Kulikuwa na haja gani TEC kupinga mkataba wa bandari?

Kulikuwa na haja gani TEC kupinga mkataba wa bandari?

Mapensho star

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2016
Posts
3,052
Reaction score
4,104
Serikali ilisema inasikiliza maoni ya watanzania wote kuhusu mkataba wa bandari na viongozi wa dini walikuwa na nafasi kubwa ya kusikilizwa maoni yao

Ikumbukwe Kanisa katoliki walitoa waraka wa kupinga mkataba wa bandari wiki sita lakini leo hii tumewaona wakishiriki pamoja na serikali katika utiaji wa saini na wawekezaji

Swali la msingi kulikuwa na haja gani kuzua taharuki hii kwa watanzania wakati walikuwa wanajua walikuwa wana nafasi ya kusikilizwa kama kanisa Leo hii wimbo umekuwa ni mmoja tu rais anaiuza tanganyika

Kuna wanaharakati wengine wasomi waliokuwa mstari wa mbele nao kupinga mkataba huu mwabukusi,lisu,dk slaa na prof shivji

Hawa niliowataja nilivyowasikia nukuu zao wakisema

Bandari imetolewa bure kwa dpw
mkataba haurekebishiki

Kilichosainiwa kwenye IGA huwa hakibadili

Mkataba huu hauvunjiki
 
Tec,Chadema,Slaa na hao wote akiwemo Tibaijuka walikuwa ni pressure groups...wanatumika kushinikiza...kuzuia Dpworld...abaki Ticts au mwingine kutoka Ulaya...

Pressure gruops huwa zina sponsors...
Walilipwa wakafanya kazi wameshindwa...sasa wanarudi kwenye shughuli zao za kila siku
 
Tec,Chadema,Slaa na hao wote akiwemo Tibaijuka walikuwa ni pressure groups...wanatumika kushinikiza...kuzuia Dpworld...abaki Ticts au mwingine kutoka Ulaya...

Pressure gruops huwa zina sponsors...
Walilipwa wakafanya kazi wameshindwa...sasa wanarudi kwenye shughuli zao za kila siku
Thibitisha hilo ulisemalo. Usipayuke ovyo kama mbayuwayu
 
Tec,Chadema,Slaa na hao wote akiwemo Tibaijuka walikuwa ni pressure groups...wanatumika kushinikiza...kuzuia Dpworld...abaki Ticts au mwingine kutoka Ulaya...

Pressure gruops huwa zina sponsors...
Walilipwa wakafanya kazi wameshindwa...sasa wanarudi kwenye shughuli zao za kila siku
Weka ushahidi
 
Tec,Chadema,Slaa na hao wote akiwemo Tibaijuka walikuwa ni pressure groups...wanatumika kushinikiza...kuzuia Dpworld...abaki Ticts au mwingine kutoka Ulaya...

Pressure gruops huwa zina sponsors...
Walilipwa wakafanya kazi wameshindwa...sasa wanarudi kwenye shughuli zao za kila siku
Wewe nawe udini tu ndiyo unakusumbua huna lolote. Mkataba ulioleta mjadala ulikuwa na vipengele viovu,baada ya malalamiko ya wananchi ndiyo yalikusanywa maoni ya wote ikaundwa kamati kuyapitia na yaliyofaa ndiyo yaliingizwa kwenye mikataba iliyosainiwa leo,Rais kaelezea vizuri tu mbona. Shida yako ni walioleta hoja na si hoja zao kwa vile ni wa dini tofauti na yako.
 
Kuhudhuria haimaanishi unaunga mkono. Mbona ni kitu rahisi tu aisee?
 
Maaskofu wamekubaliana na IGA baada ya mwanzo kuiona haifai. Sasa sijui busara zao zimeongezeka ghafla ndani ya miezi mitatu au zimepungua?.

As long as IGA iko vilevile basi tafakuri ya Maaskofu wanayotwambia waliifanya kabla ya kuandaa ule waraka ilikuwa ni tafakuri yenye hila ndani yake.
 
Maaskofu wamekubaliana na IGA baada ya mwanzo kuiona haifai. Sasa sijui busara zao zimeongezeka ghafla ndani ya miezi mitatu au zimepungua?.

As long as IGA iko vilevile basi tafakuri ya Maaskofu wanayotwambia waliifanya kabla ya kuandaa ule waraka ilikuwa ni tafakuri yenye hila ndani yake.
MABORESHO YA MKATABA
Wamebadilisha vipengere vyote tata…

1. Mkataba maximum miaka 30

2. Watalipa kodi zote za Serikali kwa mujibu wa Sheria

3. Wamewekewa performance key indicators na watakuwa accessed kila baada ya miaka 5

4. Serikali itachukua 60% ya mapato ya faida

5. Serikali inauwezo wa kuvunja mkataba muda wowote

6. Mkataba huu sio wa gati zote za Bandari ya Dar es Salaam gati ambazo hazipo kwenye mkataba huu zinatafutiwa Mwekezaji mwingine (hata huyu wa sasa)
 
MABORESHO YA MKATABA
Wamebadilisha vipengere vyote tata…

1. Mkataba maximum miaka 30

2. Watalipa kodi zote za Serikali kwa mujibu wa Sheria

3. Wamewekewa performance key indicators na watakuwa accessed kila baada ya miaka 5

4. Serikali itachukua 60% ya mapato ya faida

5. Serikali inauwezo wa kuvunja mkataba muda wowote

6. Mkataba huu sio wa gati zote za Bandari ya Dar es Salaam gati ambazo hazipo kwenye mkataba huu zinatafutiwa Mwekezaji mwingine (hata huyu wa sasa)
IGA iko vilevile haijabadilishwa hata nukta!
 
