Kulikoni Precisionair?


usalama wa taifa hawana time na ishu za uchumi wa nchi, kazi yao ni kuhakikiisha ccm inatawala milele
 
Hawa jamaa wanatakiwa kuwa na pesa, kwanza bei zao au nauli zao ni kubwa mno. Hivi Unajua nauli ya ndege kutoka Dar kwenda Bukoba ni kubwa kuliko kutoka London kwenda New York!!!!! wakati mafuta London hiko juu kuliko Dar es Salaam

Acha uongo wewe!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…