Kulikuwa na sababu gani Singida Black Stars kuanzisha wachezaji wengi wa kikosi cha pili wakati wachezaji kikosi cha kwanza wapo fit?

Kulikuwa na sababu gani Singida Black Stars kuanzisha wachezaji wengi wa kikosi cha pili wakati wachezaji kikosi cha kwanza wapo fit?

Usitumie nguvu sana. Unaweza ukawa na point fulani ila leo Singida kachezesha wachezaji wa kikosi cha kwanza.

Wachezaji wa kikosi cha kwanza ni wale wote 22 au 23 wanaopaswa kuwa kwenye timu nje ya wale walio football academy. Ila ukiniambia Singida hawakuchezesha 1St 11 hapo nakuelewa. Ña ili kuelewa sio lazima niwasikilize hao Azam mkuu.

Yanga ikifungwa kukiwa hakuna wachezaji fulani mnauliza kwani waliocheza sio wachezaji wa Yanga? Hao wachezaji waliocheza ni haki yao kucheza kwa kuwa wamesajiliwa kwa sababu hiyo
Umejibu vzr Sana, hawatakuelewa na ndio maaana watanzania wengi wanafeli mitihani
 
Hhahaha kwa hiyo Tabora waliuza mechi??
Ni kwamba uwa wanauza mechi ndio maana mechi nyingine wanacheza vizuri but ikifika kucheza na Simba utawaona wanacheza kama vile miguu Ina funza, mara wachezaji muhimu awapo na wakimalizaga tu mechi na Simba timu inarudi kwenye ubora wake sasa iyo tuiiteje?
 
Mbona unatumia nguvu kubwa sana kujieleza wakati Watanzania wote tunajua First 11 tafsiri yake kwa lugha ya soka ni kikosi cha kwanza mkuu
Nafikiri unatumia nguvu kuelewa. Ushauri tu Nenda website ya Simba wana orodha ya first team kisha baki nayo ikusaidie baadae
 
Wakati najiuliza swali hilo hata mtangazaji wa Azam Sports Patrick Nyembera aliuliza wachambuzi wa Azam Sports swali hilo hilo.

Lakini si mimi wala hao wachambuzi walikuwa na majibu ya kueleweka.

Mbali na hilo licha ya kufungwa lakini Singida Black Stars ni kama walikuwa wanapoteza muda wenyewe kwenye mechi hiyo tofauti kabisa na mechi ya Simba kule Liti Stadium - Singida ambapo waliuma meno mwanzo mwisho.

Ni nini kinaendelea kwenye hizi mechi za Yanga??
Sasa timu si yao hata wakiamua kuchezesha kikosi B
 
Kumbe wewe ni maumivu na wivu tu ndio vinakusumbua auna lolote la maana,,scenario inayojitokezaga mnapocheza na Tabora Kila mtu anajua alafu unaleta hekaya za abunuwasi hapa,,Kila timu ishinde mechi zake!
Siku ya Tabora haya maswali hayakuulizwa hatukuwaona regular starters wengi tu ila nan aliuliza?
 
Sasa timu si yao hata wakiamua kuchezesha kikosi B
Hakuna timu Tanzania yenye uthubutu wa kuchezesha kikosi B kwa mechi kama ile ya jana. Hata Simba wana kikosi B lakini huwa hawachezi.

Mfano mechi ya Manchester Utd Vs Spurs juzi hapa. Walikuwa na wachezaji wa kikosi cha kwanza wasio majeruhi 12 na zaidi ya wachezaji wa kikosi cha kwanza zaidi ya 10 ni majeruhi. Wachezaji 6 waliokuwa Sub sio wachezaji wa kikosi cha kwanza cha Manchester utd walitoka Academy. Ni Linderlof pekee ndio alikuwa mchezaji wa kikosi cha kwanza kwenye benchi.

Wachezaji wote walioanza mechi walikuwa wa kikosi cha kwanza ingawa si wote ni regular starter.

