Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Asome usia niliomwandikia hapo juu.Kafanyaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asome usia niliomwandikia hapo juu.Kafanyaje?
Watu wasichoelewa ni kitu kimoja hata mtu awe mashuhuri,sijui bingwa,sijui kiongozi mkubwa ila bado kuna tabia binafsi za ndani sio wote tunaweza kuzifahamu itoshe kusema wao wanajijua vyema na watu wao wa karibu wanaowazunguka, huyo dogo bhana kwa mimi sikubali wala sikatai ila tukumbuke kuna watu wanamfahamu vyema kuliko sisi tunaomuona tu azam tv hao ndio 'wanafahamu'Wabongo wahuni inawezekana wanamsingizia Ila kwanini iwe Kabwili?
Si mgetafuta hata clip fupi ya mzungu huko xxxvideo msingizie Manara tuone atakavyolalamika na kulaani
Ni maana kwa hakuna binadamu mkamilifu lazima kutakuwepo na dosari chacheWatu wasichoelewa ni kitu kimoja hata mtu awe mashuhuri,sijui bingwa,sijui kiongozi mkubwa ila bado kuna tabia binafsi za ndani sio wote tunaweza kuzifahamu itoshe kusema wao wanajijua vyema na watu wao wa karibu wanaowazunguka, huyo dogo bhana kwa mimi sikubali wala sikatai ila tukumbuke kuna watu wanamfahamu vyema kuliko sisi tunaomuona tu azam tv hao ndio 'wanafahamu'
Kwahiyo kwa bandiko lako hili unatuthibitishia Kabwili ni shoga? Kwa ushahidi upi?kabwili
ukijaribu kufanya hilo tendo labda ktk michezo ya utotoni, shukuru kama Spirit za Ushoga hazitakuingia.
Lakini kama Spirit za Ushoga zilikuingia basi huwezi kuacha kitendo hicho kamwe.
Kuna mtu alikufanyia hivyo kwa makusudi ya kukuambukiza hizo Spirit ni kama alikuingiza kwenye ulimwengu wa Ushoga bila wewe kung'amua na ni Ajent wa Ibirisi Shetani Lusifer, na wako wengi sana mitaani.
Mambo ya magic yanahusika hapo.
Mapepo ya Ushoga yalikuingia na kamwe Kwa nguvu zako huwezi kuuacha Ushoga.
Sisi waalimu tunachukua kitendo hicho kama makosa ya kutokufahamu hatari ya kujaribu vitendo hivyo.
Hapo inabidi ufanye jambo moja tu.
Mtafute Mtu wa Mungu, yaani Mchungaji aliye simama kama
Mwalimu Mwakasege wa Arusha, Au Mchungaji Katunzi wa Mtoni Mtongani Temeke. Au wengine na sio hao manabii Vijana wa miujiza.
(mwone kwa siri atakuombea kwa siri)
Akufanyie maombi ili kuyaondoa hayo Mapepo ya Ushoga ambayo yule uliyecheza naye alikuingizia Kwa makusudi na kwa nia mbaya kabisa.
Ni kama alikuroga, aliku
(initiate into cult of sodomy)
bila wewe kujua ili uwe addicted na huo mchezo ili ikiwezekana hata usioe kabisa na kuzaa watoto na kujenga familia ili uende kinyume na maagizo ya Mwenyezi Mungu aliyekuumba.
Nasema tena tafuta Mchungaji aliyesimama kama niliokutajia hapo juu.
Ili wakuombee, Mungu Ayaondoe hayo Mapepo ya Ushoga uliyoingiziwa.
La sivyo hata ufanye nini, huwezi kuuacha huo mchezo kamwe. Mapepo yanaondoka kwa njia moja tu, nayo ni Maombi ya mtu wa Mungu, mwenye nguvu za Kimungu.
NB: Vijana sio kila mnaokutana nao na kucheza nao wana nia njema na nyinyi.
Mjihadhari kwa kila mnachofanya hasa kikiwa kinyume na Neno la Mungu.
Pole sana kijana.
najua ufahamu mdogo ulipelekea kuruhusu mtu mwovu kukudhuru. Chukua hatua sasa kabla ya hali kuwa mbaya zaidi.
(Nasema hayo kupitia lile jina pekee ambalo kwalo kila binadamu apaswa kuokolewa.
Jina la Masihi Pekee, Jina la Yesu Kristo wa Nazareth)
Amen[emoji120][emoji120][emoji120]
Na usichoelewa wewe hakuna binadamu wazushi kama Watanzania.Watu wasichoelewa ni kitu kimoja hata mtu awe mashuhuri,sijui bingwa,sijui kiongozi mkubwa ila bado kuna tabia binafsi za ndani sio wote tunaweza kuzifahamu itoshe kusema wao wanajijua vyema na watu wao wa karibu wanaowazunguka, huyo dogo bhana kwa mimi sikubali wala sikatai ila tukumbuke kuna watu wanamfahamu vyema kuliko sisi tunaomuona tu azam tv hao ndio 'wanafahamu'
Mimi wapi nimesema ni Shoga.Kwahiyo kwa bandiko lako hili unatuthibitishia Kabwili ni shoga? Kwa ushahidi upi?
Usilitaje bure jina la bwana Mungu wako.
Aliyekudanganya kuwa mchungaji anaokoa watu ni nani?kabwili
ukijaribu kufanya hilo tendo labda ktk michezo ya utotoni, shukuru kama Spirit za Ushoga hazitakuingia.
Lakini kama Spirit za Ushoga zilikuingia basi huwezi kuacha kitendo hicho kamwe.
