Kulikuwa na sababu gani Singida Black Stars kuanzisha wachezaji wengi wa kikosi cha pili wakati wachezaji kikosi cha kwanza wapo fit?

Kulikuwa na sababu gani Singida Black Stars kuanzisha wachezaji wengi wa kikosi cha pili wakati wachezaji kikosi cha kwanza wapo fit?

Wachezaji wafuatao wa first 11 walianzia benchi.

Antony tra bi tra
Arthur bada
Edmund
Abuu imoro
Metacha mnata
Jonathan sowah
Hao Utopolo inahitaji nguvu kubwa sana kuwaelewesha ndio maana ni kama vipofu kwa yanayoendelea kwa sasa. Kocha mwenyewe alikuwa wa Singida hiyo hiyo hii timu bila ujanja ujanja hamna kitu ndio maana kimataifa ni tia maji tia maji.
 
Acha wanunue mechi sisi tushinde kihalali ili ushindani utufanye tuwe bora zaidi kimataifa.
 
Wachezaji wafuatao wa first 11 walianzia benchi.

Antony tra bi tra
Arthur bada
Edmund
Abuu imoro
Metacha mnata
Jonathan sowah
Hapa sasa tunaanza kuzungumza lugha moja "first 11" ndio hawakuanza wote na sio kikosi cha kwanza kama title ya mtoa mada inavyosema.
 
Usitumie nguvu sana. Unaweza ukawa na point fulani ila leo Singida kachezesha wachezaji wa kikosi cha kwanza.

Wachezaji wa kikosi cha kwanza ni wale wote 22 au 23 wanaopaswa kuwa kwenye timu nje ya wale walio football academy. Ila ukiniambia Singida hawakuchezesha 1St 11 hapo nakuelewa. Ña ili kuelewa sio lazima niwasikilize hao Azam mkuu.

Yanga ikifungwa kukiwa hakuna wachezaji fulani mnauliza kwani waliocheza sio wachezaji wa Yanga? Hao wachezaji waliocheza ni haki yao kucheza kwa kuwa wamesajiliwa kwa sababu hiyo
Nisaidie first eleven kwa kiswahili unasemaje?? Na mtu akisema kikosi cha kwa huelewi?? Hiyo mbona ni lugha ya kawaida inayoeleweka na kila mwana michezo?? Huna point kabili reality.
 
Huu mpira wa hili taifa ni kichwa cha mwendawazimu
Wakati najiuliza swali hilo hata mtangazaji wa Azam Sports Patrick Nyembera aliuliza wachambuzi wa Azam Sports swali hilo hilo.

Lakini si mimi wala hao wachambuzi walikuwa na majibu ya kueleweka.

Mbali na hilo licha ya kufungwa lakini Singida Black Stars ni kama walikuwa wanapoteza muda wenyewe kwenye mechi hiyo tofauti kabisa na mechi ya Simba kule Liti Stadium - Singida ambapo waliuma meno mwanzo mwisho.

Ni nini kinaendelea kwenye hizi mechi za Yanga??
 
Acha ubishi mtu akisema kikosi cha kwa huelewi?? Hiyo mbona ni lugha ya kawaida inayoeleweka na kila mwana michezo?? Huna point kabili reality.
Angalia gonamwitu alichoandika ndio utaelewa usikaze shingo. Mimi ninachotofautiana na wewe ni kusema ni haya maneno kikosi cha kwanza na first 11 kwenye football hizi ni statement tofauti. Singida wamechezesha kikosi cha kwanza ila si first 11 wote.
 
Nisaidie first eleven kwa kiswahili unasemaje?? Na mtu akisema kikosi cha kwa huelewi?? Hiyo mbona ni lugha ya kawaida inayoeleweka na kila mwana michezo?? Huna point kabili reality.
"Wachezaji 11 wanaoanza". Na hawa wanaweza kuwa miongoni mwa wachezaji toka kikosi cha kwanza cha wanaume zaidi ya 21 wakichanganywa na wachache toka kwenye academy ya club.

First 11 (wachezaji wanaonza kucheza mechi) unaweza changanya wachezaji wa kikosi cha kwanza na kutoka academy. Lakini wachezaji wa kikosi cha kwanza ni wale wote ambao wamevuka umri wa kutokuwa academy au wameidhinishwa kuingia moja kwa moja kwenye kikosi cha kwanza licha ya kuwa na umri mdogo kama akina Yamal na wengine.
 
Huku kuzimu, first 11 yetu ni ya wale regular starters. Yaani ili usiwepo kikosini lazima uwe majeruhi.. tofauti na hapo lazima uanze
Usitumie nguvu sana. Unaweza ukawa na point fulani ila leo Singida kachezesha wachezaji wa kikosi cha kwanza.

Wachezaji wa kikosi cha kwanza ni wale wote 22 au 23 wanaopaswa kuwa kwenye timu nje ya wale walio football academy. Ila ukiniambia Singida hawakuchezesha 1St 11 hapo nakuelewa. Ña ili kuelewa sio lazima niwasikilize hao Azam mkuu.

