Marathon day
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 643
- 1,016
Sisi tuliambiwa chuo kilikosa vijana kwakua serikali ilikataa kutoa mikopo kwa moja ya vyuo binafsi kikiwepo hicho, kimawa kinajiendesha kwa hasara.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi tuliambiwa chuo kilikosa vijana kwakua serikali ilikataa kutoa mikopo kwa moja ya vyuo binafsi kikiwepo hicho, kimawa kinajiendesha kwa hasara.
Wakatoliki waliona mbali sana waliposema mafather wasioe. Inamaana wao ni familia kubwa inayolinda taasisi yao kwa wivu mkubwaThis is very serious! Juzi walitangaza kupiga Mnada shule ya Secondary Lwandai, hii ni shule yenye historia kubwa saaana, ni shule ambayo wakongwe wazee wetu walisoma miaka hio ya Ukoloni.
Leo nimeona Tena Tangazo, Tarehe 16 June 2023 watapiga Mnada Chuo, hiki chuo kinahistoria, hii kabla ya kurudishwa kwenye kanisa ilikua shule maarufu sana ikijulikana kama Magamba Boys Secondary school, hapa ndio waliposoma viongozi wengi Sana akiwema Kiongozi wa Sudan, mgunduzi pekee wa kitanzania Mwenye theory inayojulikana duniani kote Kwa jina lake "Mpemba Effect" (unaweza kui-google).
Shule hii Sasa ilipata hadhi ya Chuo, na yenyewe inapigwa Mnada!
Yaani ni kweli KKKT - Dayosisi ya Kaskazini Mashariki mmeshindwa kutafuta suluhu? Ni kweli Mkuu wa KKKT ameshindwa kusimamia hili wakalipa?
What a shame?
View attachment 2644640
Ooooh imekuwaje tena! shule yangu hio nilisoma hapo kipindi hiko Mwalimu Mkuu wa shule alikuwa Mch. Mwamboza.This is very serious! Juzi walitangaza kupiga Mnada shule ya Secondary Lwandai, hii ni shule yenye historia kubwa saaana, ni shule ambayo wakongwe wazee wetu walisoma miaka hio ya Ukoloni.
Leo nimeona Tena Tangazo, Tarehe 16 June 2023 watapiga Mnada Chuo, hiki chuo kinahistoria, hii kabla ya kurudishwa kwenye kanisa ilikua shule maarufu sana ikijulikana kama Magamba Boys Secondary school, hapa ndio waliposoma viongozi wengi Sana akiwema Kiongozi wa Sudan, mgunduzi pekee wa kitanzania Mwenye theory inayojulikana duniani kote Kwa jina lake "Mpemba Effect" (unaweza kui-google).
Shule hii Sasa ilipata hadhi ya Chuo, na yenyewe inapigwa Mnada!
Yaani ni kweli KKKT - Dayosisi ya Kaskazini Mashariki mmeshindwa kutafuta suluhu? Ni kweli Mkuu wa KKKT ameshindwa kusimamia hili wakalipa?
What a shame?
View attachment 2644640
Jerry Mngwamba ni Askofu alikuwa m....acha kbsssUmenikumbusha KKKT DMP enzi niko kijana mdogo waliwahi ajiri katibu mkuu yule jamaa wa Kisarawe sijui akafanya madudu mengi kisha akaishia zake marekani, ni kama shamba la bibi flani.
Note: Mimi ni msharika kamili wa hili dhehebu.
Dah 😅Ooooh imekuwaje tena! shule yangu hio nilisoma hapo kipindi hiko Mwalimu Mkuu wa shule alikuwa Mch. Mwamboza.
Hakika KakaWakatoliki waliona mbali sana waliposema mafather wasioe. Inamaana wao ni familia kubwa inayolinda taasisi yao kwa wivu mkubwa
Tuhuma za kutisha za Dr. Munga Askofu KKKT -DKMS | Page 4 Tuhuma za kutisha za Dr. Munga Askofu KKKT -DKMSThis is very serious! Juzi walitangaza kupiga Mnada shule ya Secondary Lwandai, hii ni shule yenye historia kubwa saaana, ni shule ambayo wakongwe wazee wetu walisoma miaka hio ya Ukoloni.
