Kulikoni mfuasi wa Gwajima, Amos Komba kaanzisha huduma yake ya kiroho?

Kulikoni mfuasi wa Gwajima, Amos Komba kaanzisha huduma yake ya kiroho?

Binafsi sikubaliani na hoja yako, kila ministry/ kanisa ina misingi yake. Kwa hoja yako basi protestants wawe ni roma kisa wao nao wana bible tofauti yao ni kwa sababu wana misingi yao tofauti na RC. Binafsi nipo nje ya mifumo ya dini sioni mwenye unafuu baina yao kikubwa naheshimu kila mmoja na anachokiamini kuanzia mashariki mpaka magharibi[emoji28][emoji28]
Haupo kwenye mifumo ya dini, upo kwenye mifumo ipi mkuu?
 
Binafsi sikubaliani na hoja yako, kila ministry/ kanisa ina misingi yake. Kwa hoja yako basi protestants wawe ni roma kisa wao nao wana bible tofauti yao ni kwa sababu wana misingi yao tofauti na RC. Binafsi nipo nje ya mifumo ya dini sioni mwenye unafuu baina yao kikubwa naheshimu kila mmoja na anachokiamini kuanzia mashariki mpaka magharibi😅😅
Madhehebu yote ya Kikristo yamejimega toka RC na yameendelea kujimega toka makundi hadi vikundi ambapo muasisi wake akifariki nayo ufariki kwa kujigawa.
 
Madhehebu yote ya Kikristo yamejimega toka RC na yameendelea kujimega toka makundi hadi vikundi ambapo muasisi wake akifariki nayo ufariki kwa kujigawa.
Hawa RC/Protestants naona waliwahi kutengeneza taasisi ndio maana zinaishi mpaka leo. Nigerian pastor alokufa mwaka huu naona mke wake yupo kwenye mapambano synagogue isimdondokee
 
Kwenye shida za watu kiroho kuna pesa nyingi Sana maana watu Wana shida Sana na maarifa ya kujinasua hawana.Thus waganga na manabii washirikina upiga pesa ndefu Sana.
Kabisa

Ova
 
Utengano kiroho haukuanza leo ni karne,huyo sio wa kwanza wapo wengi tu waliotoka kwake wakaanza huduma zao.
Yupo mmoja mwanza anajiita mungu baba godi ujiita mungu anaabudiwa na kusujudiwa kama alivyo zumaridi,kwa kuwafanya waumini wao misukule.Gari ya baba godi ikipita hata ukiwa mjini kama ni muumini wake ni lzm uisujudu eti ni takatifu,mke na watoto wake wanasujudiwa.
Serikali yafaa iingilie Kati dhidi ya wahuni wanaoharibu akili za watu kuwafanya waumini kuwa watumwa wao.Kwa baba godi waliacha kabisa kutumia biblia wao ni kupokea maagizo toka kwa mungu wao baba godi wanasema walishavuka level ya kutumia biblia.
Waumini wake uwaambii kitu watakupiga hata na mawe wanakuona we ndie umepotea wao wapo njia sahihi.
Sio KILA kanisa lenye msalaba unaingia mengi ni mahekalu ya freemason bila kujua.
Hatari,tatizo watu hawasomi maandiko ndio maana yanawapata haya ya baba godi
 
Hawa RC/Protestants naona waliwahi kutengeneza taasisi ndio maana zinaishi mpaka leo. Nigerian pastor alokufa mwaka huu naona mke wake yupo kwenye mapambano synagogue isimdondokee
Sikuhizi mama Mchungaji nae anasoma degree ya theology kuokoa jahazi inapobidi.
 
Hawa RC/Protestants naona waliwahi kutengeneza taasisi ndio maana zinaishi mpaka leo. Nigerian pastor alokufa mwaka huu naona mke wake yupo kwenye mapambano synagogue isimdondokee
Ndo tofauti ya kutengeneza maslai ya Mungu na ya maslai ya binadamu.
Yapo madhehebu hayupo mmiliki mnawekewa flash au cd kuendelea na mahubiri.
 
