Kulikoni Ramadhani Kabwili (Football player)

Mkiambiwa mmetoroka Mirembe mnakataa.

Kabwili ana miaka 21, hii akaunti ipo tokea 2012 kwahiyo huyo Kabwili alijiunga JF akiwa na miaka 12?
wacha kujitetea ushajulikana bwana kabwili. Wewe kitimoto endelea kuliwa tuu. Kabwili umekuja kivingine eti unajiita kitimoto kisa wanaokupakua wanakusifu ni mtamu. Acha hizo unakubalije kupakuliwa?.
 
Wacha kutaja Jesus kwenye vitu vya kipuuzi.
 
Nimeangalia hiyo video clip ya sekunde kadhaa kwa ukweli wa Mungu huwezi kumtambuwa muhusika.

Kama ana kashfa ya ushoga basi iwe kwa ushahidi mwingine lakini siyo hiyo video clip inayosambaa...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pumba tupu khaaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…