Singida walichezesha wachezaji wa kikosi cha kwanza ambao baadhi yao wakiwa si wanaoanza siku zote[first 11].
 
Naona tu vilio ni kila mahali! Watu wanawaza gap la pointi 5 kwa timu kama Yanga! Na hapo unakaribia kukutana naye!! Aisee lazima tu utoe mguno.
 
Wakati najiuliza swali hilo hata mtangazaji wa Azam Sports Patrick Nyembera aliuliza wachambuzi wa Azam Sports swali hilo hilo.

Lakini si mimi wala hao wachambuzi walikuwa na majibu ya kueleweka.

Mbali na hilo licha ya kufungwa lakini Singida Black Stars ni kama walikuwa wanapoteza muda wenyewe kwenye mechi hiyo tofauti kabisa na mechi ya Simba kule Liti Stadium - Singida ambapo waliuma meno mwanzo mwisho.

Ni nini kinaendelea kwenye hizi mechi za Yanga??
Match ya kwanza ya wanandugu jamaa aliponda
 

Attachments

  • IMG-20241220-WA1025.jpg
    IMG-20241220-WA1025.jpg
    79 KB · Views: 2
Wakati najiuliza swali hilo hata mtangazaji wa Azam Sports Patrick Nyembera aliuliza wachambuzi wa Azam Sports swali hilo hilo.

Lakini si mimi wala hao wachambuzi walikuwa na majibu ya kueleweka.

Mbali na hilo licha ya kufungwa lakini Singida Black Stars ni kama walikuwa wanapoteza muda wenyewe kwenye mechi hiyo tofauti kabisa na mechi ya Simba kule Liti Stadium - Singida ambapo waliuma meno mwanzo mwisho.

Ni nini kinaendelea kwenye hizi mechi za Yanga??
Kocha wao alieleza sababu kabla ya mchezo. Wewe kama uliangalia uchambuzi kwa nini hizo sababu umeziweka kando. Kwa ufupi kocha ndiye mwenye maamuzi ya nani acheze na na nani acheze. Wewe kwenye kazi yako nani kakuingilia? Kama unahisi Yanga ni mbovu peleka timu yako basi tuone.
 
Akikutakana na Simba hawi km hawa ndugu zenu. Singida black Stars it was too much, Mechi na Dodoma Jiji Mexime akaamua kumuweka kipa wa mazeozeni, Kwa Fountain Gate na KenGold ni aibu hata kusimulia
Kolo umeumia sana mbona bado ngoma ndiyo kwanza inaanza
 
Hakuna timu Tanzania yenye uthubutu wa kuchezesha kikosi B kwa mechi kama ile ya jana. Hata Simba wana kikosi B lakini huwa hawachezi.

Mfano mechi ya Manchester Utd Vs Spurs juzi hapa. Walikuwa na wachezaji wa kikosi cha kwanza wasio majeruhi 12 na zaidi ya wachezaji wa kikosi cha kwanza zaidi ya 10 ni majeruhi. Wachezaji 6 waliokuwa Sub sio wachezaji wa kikosi cha kwanza cha Manchester utd walitoka Academy. Ni Linderlof pekee ndio alikuwa mchezaji wa kikosi cha kwanza kwenye benchi.

Wachezaji wote walioanza mechi walikuwa wa kikosi cha kwanza ingawa si wote ni regular starter.

Singida walichezesha wachezaji wa kikosi cha kwanza ambao baadhi yao wakiwa si wanaoanza siku zote[first 11].
Hehehe
 
Wakati najiuliza swali hilo hata mtangazaji wa Azam Sports Patrick Nyembera aliuliza wachambuzi wa Azam Sports swali hilo hilo.

Lakini si mimi wala hao wachambuzi walikuwa na majibu ya kueleweka.

Mbali na hilo licha ya kufungwa lakini Singida Black Stars ni kama walikuwa wanapoteza muda wenyewe kwenye mechi hiyo tofauti kabisa na mechi ya Simba kule Liti Stadium - Singida ambapo waliuma meno mwanzo mwisho.

