Kulikoni Ramadhani Kabwili (Football player)

Wabongo wahuni inawezekana wanamsingizia Ila kwanini iwe Kabwili?

Si mgetafuta hata clip fupi ya mzungu huko xxxvideo msingizie Manara tuone atakavyolalamika na kulaani
Watu wasichoelewa ni kitu kimoja hata mtu awe mashuhuri,sijui bingwa,sijui kiongozi mkubwa ila bado kuna tabia binafsi za ndani sio wote tunaweza kuzifahamu itoshe kusema wao wanajijua vyema na watu wao wa karibu wanaowazunguka, huyo dogo bhana kwa mimi sikubali wala sikatai ila tukumbuke kuna watu wanamfahamu vyema kuliko sisi tunaomuona tu azam tv hao ndio 'wanafahamu'
 
Ni maana kwa hakuna binadamu mkamilifu lazima kutakuwepo na dosari chache
 
Kwahiyo kwa bandiko lako hili unatuthibitishia Kabwili ni shoga? Kwa ushahidi upi?

Usilitaje bure jina la bwana Mungu wako.
 
Na usichoelewa wewe hakuna binadamu wazushi kama Watanzania.

Sikuombei mabaya siku unaweza kujikuta upo jela kwa kesi ya kubaka wakati hujawwhi hata kumgusa muhusika, hspo ndio utajuwa Watanzania walivyo na roho za kishetani.
 
Aliyekudanganya kuwa mchungaji anaokoa watu ni nani?
 
Mm kama mzee wa makamo nasema vijana wanaoshiriki ufirauni hii ni laana ya mababu zao wa Sodoma

Lawama apelekewe Sodoma na laana hii itatesa sana hii dunia kila siku yatakua ni malalamiko
Afadhali vitengo vinavyohusika na maswala ya jinsia viingilie kati mana vijana wengi wanakulana, hali ni mbaya sana

Kiongozi unasimama hadharani unasema ni mwiko matendo hayo lakini huna habari vijana wako nyumbani ni tatizo, wewe mzee kuja kujua tayari mtoto keshakua kiboga

Kuliko kukemea afadhali vianzishwe vyombo vya kuwashauri hawa vijana lasivyo marufuku zitakua nyingi na wanaotoa marufuku hawana habari vijana wao wameshakulana tangu zamani
Na hawa vijana kama sio wehu wanakubalije kupandwa mbaya zaidi tena unamwagiwa mbegu na wanafurahia kweli!

Hizo mbegu mnazomwaga afadhali basi mzalishe wanawake watoto wale itakua nguvu ya taifa
🙅
 
Sasa mzee ukiwa kama mzazi ni njia zipi zitumike kunusuru hili janga?
Manake ni tatizo letu sote leo mm ni kijana kesho nitakuwa na familia, watoto wale walelewe kwenye misingi ipi ili kuepukana na hili janga?
 
Naiomba hii clip niingaliee kitaalam Kisha ntawapa mrejesho hapahapa mwenye nayo anitumie pm please ntawaletea ufafanuzi kijana asiendelee kudhalilishwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…