanza kuwazika katika game na kusahaulika.

Mfano Moo music ndo basi yupo kama hayupo...
Baraka da prince ndo huyo yupo kwenye mseleleko kuelekea bondeni huko akauze samaki
Darasa ndo tena hatujui anafanya nini huko alipo
Belle 9 Ndo kashaanza kucheza ndondo cup collable na akina msaga sumu[emoji23] [emoji23]
Ben poul ndo huyo anajituma hadi na kiki za kupakwa mafuta ila bado hasikiki ..

Jamani kwanini sisi Watanzania?
kibaya zaidi hata mdogo wetu Aslay amekuja tukajua angalau ameleta mapinduzi, saizi ndo basi ameanza kunywea naskia kabisa na tetesi saizi ni yeye na pombe tu analewa hadi anaandika barua kwa wafu!

Kwanini Tanzania iwe WCB na KIBA tu ile hali tunovijana wazuri wanaojua kuimba?

Maoni yenu wadu[emoji26] [emoji26]
sasa mtu anapiga picha anapakwa mafuta makalioni mara apake rangi ya kijani kichwani unategemea atadumu kwenye muziki? Dimpoz kashachemka sa hivi kaamua kaamua kujionyesha waziwazi kula matunzo anayopata kutoka kwa bwana zake tu huko mbele...
 
Back
Top Bottom