ITR
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 6,096
- 16,390
Kivipi?Kanisa limefanikiwa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipi?Kanisa limefanikiwa sana
Terms wiseKivipi?
Huyo ana hizo hoja zake kazipangilia anapost kila uzi wa tec kuhudhuria dp world..kapewa kazi hiyoHoja ya Tec haikuwa vipengere vya mkataba virekebishwe bali hoja yake ilikuwa ni mkataba ufutwe na bandari iendeshwe na wawekezaji wa ndani,acheni kujifariji mmepuuzwa.
Walisema mkataba mbovu ufutwe,bandari tuendeleze wenyeweNarudia tena! Hawakupinga uwekezaji bali walipinga baadhi ya vipengele, vimeondolewa, shida ikon wapi?
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Rudia tena kusoma walisena hawapingi uwekezaji Ila wenye tija utakaozingatia maoni ya wananchi kama inashindikana watafutwe wawekezaji wapya,interpretation ndio issue😁Lakini suala la kurekebisha vifungu vya mkataba bali hoja yao ilikuwa ni mkataba ufutwe na wawekezaji wa ndani ndo waendeshe kampuni.
Kwani yale mabadiriko yametokana na nini?Serikali ilisema inasikiliza maoni ya watanzania wote kuhusu mkataba wa bandari na viongozi wa dini walikuwa na nafasi kubwa ya kusikilizwa maoni yao
Ikumbukwe Kanisa katoliki walitoa waraka wa kupinga mkataba wa bandari wiki sita lakini leo hii tumewaona wakishiriki pamoja na serikali katika utiaji wa saini na wawekezaji
Swali la msingi kulikuwa na haja gani kuzua taharuki hii kwa watanzania wakati walikuwa wanajua walikuwa wana nafasi ya kusikilizwa kama kanisa Leo hii wimbo umekuwa ni mmoja tu rais anaiuza tanganyika
Kuna wanaharakati wengine wasomi waliokuwa mstari wa mbele nao kupinga mkataba huu mwabukusi,lisu,dk slaa na prof shivji
Hawa niliowataja nilivyowasikia nukuu zao wakisema
Bandari imetolewa bure kwa dpw
mkataba haurekebishiki
Kilichosainiwa kwenye IGA huwa hakibadili
Mkataba huu hauvunjiki
Nakubaliana na wewe hapa tumepigwa changa la machoAcheni ushamba MOU iko palepale hii mikataba mengine ni vyongeza tu mkataba Mama bado mbaya
Umerekebishwa na ubovu umeondolewa, unataka wasemeje?Walisema mkataba mbovu ufutwe,bandari tuendeleze wenyewe
Umerekebishwa wapi bnaUmerekebishwa na ubovu umeondolewa, unataka wasemeje?
Hawana jipya hao ni wazandiki tu!!Serikali ilisema inasikiliza maoni ya watanzania wote kuhusu mkataba wa bandari na viongozi wa dini walikuwa na nafasi kubwa ya kusikilizwa maoni yao
Ikumbukwe Kanisa katoliki walitoa waraka wa kupinga mkataba wa bandari wiki sita lakini leo hii tumewaona wakishiriki pamoja na serikali katika utiaji wa saini na wawekezaji
Swali la msingi kulikuwa na haja gani kuzua taharuki hii kwa watanzania wakati walikuwa wanajua walikuwa wana nafasi ya kusikilizwa kama kanisa Leo hii wimbo umekuwa ni mmoja tu rais anaiuza tanganyika
Kuna wanaharakati wengine wasomi waliokuwa mstari wa mbele nao kupinga mkataba huu mwabukusi,lisu,dk slaa na prof shivji
Hawa niliowataja nilivyowasikia nukuu zao wakisema
Bandari imetolewa bure kwa dpw
mkataba haurekebishiki
Kilichosainiwa kwenye IGA huwa hakibadili
Mkataba huu hauvunjiki
MABORESHO YA MKATABA
Wamebadilisha vipengere vyote tata…
1. Mkataba maximum miaka 30
2. Watalipa kodi zote za Serikali kwa mujibu wa Sheria
3. Wamewekewa performance key indicators na watakuwa accessed kila baada ya miaka 5
4. Serikali itachukua 60% ya mapato ya faida
5. Serikali inauwezo wa kuvunja mkataba muda wowote
6. Mkataba huu sio wa gati zote za Bandari ya Dar es Salaam gati ambazo hazipo kwenye mkataba huu zinatafutiwa Mwekezaji mwingine (hata huyu wa sasa)
𝐏𝐨𝐢𝐧𝐭𝐥𝐞𝐬𝐬Tec,Chadema,Slaa na hao wote akiwemo Tibaijuka walikuwa ni pressure groups...wanatumika kushinikiza...kuzuia Dpworld...abaki Ticts au mwingine kutoka Ulaya...
Pressure gruops huwa zina sponsors...
Walilipwa wakafanya kazi wameshindwa...sasa wanarudi kwenye shughuli zao za kila siku