tenanzinyo
Member
- Dec 28, 2012
- 64
- 23
Yule aliyekua anajiita Dr Leak mchambuzi wa maswala ya mpira si yupo TFF! Mbona hamna jipya?
Hongera zao waliomkata jina, TFF si sehemu ya kujaza mabogas.
Yule aliyekua anajiita Dr Leak mchambuzi wa maswala ya mpira si yupo TFF! Mbona hamna jipya?
ninavyomsikiaga akichambua soka hapo clouds sikujua kama angeangukia pua, mh ama kweli ukubwa wa pua si wingi wa kamasi.. pole shaffih Dauda
shaffih anaweza ttz vyama vyetu vya michezo vina ubabaishaji mwingi hawataki watu wa kweli!namshaur brother shaffih abakie kwny uchambuz tu maswala ya uongoz awachie wenyewe wanaojiita watu wa "mpira"