Kulikuwa na haja gani Putin kuwaua wale marubani na muhudumu wa Ndege badala ya Prigozhin pekee yake?

Kulikuwa na haja gani Putin kuwaua wale marubani na muhudumu wa Ndege badala ya Prigozhin pekee yake?

Ukraine lengo ni kumtia adabu mrusi kitu ambacho ameshakitekeleza, lini ulifikir kwamba siku moja Urusi atapigwa mabomu ndani ya ardhi yake? Lini ulifikir majenerali wa nchi iliyodhaniwa ni tushio kama Russia watakufa kama kuku?
Hayo nimawazo yako, nani kasema wanajeshi au majenerali wa Urusi hawezi kufia vitani - nani? Kuna walio wahi kufia Afghanistani pamoja na vita vya Chenyehya - hayo ni mambo ya kawaida mkiwa vitani.

Kila siku nawahoji je mnajua ni majenerali na wanajeshi wangapi walifia kwenye vita ya Ghuba,Afghanistan, Yugoslavia, Syria, Iraq wakati wakujaribu kumpatia ushauri Ayatollah Khomeni dhidi ya Sadam Hussein, wangapi walikufa katika vita ya VietNam, Laos na Cambodia au wewe hilo ulijuhi - na wao walikuwa wanakufa kama kuku na sio kutumia bunduki na mabomu tu bali na sulaha zilizovtengenezwa kwa mianzi - tuonyeshe link hata moja ambayo Urusi iliwahi kuitangaziav Dunia kwamba wao zaidi kijeshi hizo ni stori za vijiweni zenye lengo la kutisha Dunia kwamba Warusi ni binadamu hatari sana (Russians are coming) hizo ndio kampeini chafu za Merikani kuhusu Urusi - tumekwisha wazoea, sikiliza sasa wanavyo wasema Wachina na North Korea - ngojera hizo hizo za kitoto.
 
Kwahiyo ndege za NATO zilizokuwa zinashambulia halafu waasi wanapata upenyo wa kusonga mbele umesahau?

Hukumbuki kama NATO walifunga anga ya Libya ili wapate kushambulia kwa kisingizio cha ugaidi wa Gaddaf?

alimsingizia nani wewe???
urusi yupo pale kwenye baraza la usalama na veto yake ambayo ingeweza kuzuia uingiliaji ya nato ila akapiga kimya. Unadhani kwa nini?
 
Mzuka wanajamvi!

Mwanadada mrembo Kristina Raspopova alikuwa muhudumu kwenye ndege iliyopata ajali na kumuua boss wa Wagner Yevgeny Prigozhin aliwasiliana na familia yake kabla ya safari kwa kushangaa kwanini safari iliahirishwa eti ndege inafanyiwa matengenezo. Kumbe wanachomeka mabomu.

Sasa kama Putin alitaka kuwaua Boss wa Wagner Prigozhin na wenzake kwanini sasa akawatoa kafara marubani wawili na huyu flight attendant mrembo ambao hawana hatia?

Ni roho mbaya tu hili liputin limemwaga damu Ukraine. Angewaua tu wahuni wenzake kina Prigozhin huko.

Lenyewe limebaki kujificha kwenye mahandaki likila na kulala. Lioga kama nini limeogopa hata kwenda kwenye mkutano wa Brics.

Putin na genge lake wanadhani wataishi milele?
Hapa utajibiwa na Uvccm badala ya KGB
 
Ukiongozana na mtu kama yule elewa kuwa unatembea na bomu.

Hakuna wa kulaumiwa.
Mtu mwenyewe alisha komazwa na vita sasa wewe unasikitika,wakati hata mtu mwenyewe akishakuwa hajali na haogopi chochote 😂
 
Sawa. Hata pale Libya 99% ni waislamu lkn waliuana kama kuku.
Sudan asilimia kubwa ni waislam lkn wanachinjana km kuku mpk sasa hivi ila cha ajabu wanamsingizia Marekani.
Hawa waislamu koko hawajawahi kuwa na akili
 
Wanalibya walibeba silaha wakaingia vitani halafu wanaisingizia Marekani.
Huwa mnakera sn watu mnaojua ukweli halafu mnaongea vitu kiushabiki hao wa libya walikuwa wana ndege za kivita au hujui kabla hajauawa gaddaf msafara wake ulishambuliwa na fighter jets za nato+usa ndio akatoka kwenye gari kwanda kujificha yaani hii jf internation siku hz wamejaa watu wazima wenye akili za kitoto ndio maana humu siku hz wenye akili zao akina infrant soldier na wa kongwe wengi washaachana na jf au wanasoma tu hawaanzishi uzi washaona upuuzi tu humu mtu anabisha kitu chenye ukweli na anajua ukweli .
 
Viongozi wa Afrika uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana.
Wao wanafikiri Russia na China watakuwa msaada sana kwao kumbe wanawekwa kwenye mtego ili rasilimali zote ziende China na Russia.
Baada wajitoe kwenye mfungamano, watengeneze umoja wao Afrika ila wanaenda kwa mkoloni mwingine.
Putin anamuonea wivu sana Marekani, mfaransa na Uingereza kwa kuchukua mali nyingi sana kwahiyo miaka inayokuja baadhi ya nchi zitakuwa ni koloni la mrusi na mchina.
Nchi za Afrika hawajifunzi kwa Ukraine. Kwanini Urusi anaipiga Ukraine? Ukishapata jibu basi ujue Urusi hana nia njema na bara la Afrika.
kwamba unaona sawa kuibiwa na mwizi mmoja tokea uhuru hahahah sasa si bora tumbadilishe mwizi tuone na yeye atatusogeza vipi kuliko kukomaa na mwizi mmoja ambae anachukua vitu na hatusogei??? nyie ndo mnaoona ni bora ccm waendelee kutawala kuliko kujaribu chama kingine. shwain kabisa
 
Mzuka wanajamvi!

Mwanadada mrembo Kristina Raspopova alikuwa muhudumu kwenye ndege iliyopata ajali na kumuua boss wa Wagner Yevgeny Prigozhin aliwasiliana na familia yake kabla ya safari kwa kushangaa kwanini safari iliahirishwa eti ndege inafanyiwa matengenezo. Kumbe wanachomeka mabomu.

Sasa kama Putin alitaka kuwaua Boss wa Wagner Prigozhin na wenzake kwanini sasa akawatoa kafara marubani wawili na huyu flight attendant mrembo ambao hawana hatia?

Ni roho mbaya tu hili liputin limemwaga damu Ukraine. Angewaua tu wahuni wenzake kina Prigozhin huko.

Lenyewe limebaki kujificha kwenye mahandaki likila na kulala. Lioga kama nini limeogopa hata kwenda kwenye mkutano wa Brics.

Putin na genge lake wanadhani wataishi milele?
Ktk maswala ya usalama ukitumwa kazi usiifanye wanakula kichwa wewe na walie kutuma umalize .. 🤐 bado unapenda kuwa mwana usalama?
 
Back
Top Bottom