Kulikoni mfuasi wa Gwajima, Amos Komba kaanzisha huduma yake ya kiroho?

Kulikoni mfuasi wa Gwajima, Amos Komba kaanzisha huduma yake ya kiroho?

Kashikwa sikio huyo
Wanadamu tujifunze kutokuwaani watu wenye macho kama sisi na mikono kama sisi
Kwanini hatujifunzi tuu
Kwanini tuaaminiana Kila siku
Wakati Imani hakuna
 
Yachunguzeni maandiko Ili msiingie kwenye makanisa ya kuzimu ambayo mwenye kujua Siri ni mchungaji pekee,Kristo ni pendo kama Kristo ni pendo iweje mchungaji wewe mambo safi magari majumba waumini choka mbaya dhoofu hali.
 
Imebidi nitumie dictionary kidogo mkuu.
“a person who does not believe in a particular thing, especially one who has no religious faith”
Ndiyo huamini katika imani za dini.
Umesema wewe una free mind.

Nilitaka ufafanuzi zaidi kuhusu hiyo free mind,kwa maana ya msingi wako na vitu vingine kama hivyo.
 
Ndiyo huamini katika imani za dini.
Umesema wewe una free mind.

Nilitaka ufafanuzi zaidi kuhusu hiyo free mind,kwa maana ya msingi wako na vitu vingine kama hivyo.
Sipo limited katika ufikiri, msingi mkuu ni kuamini kila kitu kipo kwa sababu ya.... kipo katika sayansi,
Kila uchaguzi(decision) unaoufanya matokeo yake yana pande mbili either +ve au -ve na hakuna supernatural issues.
Mwisho wa mwanadamu na historia yake ya maisha huisha pale seli zake zote ziposhindwa kufanya kazi
Misingi ya dini ulimwenguni ni matokeo ya tamaduni katika jamii na kuweka ustaarabu wao.

Hayo ndiyo yangu mkuu
 
Sipo limited katika ufikiri, msingi mkuu ni kuamini kila kitu kipo kwa sababu ya.... kipo katika sayansi,
Kila uchaguzi(decision) unaoufanya matokeo yake yana pande mbili either +ve au -ve na hakuna supernatural issues.
Mwisho wa mwanadamu na historia yake ya maisha huisha pale seli zake zote ziposhindwa kufanya kazi
Misingi ya dini ulimwenguni ni matokeo ya tamaduni katika jamii na kuweka ustaarabu wao.

Hayo ndiyo yangu mkuu
Oh sawa.
Kwahiyo katika sayansi unayoiamini,inazungumziaje kuhusu kuwepo kwa ulimwengu?
 
Oh sawa.
Kwahiyo katika sayansi unayoiamini,inazungumziaje kuhusu kuwepo kwa ulimwengu?
Kwa sasa bado nasimamia BING BANG Theory japo kadri ya muda ninavyopata najielimisha kupitia findings nyingine kuhusu universe creation. NAjilaumu kutosoma astronomy mapema😊
 
Back
Top Bottom