Kulikoni Waziri Liberata Mulamula! Au Ameparura Mahali?

Kulikoni Waziri Liberata Mulamula! Au Ameparura Mahali?

Ni kitambo sasa tangu tumuone akiwa bega kwa bega na Rais Samia kwenye ziara za kimataifa, kama inavyopaswa kuwa.

Na Pia katika shughuli zingine za kidiplomasia, ndani ya nchi kama tulivyokwishazowea. kumuona.

Mara ya mwisho hadharani, kama sikosei ilikuwa ni kwenye ziara ya Rais Samia kwenda kuhutubia Baraza la umoja wa Mataifa nchini Marekani.

Huyu ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa nchini Tanzania.

Kidiplomasia anawajibika kuwepo kwenye shughuli zote za Kiserikali, zinazohusiana na Diplomasia na mahusiano ya kimataifa. Pale anapokuwepo Rais kwenye ziara za nje ya nchi.

Hata huyo JK...kilichompatia uzoefu na hadi kuwaaminisha watanzania kwamba angeweza kuongoza nchi hii.
Alianzia huko huko kwenye ziara za Mzee Mkapa (R.I.P).

Liberata Mulamula alianza kwa kasi na kuwa na vyombo vya habari mara nyingi,akiitolea taarifa mbalimbali Serikali kupitia Wizara yake na matukio husika.

Lakini kuanzia kwenye Royal Tour, hatukumuona tena na badala yake tulimuona Bwana Hassan Abbas na wengineo akiwemo Zuhura Yunus.

Hali imeendelea hivyo na hata ziara zilizofuatia hivi karibuni.
ikiwemo ya Uganda na sasa huko Ghana.

Tunaomba mwenye kujua nini kilichomsibu waziri wetu.
Atuwekee hadharani, kwa sababu huyu ni kiongozi wa umma na anapaswa kuwepo kwenye eneo lake la kazi kwa mujibu wa sheria na katiba.
Inaelekea mulamula ni mtu wa msimamo wa siasa za kizalendo huku mama ni mtu wa maslahi mbele.
 
IMG_0470.jpg
 
Ni kitambo sasa tangu tumuone akiwa bega kwa bega na Rais Samia kwenye ziara za kimataifa, kama inavyopaswa kuwa.

Na Pia katika shughuli zingine za kidiplomasia, ndani ya nchi kama tulivyokwishazowea. kumuona.

Mara ya mwisho hadharani, kama sikosei ilikuwa ni kwenye ziara ya Rais Samia kwenda kuhutubia Baraza la umoja wa Mataifa nchini Marekani.

Huyu ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa nchini Tanzania.

Kidiplomasia anawajibika kuwepo kwenye shughuli zote za Kiserikali, zinazohusiana na Diplomasia na mahusiano ya kimataifa. Pale anapokuwepo Rais kwenye ziara za nje ya nchi.

Hata huyo JK...kilichompatia uzoefu na hadi kuwaaminisha watanzania kwamba angeweza kuongoza nchi hii.
Alianzia huko huko kwenye ziara za Mzee Mkapa (R.I.P).

Liberata Mulamula alianza kwa kasi na kuwa na vyombo vya habari mara nyingi,akiitolea taarifa mbalimbali Serikali kupitia Wizara yake na matukio husika.

Lakini kuanzia kwenye Royal Tour, hatukumuona tena na badala yake tulimuona Bwana Hassan Abbas na wengineo akiwemo Zuhura Yunus.

Hali imeendelea hivyo na hata ziara zilizofuatia hivi karibuni.
ikiwemo ya Uganda na sasa huko Ghana.

Tunaomba mwenye kujua nini kilichomsibu waziri wetu.
Atuwekee hadharani, kwa sababu huyu ni kiongozi wa umma na anapaswa kuwepo kwenye eneo lake la kazi kwa mujibu wa sheria na katiba.
Hili tukio kwenye picha ndio limemponza,Tuna Raisi mwenye very low self esteem,wakati waziri yupo UN,Rais akakimbilia Msumbiji kuzindua halmashauri!!
 

