Teknocrat JF-Expert Member Joined Oct 20, 2018 Posts 4,967 Reaction score 11,056 Nov 9, 2024 #41 Halafu bado kuna nyani weusi wanaamini kindakindaki huu upupu uliotumiwa na wakoloni kututalawa kwa kukubali kupigwa makofi shavu zote mbili...
Halafu bado kuna nyani weusi wanaamini kindakindaki huu upupu uliotumiwa na wakoloni kututalawa kwa kukubali kupigwa makofi shavu zote mbili...
Kazakh destroyer JF-Expert Member Joined Nov 16, 2017 Posts 3,278 Reaction score 6,843 Nov 9, 2024 #42 MamaSamia2025 said: Hapana mkuu. Kuna mambo yanafikirisha halafu tunapeana majibu mepesi ukiuliza kwa viongozi wa kiroho. Click to expand... Karibu jida mkuu, ila nimecheka sana hao watoto 42 walivyodhihaki kipara cha nabii na ulivyohoji.
MamaSamia2025 said: Hapana mkuu. Kuna mambo yanafikirisha halafu tunapeana majibu mepesi ukiuliza kwa viongozi wa kiroho. Click to expand... Karibu jida mkuu, ila nimecheka sana hao watoto 42 walivyodhihaki kipara cha nabii na ulivyohoji.
sawima JF-Expert Member Joined Jul 9, 2019 Posts 5,496 Reaction score 8,491 Nov 10, 2024 #43 mshamba_hachekwi said: Unaulizia makofi polisi😂 Sawima Click to expand... Safi sana.