Kulikoni ya wanawake na mavazi haya? Inasikitisha mnapoteza asili yenu

Kulikoni ya wanawake na mavazi haya? Inasikitisha mnapoteza asili yenu

dada charity elewa kwamba huyu aliyeleta hii mada ni kijana,inwezekana hajaoa kwa hiyo haja anamalizia kwa hao anaowasema.dunia ya leo huwezi kupata mwanamke wa fasta mwenye maadili.cha msingi mkubalie kwamba tatizo hilo lipo na mshauri wanawake wenye joto wapo kibao na ni wengi kuliko hao wakaa uchi,atafute wake afuate taratibu aoe amtunze mkewe kwa maadili yote na hilo tatizo hataliona tena kwenye maisha yake.
 
Mkuu ni uwendawazimu huu wala sio kwenda na wakati, wakagombee udiwani na ubunge pamoja na kusoma ndio kwenda na wakati

Kuna sehemu nilipita nikasikia masister duu wanaponda kuvaa nguo za vitenge niliwashangaa mikaendela na hamsini zangu
 
SI JAzba.
alichosema mdada apo juu ni kweli .....umewatest wooooote?????
dont go for generality .specification z much better.
although ulichokisema apo juu kinaukweli tatizo umewakusanya waote including your mother kitu ambacho naaamin si kweli kwamba mamako anatenda ayo uliomention....nakataa afanyi ivyo ingawa sjamwona wala simjui lakin kwa kukusoma wewe up stair yako ikoje .thats ur gud bas naamini mama pia ni mtu mwenye maadili yake ndo maana aliweza kukukza kwenye busara na hekima..............
apa tunacholalamika ni kukusanya WANAWAKE WOOOOOOOOOTE.....

NI KWLI TABIA IYO MBAYA YA baadhi ya wanawake kuvaa vibaya ipo,.............wanavaa almost uchi..wala hawajiheshimu.............hii inatukera pia ata sisi wanawake .ila ndo ivyo tenamaadili nehi babawewe watu wameamua kujiachia sjui nini chanzo bt it is.......

tumwombe mungu labda wanawake wenzetu wantapata sense ya kuurudia utu wao na si km nw says wanavyojifanya mapambo ya wachina kwa kujitembezza nusu uchi!!!!!1
nawasilisha braza n m sor if nimekukwaza bt try kuispesify nxt tm
pamoja sana:A S 13:
Yaani ubeijing umewakaa vichwani hadi mnamiss the whole point. No disrespect intended lakini kama ukitumia common sense katika kusoma kile ambacho Mkuu Makoyo ameandika utaelewa anataka kuongea kitu gani.
 
dada charity elewa kwamba huyu aliyeleta hii mada ni kijana,inwezekana hajaoa kwa hiyo haja anamalizia kwa hao anaowasema.dunia ya leo huwezi kupata mwanamke wa fasta mwenye maadili.cha msingi mkubalie kwamba tatizo hilo lipo na mshauri wanawake wenye joto wapo kibao na ni wengi kuliko hao wakaa uchi,atafute wake afuate taratibu aoe amtunze mkewe kwa maadili yote na hilo tatizo hataliona tena kwenye maisha yake.
Sasa hao wakaa uchi si ndio wanamaliza kila kitu. Yaani mzee unarudi home hamu na mamaa hadi upige stata ..........
 
Tatizo kizazi cha sasa kimepotoka.Kuna wanaume siku hizi wanajiremba ili wapendeke,bado kidogo nao wataanza kuvaa vimini na vitop.Na tatizo linakuja kuwa kuna wanaume wanawanunulia watoto wao wa kike au wake zao mavazi haya.Au mwanamke akivaa mavazi yasiyobana au marefu ndio anaonekana mshamba na mchafu.Sasa hao wanawake walioko kwenye biashara akioneka mwenzie aliyevaa 'vibaya' anafuatwa na yeye ataiga huo uvaaji.
Kwa maana hiyo nasisitiza tatizo kweli ni la wanawake lakini tatizo kubwa li la wanaume ndio wanashadadia tabia hii.Hebu anzeni kuwafuata wanawake wenye baibui muone kama asilimia kubwa ya wanawake wanaovaa mini hawajaanza kuvaa baibui na kanga.
 
Tatizo kizazi cha sasa kimepotoka.Kuna wanaume siku hizi wanajiremba ili wapendeke,bado kidogo nao wataanza kuvaa vimini na vitop.Na tatizo linakuja kuwa kuna wanaume wanawanunulia watoto wao wa kike au wake zao mavazi haya.Au mwanamke akivaa mavazi yasiyobana au marefu ndio anaonekana mshamba na mchafu.Sasa hao wanawake walioko kwenye biashara akioneka mwenzie aliyevaa 'vibaya' anafuatwa na yeye ataiga huo uvaaji.
Kwa maana hiyo nasisitiza tatizo kweli ni la wanawake lakini tatizo kubwa li la wanaume ndio wanashadadia tabia hii.Hebu anzeni kuwafuata wanawake wenye baibui muone kama asilimia kubwa ya wanawake wanaovaa mini hawajaanza kuvaa baibui na kanga.
Now u r talkin mama. We are on the same page.........Angalia senksi hapo juu.
 
