Kulikuwa na sababu gani Singida Black Stars kuanzisha wachezaji wengi wa kikosi cha pili wakati wachezaji kikosi cha kwanza wapo fit?

Kulikuwa na sababu gani Singida Black Stars kuanzisha wachezaji wengi wa kikosi cha pili wakati wachezaji kikosi cha kwanza wapo fit?

Matteo Vargas

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2019
Posts
803
Reaction score
1,329
Wakati najiuliza swali hilo hata mtangazaji wa Azam Sports Patrick Nyembera aliuliza wachambuzi wa Azam Sports swali hilo hilo.

Lakini si mimi wala hao wachambuzi walikuwa na majibu ya kueleweka.

Mbali na hilo licha ya kufungwa lakini Singida Black Stars ni kama walikuwa wanapoteza muda wenyewe kwenye mechi hiyo tofauti kabisa na mechi ya Simba kule Liti Stadium - Singida ambapo waliuma meno mwanzo mwisho.

Ni nini kinaendelea kwenye hizi mechi za Yanga??
 
Wakati najiuliza swali hilo hata mtangazaji wa Azam Sports Patrick Nyembera aliuliza wachambuzi wa Azam Sports swali hilo hilo.

Lakini si mimi wala hao wachambuzi walikuwa na majibu ya kueleweka.

Mbali na hilo licha ya kufungwa lakini Singida Black Stars ni kama walikuwa wanapoteza muda wenyewe kwenye mechi hiyo tofauti kabisa na mechi ya Simba kule Liti Stadium - Singida ambapo waliuma meno mwanzo mwisho.

Ni nini kinaendelea kwenye hizi mechi za Yanga??
Wachezaji wote waliocheza ni wa kikosi cha kwanza. Hakuna timu Tanzania yenye uthubutu wa kuchezesha mchezaji wa kikosi cha pili haipo.
 
Wakati najiuliza swali hilo hata mtangazaji wa Azam Sports Patrick Nyembera aliuliza wachambuzi wa Azam Sports swali hilo hilo.

Lakini si mimi wala hao wachambuzi walikuwa na majibu ya kueleweka.

Mbali na hilo licha ya kufungwa lakini Singida Black Stars ni kama walikuwa wanapoteza muda wenyewe kwenye mechi hiyo tofauti kabisa na mechi ya Simba kule Liti Stadium - Singida ambapo waliuma meno mwanzo mwisho.

Ni nini kinaendelea kwenye hizi mechi za Yanga??
Kabla ujauliza ilo swali pia jiulize nini uwa kinaendelea kwenye mechi za Simba?
 
Kumbe ujui? Basi vunga ivyo ivyo kama umeona upande wa yanga na upande wa Simba uwa umevaa miwani ya mbao!
Ni vizuri ungesema unayoyaona huko Simba ambayo yapo sawa na huko Yanga tufanye comparison
 
Hujasoma vizuri title na kama umeisoma hujaielewa kabisa. Period
Wewe labda ndio huelewi ulichoandika. Mimi sikubaliani na wewe kuwa Singida haikuanza na wachezaji wengi wa kikosi cha kwanza. Singida imeanza na wachezaji wote wa kikosi cha kwanza.
 
Hao unaoita kikosi Cha kwanza walifungwa na kmc na walitoka sare na kagera team iliyochini ya msimamo
Wala hakuna kitu wangefanya hata wao wangefungwa tena huenda mengi zaidi
 
Wewe labda ndio huelewi ulichoandika. Mimi sikubaliani na wewe kuwa Singida haikuanza na wachezaji wengi wa kikosi cha kwanza. Singida imeanza na wachezaji wote wa kikosi cha kwanza.
Hata wachambuzi wa Azam waliliona na kulizungumizia hilo swala (nimeweka as reference kwenye andiko) wew peke yako ndio hukuona?

Angalia lineup ya mechi ya Singida na Simba na lineup ya leo kati Yanga na Singida utapata majibu nini watu wanaongea au na hili nalo linahitaji shule??
 
Ata tabora uwa anauma meno akicheza na yanga vipi akikutana na Simba uwa unaonaje?
Akikutakana na Simba hawi km hawa ndugu zenu. Singida black Stars it was too much, Mechi na Dodoma Jiji Mexime akaamua kumuweka kipa wa mazeozeni, Kwa Fountain Gate na KenGold ni aibu hata kusimulia
 
Hata wachambuzi wa Azam waliliona na kulizungumizia hilo swala (nimeweka as reference kwenye andiko) wew peke yako ndio hukuona?

Angalia lineup ya mechi ya Singida na Simba na lineup ya leo kati Yanga na Singida utapata majibu nini watu wanaongea au na hili nalo linahitaji shule??
Usitumie nguvu sana. Unaweza ukawa na point fulani ila leo Singida kachezesha wachezaji wa kikosi cha kwanza.

Wachezaji wa kikosi cha kwanza ni wale wote 22 au 23 wanaopaswa kuwa kwenye timu nje ya wale walio football academy. Ila ukiniambia Singida hawakuchezesha 1St 11 hapo nakuelewa. Ña ili kuelewa sio lazima niwasikilize hao Azam mkuu.

Yanga ikifungwa kukiwa hakuna wachezaji fulani mnauliza kwani waliocheza sio wachezaji wa Yanga? Hao wachezaji waliocheza ni haki yao kucheza kwa kuwa wamesajiliwa kwa sababu hiyo
 
Back
Top Bottom