Kulikoni Watanzania kushambulia DP World?

Kulikoni Watanzania kushambulia DP World?

Hawawezi kutoa ufafanuzi wowote wala kujibu swali lolote kuhusu ule mkataba wa kinyonyaji waliotuingiza.

Wanachotakiwa kufanya tuwaone wako nasi pamoja, ni kuuvunja ule mkataba potelea mbali hata kama waarabu wakitudai fidia.
Hii nini 👇🏾




Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Ha hahahaha 😂😂😂🤣😂😂. Maoni ya msrukia8 yamenilegeza mbavu, yapate post ya kwanza ya uzi huu zile screen shots
 
Unaongelea mashoga wanaofahamika mkuu, na hata ivo sasa hivi mnawapa nguvu. Haya huko kupinga kwenu kumesaidia nini, kwani hawapo?? Shughuli haziendi?? Vijana hawafanyi kazi?? Hao unaowatuhumu ni mashoga hawafanyi kazi za kjwaingizia kipato??

Jamii inajua hilo jambo ni baya ila humu mitandaoni ni kama linatangaza indirectly, yani ni kama kusema unapinga biashara ya malaya halafu unatoa mifano ya wanakopatikana na bei zao, sasa hapo unapinga au unatangaza. Humu mnatangaza hampingi, nje ya kusema "nauchukia ushoga" huoni nyuzi za kuelimisha madhara yake ila mnasema mnapinga.

Ndo ivo subiri uchaguzi, hiyo ndo njia sahihi na hata vyama vya upinzani vinajua hilo.
Ndio maana kinachopiganiwa ni iwepo tume huru na ya haki kwasababu wanajua sanduku la kura ndio muamuzi na sio kudai madaraka kwa mtutu.
Uganda wametunga sheria ya kuhukumu mashoga sababu hali ni mbaya,wewe unasema linakuzwa humu jf,kwani ilo swala linazungumzwa hapa tu platform zingine azlipigiwi kelele?

Kuhusu kuitoa serikali ya CCM kwa kupiga kura hapo sina neno,kwasababu njia hiyo hata watala wa nchi wanafurahi wakisikia hayo maneno.
 
Hayo ndio tuliyoyataka kutoka kwa Magu..hawa mnaowaita wapenda demokrasia si mmeona wanachofanya..sasa ukiporwa nchi hiyo demokrasia utaitoa wapi?? Maana hata huo uhuru huna tena..
Issue ni kuukataa mkabata huu kw aumoja wetu
 
Hayo ndio tuliyoyataka kutoka kwa Magu..hawa mnaowaita wapenda demokrasia si mmeona wanachofanya..sasa ukiporwa nchi hiyo demokrasia utaitoa wapi?? Maana hata huo uhuru huna tena..
Issue ni kuukataa mkabata huu kw aumoja wetu
 
Akili za kibongo ndizo hizi, zimejaa hasira dhidi ya yale waliyotendewa mababu zetu zaidi ya miaka mia moja iliyopita. Zimejikita kwenye visasi vya kabla hata hawajazaliwa, poor african minds.
Sio kweli wazungu waliua watemi wengi tu pia ndio walio kuwa wanunua watumwa,lakini mbona mnawapenda?kuna jambo limejificha nyuma ya mkataba sio bule
 
Uganda wametunga sheria ya kuhukumu mashoga sababu hali ni mbaya,wewe unasema linakuzwa humu jf,kwani ilo swala linazungumzwa hapa tu platform zingine azlipigiwi kelele?

Kuhusu kuitoa serikali ya CCM kwa kupiga kura hapo sina neno,kwasababu njia hiyo hata watala wa nchi wanafurahi wakisikia hayo maneno.
Toka zile ripoti za Mwakyembe umeona tena linazungumziwa?? Tatizo limeisha? Au watu wamesahau?
Watu wakapigaa nyundo japo kati, wakasumbuliwa then kimyaaa mpaka leo, je mashoga hawapo?
Wanawahamisha tu watakavyo, soon litaibuka jingine kelele za dp world zikizidi.
Na huko Uganda nae alisombwa na upepo mpaka kutunga sheria, hata hapa wabunge wangekua serious sheria ingetungwa ila ndo ivo lilikua ni mpito wa kuziba mambo.