Ni nini kinaendelea kwenye hizi mechi za Yanga??
jonathan sowah yule aliyewasumbua sana yanga enzi zile,ni kikoso cha pili?
 
Kumbe wewe ni maumivu na wivu tu ndio vinakusumbua auna lolote la maana,,scenario inayojitokezaga mnapocheza na Tabora Kila mtu anajua alafu unaleta hekaya za abunuwasi hapa,,Kila timu ishinde mechi zake!
Mlishaambiwa mechi ya Simba na Tabora Yacouba alikuwa majeruhi na Makambo alikuwa na kadi tatu za njano ila wengine wote wa first eleven walicheza msilazimishe kufananisha scenarios zenu na za Simba, mfano ile mechi yenu na Dodoma yule ni kipa namba tatu wa timu na baada ya ile mechi alisema yeye mwenyewe kwamba hakuwa na match fitness, alikuwa hajacheza mechi kumi na tatu mfululizo ghafla ndio akaja kupangwa kwenye mechi ngumu kama ile ilihali kipa wao namba moja hakuwa na tatizo
 
Mlishaambiwa mechi ya Simba na Tabora Yacouba alikuwa majeruhi na Makambo alikuwa na kadi tatu za njano ila wengine wote wa first eleven walicheza msilazimishe kufananisha scenarios zenu na za Simba, mfano ile mechi yenu na Dodoma yule ni kipa namba tatu wa timu na baada ya ile mechi alisema yeye mwenyewe kwamba hakuwa na match fitness, alikuwa hajacheza mechi kumi na tatu mfululizo ghafla ndio akaja kupangwa kwenye mechi ngumu kama ile ilihali kipa wao namba moja hakuwa na tatizo
Kiwango cha tabora inapocheza na Simba uwa kikoje? Mbona uwa wanacheza utadhani wanadai mishahara? Kwanini iwe wanapocheza na Simba tu? Mechi ya yanga na Tabora aijawai kuwa rahisi uwa wanamaliza Kila kitu chao na mechi nyingine za wapinzani,,lakini Simba akifika pale anajipigia tu kuanzia goli 3 na kuendelea,,kama sio upangaji wa matokeo ni nini? Kocha kopunovich aliwai kusema kuwa alishangaa mambo yaliyokuwa yanaendelea siku Moja kabla ya mechi na Simba,,iyo tu ni ishara ya mambo ya ovyo ya kupanga matokeo kati ya Tabora na simba
 
Kiwango cha tabora inapocheza na Simba uwa kikoje? Mbona uwa wanacheza utadhani wanadai mishahara? Kwanini iwe wanapocheza na Simba tu? Mechi ya yanga na Tabora aijawai kuwa rahisi uwa wanamaliza Kila kitu chao na mechi nyingine za wapinzani,,lakini Simba akifika pale anajipigia tu kuanzia goli 3 na kuendelea,,kama sio upangaji wa matokeo ni nini? Kocha kopunovich aliwai kusema kuwa alishangaa mambo yaliyokuwa yanaendelea siku Moja kabla ya mechi na Simba,,iyo tu ni ishara ya mambo ya ovyo ya kupanga matokeo kati ya Tabora na simba
Oohh kwahiyo na ninyi tuseme mkicheza na simba mnakamia ila mkicheza na timu zinazowafunga kama azam na tabora mnalegeza siyo, maana ninyi mko radhi mfungwe au kutoa draw na timu yoyote ile ila siyo simba, ilihali simba msimu huu wamefungwa na yanga tu kwahiyo tuseme na ninyi ni tawi la azam na tabora siyo
 
Huyu kasema ukweli
 

Attachments

  • IMG-20250218-WA0015.jpg
    IMG-20250218-WA0015.jpg
    24.6 KB · Views: 2
Back
Top Bottom