Leo nimeona Tena Tangazo, Tarehe 16 June 2023 watapiga Mnada Chuo, hiki chuo kinahistoria, hii kabla ya kurudishwa kwenye kanisa ilikua shule maarufu sana ikijulikana kama Magamba Boys Secondary school, hapa ndio waliposoma viongozi wengi Sana akiwema Kiongozi wa Sudan, mgunduzi pekee wa kitanzania Mwenye theory inayojulikana duniani kote Kwa jina lake "Mpemba Effect" (unaweza kui-google).
Shule hii Sasa ilipata hadhi ya Chuo, na yenyewe inapigwa Mnada!
Yaani ni kweli KKKT - Dayosisi ya Kaskazini Mashariki mmeshindwa kutafuta suluhu? Ni kweli Mkuu wa KKKT ameshindwa kusimamia hili wakalipa?
What a shame?
View attachment 2644640
This is very serious! Juzi walitangaza kupiga Mnada shule ya Secondary Lwandai, hii ni shule yenye historia kubwa saaana, ni shule ambayo wakongwe wazee wetu walisoma miaka hio ya Ukoloni.
Leo nimeona Tena Tangazo, Tarehe 16 June 2023 watapiga Mnada Chuo, hiki chuo kinahistoria, hii kabla ya kurudishwa kwenye kanisa ilikua shule maarufu sana ikijulikana kama Magamba Boys Secondary school, hapa ndio waliposoma viongozi wengi Sana akiwema Kiongozi wa Sudan, mgunduzi pekee wa kitanzania Mwenye theory inayojulikana duniani kote Kwa jina lake "Mpemba Effect" (unaweza kui-google).
Shule hii Sasa ilipata hadhi ya Chuo, na yenyewe inapigwa Mnada!
Yaani ni kweli KKKT - Dayosisi ya Kaskazini Mashariki mmeshindwa kutafuta suluhu? Ni kweli Mkuu wa KKKT ameshindwa kusimamia hili wakalipa?
What a shame?
View attachment 2644640
Michango ya washarika inapigwa na Viongozi wakubwa wa kanisa..Kwa hii magamba KKKT walipitisha Sana bakuli makanisani na mimi nilichangia sana tu, nasikia Leo inapigwa mnada tena? Zile pesa zilienda wapi?
ACHA papigwe mnada tu Ili tulipwe pesa zetu..Deni ni kubwa saaana nasikia
Walichimba madini katika maeneo ya kanisa na mpaka Sasa pesa hazieleweki zilienda wapi...wanadai ati hawakupata kitu wakati tuliokuwepo pembeni tuliona wakitorosha madini na fedha...mkurugrnzi wa uchumi na mipango kapiga fedha ya kufa mtu..🤣🤣🤣..Kwa hii magamba KKKT walipitisha Sana bakuli makanisani na mimi nilichangia sana tu, nasikia Leo inapigwa mnada tena? Zile pesa zilienda wapi?
Iko hivo...Hawa hata mimi nawadai ila wasumbufu kulipa, ilaMkuu, unaweza kuleta muhtasari wa kesi?
Nadhani itakuwa madai ya Mishahara.
Kwani wanadaiwa sh ngapi?This is very serious! Juzi walitangaza kupiga Mnada shule ya Secondary Lwandai, hii ni shule yenye historia kubwa saaana, ni shule ambayo wakongwe wazee wetu walisoma miaka hio ya Ukoloni.
Leo nimeona Tena Tangazo, Tarehe 16 June 2023 watapiga Mnada Chuo, hiki chuo kinahistoria, hii kabla ya kurudishwa kwenye kanisa ilikua shule maarufu sana ikijulikana kama Magamba Boys Secondary school, hapa ndio waliposoma viongozi wengi Sana akiwema Kiongozi wa Sudan, mgunduzi pekee wa kitanzania Mwenye theory inayojulikana duniani kote Kwa jina lake "Mpemba Effect" (unaweza kui-google).
Shule hii Sasa ilipata hadhi ya Chuo, na yenyewe inapigwa Mnada!
Yaani ni kweli KKKT - Dayosisi ya Kaskazini Mashariki mmeshindwa kutafuta suluhu? Ni kweli Mkuu wa KKKT ameshindwa kusimamia hili wakalipa?
What a shame?
View attachment 2644640
Ilikuwa ni 7 Bilions....sijui kama walipunguza maana!!!Kwani wanadaiwa sh ngapi?