Kuna mtu alikufanyia hivyo kwa makusudi ya kukuambukiza hizo Spirit ni kama alikuingiza kwenye ulimwengu wa Ushoga bila wewe kung'amua na ni Ajent wa Ibirisi Shetani Lusifer, na wako wengi sana mitaani.
Mambo ya magic yanahusika hapo.
Mapepo ya Ushoga yalikuingia na kamwe Kwa nguvu zako huwezi kuuacha Ushoga.
Sisi waalimu tunachukua kitendo hicho kama makosa ya kutokufahamu hatari ya kujaribu vitendo hivyo.
Hapo inabidi ufanye jambo moja tu.
Mtafute Mtu wa Mungu, yaani Mchungaji aliye simama kama
Mwalimu Mwakasege wa Arusha, Au Mchungaji Katunzi wa Mtoni Mtongani Temeke. Au wengine na sio hao manabii Vijana wa miujiza.
(mwone kwa siri atakuombea kwa siri)
Akufanyie maombi ili kuyaondoa hayo Mapepo ya Ushoga ambayo yule uliyecheza naye alikuingizia Kwa makusudi na kwa nia mbaya kabisa.
Ni kama alikuroga, aliku
(initiate into cult of sodomy)
bila wewe kujua ili uwe addicted na huo mchezo ili ikiwezekana hata usioe kabisa na kuzaa watoto na kujenga familia ili uende kinyume na maagizo ya Mwenyezi Mungu aliyekuumba.
Nasema tena tafuta Mchungaji aliyesimama kama niliokutajia hapo juu.
Ili wakuombee, Mungu Ayaondoe hayo Mapepo ya Ushoga uliyoingiziwa.
La sivyo hata ufanye nini, huwezi kuuacha huo mchezo kamwe. Mapepo yanaondoka kwa njia moja tu, nayo ni Maombi ya mtu wa Mungu, mwenye nguvu za Kimungu.
NB: Vijana sio kila mnaokutana nao na kucheza nao wana nia njema na nyinyi.
Mjihadhari kwa kila mnachofanya hasa kikiwa kinyume na Neno la Mungu.
Pole sana kijana.
najua ufahamu mdogo ulipelekea kuruhusu mtu mwovu kukudhuru. Chukua hatua sasa kabla ya hali kuwa mbaya zaidi.
(Nasema hayo kupitia lile jina pekee ambalo kwalo kila binadamu apaswa kuokolewa.
Jina la Masihi Pekee, Jina la Yesu Kristo wa Nazareth)
Amen[emoji120][emoji120][emoji120]
Huyu sio kabwili.Kaomba msamaa jamaniView attachment 2020676
Kumbe nani? Hebu mtaje[emoji124][emoji124][emoji124]Huyu sio kabwili.
Anatumia PANYA WA KISHUA. Hilo ni liparody tu, umeingizwa king mzee.Kumbe nani? Hebu mtaje[emoji124][emoji124][emoji124]
Hilo sio parody kweli?? HahahahaKaomba msamaa jamaniView attachment 2020676
Wapumbavu kama wewe walipaswa kupewa uti wa mgongo tu, maana ubongo hauna kazi nao.Kaomba msamaa jamaniView attachment 2020676
Mm kama mzee wa makamo nasema vijana wanaoshiriki ufirauni hii ni laana ya mababu zao wa SodomaRamadhani Kabwili alizaliwa tarehe 11 Desemba 2000, na ni mchezaji wa soka wa kulipwa kutoka Tanzania. Ramadhani Kabwili ambaye ni mzaliwa wa Dar es Salaam anaichezea Young Africans kama Golikipa.
November 20, 2021 amefuta page yake ya Instagram pasipo na taarifa yoyote kamili kuhusiana na uamuzi huo aliochukua hivi karibuni, sasa chache ukurasa huo ulirejeshwa huku upande wa commenting ukiwa off
Mwenye taarifa kamili tujuze kulikoni?
![]()
Official account of Ramadhani Kabwili, (@kabwili13) • Instagram photos and videos
463K Followers, 276 Following, 343 Posts - See Instagram photos and videos from Official account of Ramadhani Kabwili, (@kabwili13)instagram.com
View attachment 2017597
Sasa mzee ukiwa kama mzazi ni njia zipi zitumike kunusuru hili janga?Mm kama mzee wa makamo nasema vijana wanaoshiriki ufirauni hii ni laana ya mababu zao wa Sodoma
Lawama apelekewe Sodoma na laana hii itatesa sana hii dunia kila siku yatakua ni malalamiko
Afadhali vitengo vinavyohusika na maswala ya jinsia viingilie kati mana vijana wengi wanakulana, hali ni mbaya sana
Kiongozi unasimama hadharani unasema ni mwiko matendo hayo lakini huna habari vijana wako nyumbani ni tatizo, wewe mzee kuja kujua tayari mtoto keshakua kiboga
Kuliko kukemea afadhali vianzishwe vyombo vya kuwashauri hawa vijana lasivyo marufuku zitakua nyingi na wanaotoa marufuku hawana habari vijana wao wameshakulana tangu zamani
Na hawa vijana kama sio wehu wanakubalije kupandwa mbaya zaidi tena unamwagiwa mbegu na wanafurahia kweli!
Hizo mbegu mnazomwaga afadhali basi mzalishe wanawake watoto wale itakua nguvu ya taifa
🙅
Wanamdonyoa nyota [emoji23] sio poa
Kwa ushahidi upi?aise watu wakawe wabaya Sana kwakweli...mmeharibu kijana wawatu easily
Ukitumiwa na mimi nitumie pmNaiomba hii clip niingaliee kitaalam Kisha ntawapa mrejesho hapahapa mwenye nayo anitumie pm please ntawaletea ufafanuzi kijana asiendelee kudhalilishwa