Wewe mjinga kweli! Kwahiyo unataka kupiga fix na show off? CHADEMA ilishavuka huko wewe!Unaenda mwezi wa pili sasa Mbowe alishazunguka kanda nyingi lakini hakuna kanda hata moja walipoonekana wakipokea wanachama wapya wala kurudisha kadi ! Kulikoni?
Chama kinaongozwa ki-digitali kijana, kukimbiza mwizi ni kimya kimya ile style ya Buguruni..lakini hakuna kanda hata moja walipoonekana wakipokea wanachama wapya wala kurudisha kadi ! Kulikoni?
Utakuwa na laana siyo bure, kwani hawezi kusaidiwa na wajuu? Acha ushambaBibi yako huko kishumundu anajua maana ya online registration?
Laana itawatafuna mpaka mkome
Hawezi kuelewa maana ya digital huyo msamehe bureChama kinaongozwa ki-digitali kijana, kukimbiza mwizi ni kimya kimya ile style ya Buguruni..
unataka kuifananisha kishumundu na kolomije?Bibi yako huko kishumundu anajua maana ya online registration?
Laana itawatafuna mpaka mkome
walikuwa wanamuomba Rais Samia aendeleleze siasa za chuki na kinafiki - kawagomea !!Magufuli is dead. Swallow it dude. Harudi tena hata ufanyeje.
swali linasema hivi, "unataka kuifananisha kishumundu na kolomije? wapi nimekwambia kuwa kolomije hakuna chadema?Kwani kolomije hakuna chadema?
Uwe makini tu! Mwisho wa siku usije ukamtunuku kamanda zawadi ya ushindi! Maana mahaba yako kwake, hata hayajifichi.Habari wadau,
Mwishoni mwa mwezi 5 mwaka huu Chadema kupitia mwenyekiti wao Freeman Mbowe walitangaza kuanza ziara nchi nzima za kufufua chama na kusaka wanachama wapya...
Huyu kila kigololi kikimshuka lazima amtaje Mbowe.Hivi mkuu inaweza kupita siku nzima bila wewe kuandika maneno mawili haya: "Chadema au Mbowe?"...
Hili swali limfikie na WAKUDADAVUA pia.Hivi mkuu inaweza kupita siku nzima bila wewe kuandika maneno mawili haya: "Chadema au Mbowe?...
Laana mnayo nyie wajane wa dhalimBibi yako huko kishumundu anajua maana ya online registration?
Laana itawatafuna mpaka mkome