Kulikuwa na haja gani Putin kuwaua wale marubani na muhudumu wa Ndege badala ya Prigozhin pekee yake?

Kulikuwa na haja gani Putin kuwaua wale marubani na muhudumu wa Ndege badala ya Prigozhin pekee yake?

Mzuka wanajamvi!

Mwanadada mrembo Kristina Raspopova alikuwa muhudumu kwenye ndege iliyopata ajali na kumuua boss wa Wagner Yevgeny Prigozhin aliwasiliana na familia yake kabla ya safari kwa kushangaa kwanini safari iliahirishwa eti ndege inafanyiwa matengenezo. Kumbe wanachomeka mabomu.

Sasa kama Putin alitaka kuwaua Boss wa Wagner Prigozhin na wenzake kwanini sasa akawatoa kafara marubani wawili na huyu flight attendant mrembo ambao hawana hatia?

Ni roho mbaya tu hili liputin limemwaga damu Ukraine. Angewaua tu wahuni wenzake kina Prigozhin huko.

Lenyewe limebaki kujificha kwenye mahandaki likila na kulala. Lioga kama nini limeogopa hata kwenda kwenye mkutano wa Brics.

Putin na genge lake wanadhani wataishi milele?
Waliomuua Ghadafi,Sadam wale wataishi milele.... Wala usiwaze....
 
Mzuka wanajamvi!

Mwanadada mrembo Kristina Raspopova alikuwa muhudumu kwenye ndege iliyopata ajali na kumuua boss wa Wagner Yevgeny Prigozhin aliwasiliana na familia yake kabla ya safari kwa kushangaa kwanini safari iliahirishwa eti ndege inafanyiwa matengenezo. Kumbe wanachomeka mabomu.

Sasa kama Putin alitaka kuwaua Boss wa Wagner Prigozhin na wenzake kwanini sasa akawatoa kafara marubani wawili na huyu flight attendant mrembo ambao hawana hatia?

Ni roho mbaya tu hili liputin limemwaga damu Ukraine. Angewaua tu wahuni wenzake kina Prigozhin huko.

Lenyewe limebaki kujificha kwenye mahandaki likila na kulala. Lioga kama nini limeogopa hata kwenda kwenye mkutano wa Brics.

Putin na genge lake wanadhani wataishi milele?
Taasisi ya Urais ina wivu kupindukia.
Prigozhin alifanya kitu mbaya sana ya usaliti na mbaya zaidi kutaka kumpindua V.Putin.
Aise, Putin alijawa hasira hadi kushindwa kuongea.

Katika siasa na hata maisha yakawaida, ukitaka kummaliza mbaya au mpinzani wako msogeze karibu yako, ajisahau kidogo kisha maliza mchezo taratibu kwa uhakika zaidi.
Ndicho kilichompata prigozhin. Alisogezwa karibu, akajisahau, akajaa kwenye 18 za mipango ya Putin, wakamaliza kazi.


Sasa Maghayo. Licha ya ubaya wa jambo lenyewe,
Je, na wewe mtu mwema na mwenye huruma sana utaishi milele, hiki ni kitu cha kutafakari pia.
 
Taasisi ya Urais ina wivu kupindukia.
Prigozhin alifanya kitu mbaya sana ya usaliti na mbaya zaidi kutaka kumpindua V.Putin.
Aise, Putin alijawa hasira hadi kushindwa kuongea.

Katika siasa na hata maisha yakawaida, ukitaka kummaliza mbaya au mpinzani wako msogeze karibu yako, ajisahau kidogo kisha maliza mchezo taratibu kwa uhakika zaidi.
Ndicho kilichompata prigozhin. Alisogezwa karibu, akajisahau, akajaa kwenye 18 za mipango ya Putin, wakamaliza kazi.


Sasa Maghayo. Licha ya ubaya wa jambo lenyewe,
Je, na wewe mtu mwema na mwenye huruma sana utaishi milele, hiki ni kitu cha kutafakari pia.
Hahaha mkuu wote njia ni Ile ile.
 
Wanalibya walibeba silaha wakaingia vitani halafu wanaisingizia Marekani.
Kwahiyo ndege za NATO zilizokuwa zinashambulia halafu waasi wanapata upenyo wa kusonga mbele umesahau?

Hukumbuki kama NATO walifunga anga ya Libya ili wapate kushambulia kwa kisingizio cha ugaidi wa Gaddaf?
 
Viongozi wa Afrika uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana.
Wao wanafikiri Russia na China watakuwa msaada sana kwao kumbe wanawekwa kwenye mtego ili rasilimali zote ziende China na Russia.
Baada wajitoe kwenye mfungamano, watengeneze umoja wao Afrika ila wanaenda kwa mkoloni mwingine.
Putin anamuonea wivu sana Marekani, mfaransa na Uingereza kwa kuchukua mali nyingi sana kwahiyo miaka inayokuja baadhi ya nchi zitakuwa ni koloni la mrusi na mchina.
Nchi za Afrika hawajifunzi kwa Ukraine. Kwanini Urusi anaipiga Ukraine? Ukishapata jibu basi ujue Urusi hana nia njema na bara la Afrika.
unafahamu mikataba ya Ufaransa na baadhi na nchi za Afrika magharibi?wamehamua kutafuta mshirika mwingine mwenye rasilimali nyingi
 
wale marubani wote walikua wafanyakazi wa wagner group wahuni wezi wa mali zetu afrika magharibi na kati, mwizi wa mali zetu hata awe mzuri vipi tutamsema in tundulisuu voice, piga hao
 
Mkuu usisahau pia kwa waarabu uchwara hapo Somalia.
Pale mogadishu kuna historia mbaya ilibidi Bill Clinton arudishe vijana wake nyumbani walitekwa baada ya ambush wakawafunga nyuma ya gari na kuwaburuza mogadishu yote walishaigizia movie ile ya black hawk dawn kule mogadishu ni mojawapo ya nightmare zilizowakuta rafiki zetu hawapendi hata kukumbuka ya kule ila wale ma -war lord kwa sasa walishasambaratishwa na mogadishu imetulia sasa hail to peace and instability thanks to ethiopia ,kdf and AU plus other force behind the scene.
 
Back
Top Bottom