Kulikuwa na sababu gani Singida Black Stars kuanzisha wachezaji wengi wa kikosi cha pili wakati wachezaji kikosi cha kwanza wapo fit?

Kulikuwa na sababu gani Singida Black Stars kuanzisha wachezaji wengi wa kikosi cha pili wakati wachezaji kikosi cha kwanza wapo fit?

MIMI NDIO MAANA WAARABU SIWAPENDI KABISA NI WAHARIBIFU WA ASILI.

Hawa GSM ni waharibifu
 
Mechi na pamba Jiji refa aliwapa zawadi ya ushindi,,ilikuwa sare,Mechi na Dodoma Kila mtu aliona ilikuwa sare, mechi na Azam refa akaibuka Tena kuwa Man of the match,,mechi na Jkt hivyo hivyo sasa hizo point 50 ungezipatia wapi? Ungeziiba?
Hizo mechi zote zingekuwa sare kwa mujibu wa nani, kwahiyo mnataka wachezaji wa simba wakifanyiwa faulo ndani ya boksi wasipewe penati kisa ninyi mtachukia, ni mechi gani simba ilipewa penati bila mchezaji wake yoyote kufanyiwa faulo sema
 
Hizo mechi zote zingekuwa sare kwa mujibu wa nani, kwahiyo mnataka wachezaji wa simba wakifanyiwa faulo ndani ya boksi wasipewe penati kisa ninyi mtachukia, ni mechi gani simba ilipewa penati bila mchezaji wake yoyote kufanyiwa faulo sema
Utopolo wamevurugwa hawajiamini tena.

Yani timu inashinda goli 6 tena mechi mbili lakini mashabiki wake hawana furaha 😃😃
 
Hizo mechi zote zingekuwa sare kwa mujibu wa nani, kwahiyo mnataka wachezaji wa simba wakifanyiwa faulo ndani ya boksi wasipewe penati kisa ninyi mtachukia, ni mechi gani simba ilipewa penati bila mchezaji wake yoyote kufanyiwa faulo sema
Basi wewe usinipotezee muda inaonekana ni bendera fata upepo na mechi uwa auangalii na unachokitetea ukijui sina muda wa kupoteza na wewe,,Kila timu ishinde mechi zake kivyovyote vile na pia msichukie yanga anaposhinda kwasababu awawezi kuacha kushinda eti kwasababu kolo mtachukia!
 
Basi wewe usinipotezee muda inaonekana ni bendera fata upepo na mechi uwa auangalii na unachokitetea ukijui sina muda wa kupoteza na wewe,,Kila timu ishinde mechi zake kivyovyote vile na pia msichukie yanga anaposhinda kwasababu awawezi kuacha kushinda eti kwasababu kolo mtachukia!
Wewe ndio huwa huangalii mechi yani penati wakipewa simba wanabebwa ila mkipewa ninyi aahh, ndio shindeni mechi zenu kwani nani aliyewakataza ila tu sisi tunasema ukweli ulio wazi, ila ninyi huwa mnaropoka kwa lengo la kuwalipizia tu simba kisa wao wanasema ila si kwamba mnayosema yana ukweli
downloadfile.jpg
 
Wewe ndio huwa huangalii mechi yani penati wakipewa simba wanabebwa ila mkipewa ninyi aahh, ndio shindeni mechi zenu kwani nani aliyewakataza ila tu sisi tunasema ukweli ulio wazi, ila ninyi huwa mnaropoka kwa lengo la kuwalipizia tu simba kisa wao wanasema ila si kwamba mnayosema yana ukweliView attachment 3240983
Hizi bahasha za nini tena???
 
Yule jamaa yenu alishasema pale utopoloni mwenye akili ni mmoja tu so sishangai. 😆
Na hata mimi sibishi maana mzazi wenu kabisa anayewajua alisema madunduka wote ni mbumbumbu. Sasa mbumbumbu akiniona sina akili wakati hana uwezo wa kutambua wenye akili yanini nisumbuke🤣🤣🤣
 
Na hata mimi sibishi maana mzazi wenu kabisa anayewajua alisema madunduka wote ni mbumbumbu. Sasa mbumbumbu akiniona sina akili wakati hana uwezo wa kutambua wenye akili yanini nisumbuke🤣🤣🤣
Tukipima tu hoja unakuja kugundua utopoloni kuna IQ za bata mzinga 😂😂😂
 
Utopolo wamevurugwa hawajiamini tena.

Yani timu inashinda goli 6 tena mechi mbili lakini mashabiki wake hawana furaha 😃😃
Mnalazimisha ionekane wananchi hawana furaha kutafuta furaha yenu. Mechi mbili ni goli 8 sio 6.
 
Back
Top Bottom