Serikali ilisema inasikiliza maoni ya watanzania wote kuhusu mkataba wa bandari na viongozi wa dini walikuwa na nafasi kubwa ya kusikilizwa maoni yao

Ikumbukwe Kanisa katoliki walitoa waraka wa kupinga mkataba wa bandari wiki sita lakini leo hii tumewaona wakishiriki pamoja na serikali katika utiaji wa saini na wawekezaji

Swali la msingi kulikuwa na haja gani kuzua taharuki hii kwa watanzania wakati walikuwa wanajua walikuwa wana nafasi ya kusikilizwa kama kanisa Leo hii wimbo umekuwa ni mmoja tu rais anaiuza tanganyika

Kuna wanaharakati wengine wasomi waliokuwa mstari wa mbele nao kupinga mkataba huu mwabukusi,lisu,dk slaa na prof shivji

Hawa niliowataja nilivyowasikia nukuu zao wakisema

Bandari imetolewa bure kwa dpw
mkataba haurekebishiki

Kilichosainiwa kwenye IGA huwa hakibadili

Mkataba huu hauvunjiki

Bila waraka wa "TEC" bandari zilikwishauzwa!

Wewe ni mpumbavu mmoja unayeipigia chapuo CCM bila kujua kwamba wajanja tunakuchora!

Nini hasa point yako hapo?
Au us*nge wa ki CCM unakusumbua wewe kizazi cha laana?

Mtu yeyote anaekuja kwa kuitafuta chokochoko TEC kwangu ni mpumbavu mkubwa!
 
TEC na Watanzania kwa ujumla ni
Ndumila kuwili...

Mtanzania ukisha mhonga na kumhakikishia gawio la maokoto anabadili Nia yake on the spot.

Black people cannot rule themselves

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Serikali ilisema inasikiliza maoni ya watanzania wote kuhusu mkataba wa bandari na viongozi wa dini walikuwa na nafasi kubwa ya kusikilizwa maoni yao

Ikumbukwe Kanisa katoliki walitoa waraka wa kupinga mkataba wa bandari wiki sita lakini leo hii tumewaona wakishiriki pamoja na serikali katika utiaji wa saini na wawekezaji

Swali la msingi kulikuwa na haja gani kuzua taharuki hii kwa watanzania wakati walikuwa wanajua walikuwa wana nafasi ya kusikilizwa kama kanisa Leo hii wimbo umekuwa ni mmoja tu rais anaiuza tanganyika

Kuna wanaharakati wengine wasomi waliokuwa mstari wa mbele nao kupinga mkataba huu mwabukusi,lisu,dk slaa na prof shivji

Hawa niliowataja nilivyowasikia nukuu zao wakisema

Bandari imetolewa bure kwa dpw
mkataba haurekebishiki

Kilichosainiwa kwenye IGA huwa hakibadili

Mkataba huu hauvunjiki
bila TEC bibi ushungi alikuwa anauza Tanganyika kwa wapwa zake wakoloni wa kiarabu.
 
Ishukuriwe TEC kwa tamko lililofanya serikali iwe makini kusikiliza na kubadilisha vifungu kulingana na maoni la sivyo maoni ya wananchi yangepuuzwa
 
MABORESHO YA MKATABA
Wamebadilisha vipengere vyote tata…

1. Mkataba maximum miaka 30

2. Watalipa kodi zote za Serikali kwa mujibu wa Sheria

3. Wamewekewa performance key indicators na watakuwa accessed kila baada ya miaka 5

4. Serikali itachukua 60% ya mapato ya faida

5. Serikali inauwezo wa kuvunja mkataba muda wowote

6. Mkataba huu sio wa gati zote za Bandari ya Dar es Salaam gati ambazo hazipo kwenye mkataba huu zinatafutiwa Mwekezaji mwingine (hata huyu wa sasa)
Hoja ya Tec haikuwa vipengere vya mkataba virekebishwe bali hoja yake ilikuwa ni mkataba ufutwe na bandari iendeshwe na wawekezaji wa ndani,acheni kujifariji mmepuuzwa.
 
Ishukuriwe TEC kwa tamko lililofanya serikali iwe makini kusikiliza na kubadilisha vifungu kulingana na maoni la sivyo maoni ya wananchi yangepuuzwa
Lakini suala la kurekebisha vifungu vya mkataba bali hoja yao ilikuwa ni mkataba ufutwe na wawekezaji wa ndani ndo waendeshe kampuni.
 
Serikali ilisema inasikiliza maoni ya watanzania wote kuhusu mkataba wa bandari na viongozi wa dini walikuwa na nafasi kubwa ya kusikilizwa maoni yao

Ikumbukwe Kanisa katoliki walitoa waraka wa kupinga mkataba wa bandari wiki sita lakini leo hii tumewaona wakishiriki pamoja na serikali katika utiaji wa saini na wawekezaji

Swali la msingi kulikuwa na haja gani kuzua taharuki hii kwa watanzania wakati walikuwa wanajua walikuwa wana nafasi ya kusikilizwa kama kanisa Leo hii wimbo umekuwa ni mmoja tu rais anaiuza tanganyika

Kuna wanaharakati wengine wasomi waliokuwa mstari wa mbele nao kupinga mkataba huu mwabukusi,lisu,dk slaa na prof shivji

Hawa niliowataja nilivyowasikia nukuu zao wakisema

Bandari imetolewa bure kwa dpw
mkataba haurekebishiki

Kilichosainiwa kwenye IGA huwa hakibadili

Mkataba huu hauvunjiki


Acheni ushamba MOU iko palepale hii mikataba mengine ni vyongeza tu mkataba Mama bado mbaya
 
Back
Top Bottom