Kulikoni mpaka leo mshahara wa novemba haujaingia?

Kulikoni mpaka leo mshahara wa novemba haujaingia?

Kuna taasisi moja ni wateja wangu siku moja napeleka bidhaa kwao nikakuta wana kikao na mimi wakasema nikae kwakua tunafanya biashara nieleze changamoto ninazopata na mwenye taasisi yake alikuwepo basi wakajieleza sana ila kuna waajiriwa wawili walikua hawapati malipo yao kwa wakati wakawa wanajishauri kuongea kiongozi wao anawaambia "kuweni na adabu mtaongeaje jambo kama hilo mbele ya mmiliki nikisikitika sana nikashindwa kuvumilia nikachangia na nikawanyanyua watumishi wale waeleze nini wanapitia cha ajabu kumbe sio mshahara wa mwezi mmoja ni miezi 6 loh mm mwenyewe nilichoka na mmiliki ndio alidata kabisa akijua hakuna asiekosa chake kumbe zinapigwa na anaewakataza wasiseme ndio oganaiza wa mambo yote niliporud mtaani kwangu nikakaa nikafikiri nikaona kuajiriwa ni laana fulani huwezi kosa chako miezi 6 na bado anatokea mtu anakuambia usiseme sio heshima inamaana wao wakifa njaa ni heshima. Ni ufakeni sana
 
Imagine siku mbili tu, yaani mbili tu zimezidishwa. Wakuu, pamoja na kuajiriwa serikalini, tafuteni namna ya kuongeza kipato.

Au lawama ni kwa ajili ya kudai chenu? Haki yenu naamini haiwezi potea, mama ni msikivu na mwenye huruma sana.
Zimezidishwa kivipi?! Kwani mwisho wa mwezi huu una siku ngapi?!
 
Imagine siku mbili tu, yaani mbili tu zimezidishwa. Wakuu, pamoja na kuajiriwa serikalini, tafuteni namna ya kuongeza kipato.

Au lawama ni kwa ajili ya kudai chenu? Haki yenu naamini haiwezi potea, mama ni msikivu na mwenye huruma sana.
Zimezidishwa kivipi?! Kwani mwisho wa mwezi huu una siku ngapi?!
 
Akianzisha mada kijana msomi aliye mtaani leo kuhusu afanye nini siku zisogee unakuta hawa hawa wanajazana kumshauri ajiajiri wakati chanzo hana.

Lakini wao wameshindwa kujiajiri pamoja na kuwa wana chanzo cha mitaji (mshahara)
Akianzisha mada kijana msomi aliye mtaani leo kuhusu afanye nini siku zisogee unakuta hawa hawa wanajazana kumshauri ajiajiri wakati chanzo hana.

Lakini wao wameshindwa kujiajiri pamoja na kuwa wana chanzo cha mitaji (mshahara)
Word......

Ukweli mchungu huu.
 
Mwanangu upo Tax Management au Custom.
Kama upo Custom halafu boda na ukashindwa kuwa tajiri basi we utakuwa fal(a) mkubwa sanaa..

#YNWA
Salam kwako Mkuu Liverpool VPN. Kama nimekuelewa vizuri Je ina maana unamshauri huyo mdau awe mwizi? kwa mtizamo wa watu kama wewe Nchi yetu itakaa ipige hatua ya maendeleo kweli? Umenisikitisha sana mkuu Liverpool VPN
 
Salam kwako Mkuu Liverpool VPN. Kama nimekuelewa vizuri Je ina maana unamshauri huyo mdau awe mwizi? kwa mtizamo wa watu kama wewe Nchi yetu itakaa ipige hatua ya maendeleo kweli? Umenisikitisha sana mkuu Liverpool VPN
Hii haina hadhi wala thamani ya kujifanya mzalendo...... ukipata upenyo wewe toboa tobo na uchote mihela ya wajinga....
 
Mmeanza kukopwa kama wale wa Yapi Markezi.

Kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii mjue hawapeleki na mtasaga rhumba mkimstaafu.
 
Huo ni ulafi TRA kwa tabia na mienendo yenu mnahitaji Tena mishahara.... Nyamazeni basi msijichore !!!!!
 
Back
Top Bottom