Attachments

  • Screenshot_20221003-072612_1.jpg
    Screenshot_20221003-072612_1.jpg
    60.5 KB · Views: 9
Mama Mula Mula ni mzungu na Mwana diploma dia kindaki Ndani hawezi figisu figisu na Ndumba ( Uganda)hili angedumu kwenye wizara
 
Azov hawakuishambulia Urusi. Lengo la kwanz ala urusi ilikuiwa ni kuichukua ardhi yote ya Ukraine kwa kuondoa Serikali Kiev na kuweka ya kwao, ndiyo maana waliivamia Ukraine kutoka pande tatu za dunia. Baada ya kushindwa, ndiyo wakaanza kuhamia mashariki. Kama lengo lao lilikuwa ni hicho kikosi cha Azov tu (bila sababu yoyote ya msingi) basi baada ya kuwakamata walipoishiwa risasi, chakula na maji basi vita ingeanzia na kuishia hapo.
Wakati wa uvamizi ulikuwa secretary wa Putin, bila Shaka kwani inaelekea unajua mengi kuhusu SMO
 
Ni kitambo sasa tangu tumuone akiwa bega kwa bega na Rais Samia kwenye ziara za kimataifa, kama inavyopaswa kuwa.

Na Pia katika shughuli zingine za kidiplomasia, ndani ya nchi kama tulivyokwishazowea. kumuona.

Mara ya mwisho hadharani, kama sikosei ilikuwa ni kwenye ziara ya Rais Samia kwenda kuhutubia Baraza la umoja wa Mataifa nchini Marekani.

Huyu ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa nchini Tanzania.

Kidiplomasia anawajibika kuwepo kwenye shughuli zote za Kiserikali, zinazohusiana na Diplomasia na mahusiano ya kimataifa. Pale anapokuwepo Rais kwenye ziara za nje ya nchi.

Hata huyo JK...kilichompatia uzoefu na hadi kuwaaminisha watanzania kwamba angeweza kuongoza nchi hii.
Alianzia huko huko kwenye ziara za Mzee Mkapa (R.I.P).

Liberata Mulamula alianza kwa kasi na kuwa na vyombo vya habari mara nyingi,akiitolea taarifa mbalimbali Serikali kupitia Wizara yake na matukio husika.

Lakini kuanzia kwenye Royal Tour, hatukumuona tena na badala yake tulimuona Bwana Hassan Abbas na wengineo akiwemo Zuhura Yunus.

Hali imeendelea hivyo na hata ziara zilizofuatia hivi karibuni.
ikiwemo ya Uganda na sasa huko Ghana.

Tunaomba mwenye kujua nini kilichomsibu waziri wetu.
Atuwekee hadharani, kwa sababu huyu ni kiongozi wa umma na anapaswa kuwepo kwenye eneo lake la kazi kwa mujibu wa sheria na katiba.
Kuna waandishi wa habari walitumwa na mtu ambaye hajulikani kwenda kumchokonoa kimaudhi (provocation) ambapo alishindwa kubaini nia yao na kwamba maongezi yalikuwa yanarekodiwa akajichanganya atamka kwamba " hata sijisikii kuendelea kuwa kiongozi...."

Mwezi huu wa kumi Mungu aliye hai ataupima uadilifu wa utawala kupitia amri kumi zake. Kuna amri moja ukiivunja ni swa umevunja amri zote kwa sababu pamoja na kumtendea mtu mwingine ndivyo isivyo lakini pia unaiharibu nafsi yako moja kwa moja ni mpaka ujitie kosa hilo hadharani mbele ya mwenye amri hizo na kuomba msamaha vinginevyo kuna balaa

Wengi watamkumbuka sana JPM pamoja na kwamba alikuwa mkali lakini alikuwa 'objective with logical reasoning that earned the normal citizens' trust for his genuine devotion to resolving the outstanding challenges which they faced.
 
Mulamula alivamia pori Kwa makeke sana. Katulizwa na 2025 asahau kabisa mambo ya ubunge. Uchawi upo
 
Back
Top Bottom