Hatari,tatizo watu hawasomi maandiko ndio maana yanawapata haya ya baba godi
Ukiitumia vizuri akili yako aliyokupa Mwenyezi Mungu utohitaji kupeleka pesa kwa nabii wala mganga kutatua shida zako.
Mungu alimuumba mwanadamu akiwa kakamilika kabisa na akampa uwezo wa kuongoza na kuvitawala vyote vinavyoonekana na visivyoonekana.
Leo watu wanasumbuliwa na wachawi, majini hivi ni viumbe dhaifu kabisa kwa uwezo aliopewa mwanadamu.
Ni wavivu kutafuta maarifa tu thus tunalazimika kudungwa chale au kuombewa na nabii badala ya kwenda direct kwenye chanzo cha nguvu.
 
Kusema ukweli I was not expecting huu uasi kufanywa na huyu jamaa
 
Sikuhizi mama Mchungaji nae anasoma degree ya theology kuokoa haha I inapobidi.
Hahaha!
Late Dr. myles Munroe wa Bahamas ministry sijui ministry yake imeisha vipi. Labda mtoto alobaki alirithi mirathi😃😃
 
Ndo tofauti ya kutengeneza maslai ya Mungu na ya maslai ya binadamu.
Yapo madhehebu hayupo mmiliki mnawekewa flash au cd kuendelea na mahubiri.
Yeah, tusiangalie sana hawa new upcoming. Tukiangalia foundations za even hawa giants wa sasa nao % kubwa huko mwanzoni ni majanga tupu. Kikubwa ni kuamini unapoamini moyo wako una amani
 
Tamaa na ulafi wa mali, pesa au kutaka zaidi ndiyo shida inajazia hapo.

Kama alipewa madaraka ya juu mpaka kukasimishwa nafasi ya juu sana iweje afanye yake?

Binafsi sijui ya ndani ila kwa nje kupewa mamlaka makubwa ya kusimamia mali ya mtu ni nafasi ya kuandaa maisha yako mengine si lazima kila mtu awe na kanisa.
Tamaa huwasumbua Hawa viongozi wa kilokole, na wengi husahau kuwa si lazima wote wawe wachungaji
 
Hawa RC/Protestants naona waliwahi kutengeneza taasisi ndio maana zinaishi mpaka leo. Nigerian pastor alokufa mwaka huu naona mke wake yupo kwenye mapambano synagogue isimdondokee
Dah mke yule Ali relax sana aisee badala na yeye angejifunza huduma Sasa wa injilisti waliofundishwa na mumewe na wao wameondoka na mama sijawahi ona akiombea na lile kanisa watu walikuwa wanafata miujiza na hata hao mitume nao walikuwa fake wallah
 
Dah mke yule Ali relax sana aisee badala na yeye angejifunza huduma Sasa wa injilisti waliofundishwa na mumewe na wao wameondoka na mama sijawahi ona akiombea na lile kanisa watu walikuwa wanafata miujiza na hata hao mitume nao walikuwa fake wallah
Nadhani hakujua nini kinafuata, rejea mlima wa moto baada ya mama kututoka “baba” yetu yupo wapi?!😅😅
 
Habarini wana JF,

Nmekutana na huduma mpya ya huyu mtumishi ambaye juzi kati alikasimishwa madaraka ya kusimamia makanisa ya Ufufuo na Uzima Dar.

Nmeona kama ana ameanzisha huduma nyingine inaitwa Clinic ya mwanakondoo, sasa sjui wamezinguana vipi na ASKOFU Gwajima wakati huyu alikuwa anapendwa sana na Gwajima.
Mambo ya fursa nae kaamua kujiongeza.
 
Au nae gwajima alimwambia "huniwezi kwa uchawi, huniwezi kiserikali,umaarufu,leta mkono tushindane,"[emoji23]

Ni kawaida ya mwanadamu kutaka zaidi na zaidi, wachache saana wenye kuridhika, tizama upande wa viongozi wetu, wanapiga madili kila siku, akipiga bilioni 2, atatamani 5, atapiga 10 na kusogea juu.
😀😀😀
 
Biashara kama biashara nyingine Maslahi mbele,Jamaa kaona bora aanzishe Goli lake ili apige more.
 
Back
Top Bottom