Huyu mzee ni msanii na kigeugeu sana, nani kama zuzu hivi, mimi binafsi namlinganisha na askari wa jiji, ambao ukiwaambia kamata hata bila kuuliza watakamata. makamba ni kikaragosi cha mafisadi wanamchezesha kadiri watakavyo, ndio maana sasa sishangahi akizikana kauli zake mwenyewe, this old boy is capable of denying his own parents so long as inamhakikishia maslahi yake kisiasa, alichogundua ni kuwa yeye na wenzie chiligati na guninita wanacheza ngoma tofauiti na wimbo wa mwenyekiti wao sasa nachofanya ni kijaribu kubadili step za uchezaji ili aende sawa na wimbo wa JK, lakini kwa sababu He is a kind of short memory guy, amekwisha sahau kuwa juzi tu alikwa anacheza tune ya mafisadi na watanzania wakiwemo wana Urambo mashariki walimuona akicheza tune hiyo. Hafai huyu mzee na kama CCM hawajui huyu ndio anakimaliza chama chao, hana tofauti sana na Kingunge. Msishange atabadilika tena!