Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mataga hayajaenda shule,na mbumbumbu ndiyo mtaji wa maccm.Umeambiwa wanafanya online, unaelewa maana ya online registration lakini?
Ndiyo maana hawataki kuajiri walimu mpk leoMataga hayajaenda shule,na mbumbumbu ndiyo mtaji wa maccm.
Sasa mbona wewe unahangaika na Chadema usiku kucha mchana kutwa,ujue safari hii hakuna teuzi za kimalaya malaya,tulia tu kwa mumeo wacha kuparamia waume za watu shauri yakoMimi hapa sioni mtu hata mmoja anayehangaika na registration za chadema.
Wasiliana na Gwajima anaweza kukufanyia maombi maalum, angalau kidogo urudishiwe, itakusaidia.Wako wapi wanachama wa kuiandamania chadema?
MATAGA mnahaha. Acheni Kazi Iendelee 🤣Bibi yako huko kishumundu anajua maana ya online registration?
Laana itawatafuna mpaka mkome
Jibu hoja kwa kujikita kwenye madaElitwege Crimea Wakudadavuwa Countrywide YEHODAYA digba sowey
Hawa na wenzao vichwa vyao viko hizi.
View attachment 1814203
Hadi ajifungue ndipo atapunguza kutajaHivi mkuu inaweza kupita siku nzima bila wewe kuandika maneno mawili haya: "Chadema au Mbowe?"
Walisema wahenga aisifuye mvua.
Kwa hakika si bure.
Hivi unazo taarifa kuwa Magufuli alishakufa na alishazikwa tayari ... sasa hivi tunasonga kidijitali zaidi kakaMko vizuri sana kwa kujipa moyo