Maandamo unayoyataka wewe hizo ni vurugu mkuu, mi naamini inawezekana ila tu kurekebisha mambo ambayo yawapa ushindi kirahisi hao watawala na hayo ndo mambo ya kuandamania sasa ila kwenye uchaguzi tuwe 50/50. Ukiandamana ili ukwae madaraka na ulashindwa, tutaonja joto la jiwe na hata mwelekeo wa nchi utavurugwa vibaya sana.
 
Kuna foleni za nini huko "zenji"?


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Foleni za mchuzi wa pweza, za kuiba, kugombania choo baada kutu kutoka bila khabar, za kununua jelly mafuta, za kununua khaluwa, za kununua pempas nk nk kuna fweleni nyingi tuu
 
Sio kweli wazungu waliua watemi wengi tu pia ndio walio kuwa wanunua watumwa,lakini mbona mnawapenda?kuna jambo limejificha nyuma ya mkataba sio bule
Uelewa wetu ndio tatizo kwani ni mdogo wa masuala haya ya biashara za mikataba. Swala la babu zetu kuuliwa na wazungu ni historia, huwezi kuishi kwa kufuga chuki wenye kustaarabika wanafuga kuku, mbwa, paka na ng'ombe hawafugi chuki za mambo yaliyowatokea mababu zetu.

Kama wewe ni mkristo utakuwa unaelewa maana pana ya msamaha, kanisani kila jumapili tunakumbushwa juu ya msamaha. Kutosamehe kunazeesha mwili upesi sana na ndio sababu ya maradhi yanayoua kama vile stroke na aina mbalimbali za cancer.
 
Kinachosikitisha Tanzania bara, kumbuka kuwa yanayofanywa leo na mama Samia kupitia DP World, yangefanywa kiuaminifu na TICTS miaka zaidi ya 20 nyuma, leo hii Tanzania ingekuwa inafaidika na kwa andari zake kuchangia zaidi ya 100% ya bajeti ya sasa.

Leo mama kapigana ndani ya muda wake mchache aliokuwepo kuwang'oa TICTS ambao walishaota mizizi ambayo ilimshinda hata mwendazake kuwang'oa kibabe. Walikuwa watata kuondoka na wajanja sana na wana nguvu sana. Unagahamu juwa TICTS ilikuwa inamilikiwa na shurika kubwa lankuendesha bandari duniani?

Mkipenda kuyajuwa mtaniuliza ntawapa japo kwa uchache ninavyojuwa vita hii ys kiuchumi imepiganwa vipi. Kwa Wsislam tunasema mama kafanya jihadi kuinusuru Tanzania jutoka tumboni mwa nyangumi, Mwenyezi Mungu kamsaidia kwa nia yake njema na ucha Mungu wake.

Kuhusu Zanzibar, Mwinyi anafanya vizuri sana na kisha saini mikataba na kampuni za kuwekeza kwenye Bandari, kama sikosei tayari bandari mbili za Zanzibar. Yeye alianza na Airport ya Unguja.
Bahati mbaya mimi si kati ya watu wanye matarajio so huwa sifagilii upande wowote hadi nitakaoona neema kwa kila Mtanzania si familia yangu tu.

Najua mfumo hautaki aina ya kauli yangu sababu mfumo ni mwenye nguvu.

Umetaja issue ya CT Scan ukamtaja Mh. Samia kuwa ndiye kavunja, hapo unapaswa kuwadanganya vijana wenzako, kwangu unanikosea sana.

Issue ya Znz kwa Dr. Mwinyi nakaa kimya ila hii mti wenye matunda wa TPA why usingeanzia kwenye uhaba wa matunda ZPA?.


Awaken Faiza, hii nchi ulizaliwa ukaikuta na soon utaondoka na tutaiacha although yule mzee mangungo alifanya kwa sababu alikuwa haelewi na je hawa wenye kila aina uelewa inakuwaje.

Kama katiba unaisigina kuna umuhimu gani wa katiba yenye mustakabali wa maisha ya mtanzania aliyepo na ajaye?.
 
Back
Top Bottom