yani makoyo ongea unavyoweza ni kweli kabisa wanawake wanatia aibu me mwenywewe ni mwaanamke bt kuna mavazi anaweza avae mwanamke mwenzangu mpka me ni mwanamke naona aibu,kuna vitu vya kutetea lakini si mavazi ya kina dada siku hizi ni hatari tupu sema uwezevyo coz ni ukweli ladha ya wanawake inaisha mana mnawaona barabarani akifika chumbani hadhi imeisha
 
jamani hakuna mauzo yasiyo na mnunuzi, hao wanawake wanavaa uchi uchi kwa ajili ya kuwafurahisha nyie wanaume na mnayafurahia hasa mavazi hayo, wewe piga zako kitenge kirefuuu hadi nyayoni uone kama utaangaliwa hata kama umependeza sana, lakini ukivaa hiyo katakundu utaashangaa wanaume wote wanakukgeukia na miluzi utapigiwa, sasa mnataka tufanye nini jamani? lakini pamoja na yote ukweli utabaki palepale kuwa vifunikwavyo ndo viliwavyo na vinaachwa vilo wazi!
 
jamani hakuna mauzo yasiyo na mnunuzi, hao wanawake wanavaa uchi uchi kwa ajili ya kuwafurahisha nyie wanaume na mnayafurahia hasa mavazi hayo, wewe piga zako kitenge kirefuuu hadi nyayoni uone kama utaangaliwa hata kama umependeza sana, lakini ukivaa hiyo katakundu utaashangaa wanaume wote wanakukgeukia na miluzi utapigiwa, sasa mnataka tufanye nini jamani? lakini pamoja na yote ukweli utabaki palepale kuwa vifunikwavyo ndo viliwavyo na vinaachwa vilo wazi!
Unaona raaaaaaaaaha eeh kupigiwa miluzi. Yaani ukishafikia hapo ujue we ni kicheche tu.
 
mnh ina maana kule saudi arabia wanakoshinda na mabaibui mambo yao ndio moto???msitake kutulazimisha na hili joto kuvaa nguo zinazotufanya tuive ndani kwa ndani...
mie hiii topik naona uzushi tuu....
 
mnh ina maana kule saudi arabia wanakoshinda na mabaibui mambo yao ndio moto???msitake kutulazimisha na hili joto kuvaa nguo zinazotufanya tuive ndani kwa ndani...
mie hiii topik naona uzushi tuu....
We si ndo walewale tu wasiojiamini. Unadhani ukikaa uchi ndo watu watakuona wa maana
 
Unaona raaaaaaaaaha eeh kupigiwa miluzi. Yaani ukishafikia hapo ujue we ni kicheche tu.

point yangu ni kuwa nyie ndio chanzo, sasa why umpigie mluzi aloacha vitu wazi mbona ukipita na baibui hupigiwi? tuwaulize nyie mnaona raha gani kuona wanawake wakiwa watupu manjiani na mnaona sifaaa kutembea na videmu kwenye sehemu za starehe wakiwa nusu uchi??? halafu mnakojoa ndani kwa ndani kwa kuwatizama matokeo yake mkifika kitandani hata ukamate mike uiiimbie simama dede nikupe mkate na sausage waaapi jamaa kageukia kushoto tu mnadhani na sie tunapenda hayo??? acheni hizo wanaume!
 
point yangu ni kuwa nyie ndio chanzo, sasa why umpigie mluzi aloacha vitu wazi mbona ukipita na baibui hupigiwi? tuwaulize nyie mnaona raha gani kuona wanawake wakiwa watupu manjiani na mnaona sifaaa kutembea na videmu kwenye sehemu za starehe wakiwa nusu uchi??? halafu mnakojoa ndani kwa ndani kwa kuwatizama matokeo yake mkifika kitandani hata ukamate mike uiiimbie simama dede nikupe mkate na sausage waaapi jamaa kageukia kushoto tu mnadhani na sie tunapenda hayo??? acheni hizo wanaume!
Haya mummy nimekusoma sasa. Ila hata hao wanaopigia miluzi mademu vcheche nao si vicheche tu vilevile au unasemaje???
 
point yangu ni kuwa nyie ndio chanzo, sasa why umpigie mluzi aloacha vitu wazi mbona ukipita na baibui hupigiwi? tuwaulize nyie mnaona raha gani kuona wanawake wakiwa watupu manjiani na mnaona sifaaa kutembea na videmu kwenye sehemu za starehe wakiwa nusu uchi??? halafu mnakojoa ndani kwa ndani kwa kuwatizama matokeo yake mkifika kitandani hata ukamate mike uiiimbie simama dede nikupe mkate na sausage waaapi jamaa kageukia kushoto tu mnadhani na sie tunapenda hayo??? acheni hizo wanaume!
Ni kweli muhanga.Hawa wanaume ndio chanzo afu wanajidai kulalamilia wanawake hapa.
 
Back
Top Bottom