Kulikoni mpaka leo mshahara wa novemba haujaingia?

Kulikoni mpaka leo mshahara wa novemba haujaingia?

Sisi tayari..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20231123_235155_YouTube.jpg


Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Imagine siku mbili tu, yaani mbili tu zimezidishwa. Wakuu, pamoja na kuajiriwa serikalini, tafuteni namna ya kuongeza kipato.

Au lawama ni kwa ajili ya kudai chenu? Haki yenu naamini haiwezi potea, mama ni msikivu na mwenye huruma sana.
 
Imagine siku mbili tu, yaani mbili tu zimezidishwa. Wakuu, pamoja na kuajiriwa serikalini, tafuteni namna ya kuongeza kipato.

Au lawama ni kwa ajili ya kudai chenu? Haki yenu naamini haiwezi potea, mama ni msikivu na mwenye huruma sana.
Wana mambo ya hovyo mno...

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Imagine siku mbili tu, yaani mbili tu zimezidishwa. Wakuu, pamoja na kuajiriwa serikalini, tafuteni namna ya kuongeza kipato.

Au lawama ni kwa ajili ya kudai chenu? Haki yenu naamini haiwezi potea, mama ni msikivu na mwenye huruma sana.
Akianzisha mada kijana msomi aliye mtaani leo kuhusu afanye nini siku zisogee unakuta hawa hawa wanajazana kumshauri ajiajiri wakati chanzo hana.

Lakini wao wameshindwa kujiajiri pamoja na kuwa wana chanzo cha mitaji (mshahara)
 
Akianzisha mada kijana msomi aliye mtaani leo kuhusu afanye nini siku zisogee unakuta hawa hawa wanajazana kumshauri ajiajiri wakati chanzo hana.

Lakini wao wameshindwa kujiajiri pamoja na kuwa wana chanzo cha mitaji (mshahara)
Mkuki kwa nguruwe...
 
Hivi hampatagi sms au? Kama sms hamna manake si 0-0?
Mpaka kila mwezi lazima atokee wa kuuliza uliza??

Acheni kelele
Pale simbanking app kuna ka batani ka salaly adv..
Salary
 
Waajiriwa mnazidiwa hata na mabodaboda waisio tambulika wasio na uwezo wa kukopa wasio na uwezo wa kuwa na pensheni kama nyie mlivyo alafu mtu unaamka asubuhi unakimbia kazini kabisa tena ukihofia boss asione umechelewa😂😂😂😂 imagine mnazidiwa hali hata na teja wa bondeni maiaha yangu toka nawajua mateja sijapata siku kumsikia analalamika kakosa unga na anapiga mabunda fresh
 
Back
Top Bottom