Yanga ikifungwa kukiwa hakuna wachezaji fulani mnauliza kwani waliocheza sio wachezaji wa Yanga? Hao wachezaji waliocheza ni haki yao kucheza kwa kuwa wamesajiliwa kwa sababu hiyo
 
Screenshot_20250217-235506_Facebook.jpg
 
Huku kuzimu, first 11 yetu ni ya wale regular starters. Yaani ili usiwepo kikosini lazima uwe majeruhi.. tofauti na hapo lazima uanze
Uko sahihi sana sasa sijui unachopinga hapo ni kipi. Kikosi cha kwanza sio first 11/regular starters pekee.

Niwape mfano rahisi naona madunduka mnataka kudhihirisha alichosema Aden na mimi sitaki muwe huko. Kocha Kifadulo ni kocha wa kikosi cha kwanza cha mikia chenye wachezaji zaidi ya 21 na si kocha wa first 11 pekee. First 11 ni miongoni mwa wachezaji wa kikosi cha kwanza ingawa sometime sio lazima wote wawe wanatoka kikosi cha kwanza.

Mtoa mada kwenye title yake kaandika Singida hawakuanza na wachezaji wa kikosi cha kwanza wote ndio nimekataa kwa sababu Singida walianza na wachezaji wote wa kikosi cha kwanza ili si wote 11 wanaoanza siku zote.
 
Angalia gonamwitu alichoandika ndio utaelewa usikaze shingo. Mimi ninachotofautiana na wewe ni kusema ni haya maneno kikosi cha kwanza na first 11 kwenye football hizi ni statement tofauti. Singida wamechezesha kikosi cha kwanza ila si first 11 wot

Uko sahihi sana sasa sijui unachopinga hapo ni kipi. Kikosi cha kwanza sio first 11/regular starters pekee.

Niwape mfano rahisi naona madunduka mnataka kudhihirisha alichosema Aden na mimi sitaki muwe huko. Kocha Kifadulo ni kocha wa kikosi cha kwanza cha mikia chenye wachezaji zaidi ya 21 na si kocha wa first 11 pekee. First 11 ni miongoni mwa wachezaji wa kikosi cha kwanza ingawa sometime sio lazima wote wawe wanatoka kikosi cha kwanza.

Mtoa mada kwenye title yake kaandika Singida hawakuanza na wachezaji wa kikosi cha kwanza wote ndio nimekataa kwa sababu Singida walianza na wachezaji wote wa kikosi cha kwanza ili si wote 11 wanaoanza siku zote.
Mbona unatumia nguvu kubwa sana kujieleza wakati Watanzania wote tunajua First 11 tafsiri yake kwa lugha ya soka ni kikosi cha kwanza mkuu
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Akikutakana na Simba hawi km hawa ndugu zenu. Singida black Stars it was too much, Mechi na Dodoma Jiji Mexime akaamua kumuweka kipa wa mazeozeni, Kwa Fountain Gate na KenGold ni aibu hata kusimulia
Kumbe wewe ni maumivu na wivu tu ndio vinakusumbua auna lolote la maana,,scenario inayojitokezaga mnapocheza na Tabora Kila mtu anajua alafu unaleta hekaya za abunuwasi hapa,,Kila timu ishinde mechi zake!
 
Angalia gonamwitu alichoandika ndio utaelewa usikaze shingo. Mimi ninachotofautiana na wewe ni kusema ni haya maneno kikosi cha kwanza na first 11 kwenye football hizi ni statement tofauti. Singida wamechezesha kikosi cha kwanza ila si first 11 wote.
Nimekuomba uniambie maana ya 'first eleven' kwa kiswahili kabla sijaja na lingine.
 
Angalia gonamwitu alichoandika ndio utaelewa usikaze shingo. Mimi ninachotofautiana na wewe ni kusema ni haya maneno kikosi cha kwanza na first 11 kwenye football hizi ni statement tofauti. Singida wamechezesha kikosi cha kwanza ila si first 11 wote.
Nimekuomba uniambie maana ya 'first eleven' kwa kiswahili kabla sijaja na lingine.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Subiri ufafanuzi
"Wachezaji 11 wanaoanza". Na hawa wanaweza kuwa miongoni mwa wachezaji toka kikosi cha kwanza cha wanaume zaidi ya 21 wakichanganywa na wachache toka kwenye academy ya club.

First 11 (wachezaji wanaonza kucheza mechi) unaweza changanya wachezaji wa kikosi cha kwanza na kutoka academy. Lakini wachezaji wa kikosi cha kwanza ni wale wote ambao wamevuka umri wa kutokuwa academy au wameidhinishwa kuingia moja kwa moja kwenye kikosi cha kwanza licha ya kuwa na umri mdogo kama akina Yamal na wengine.
 
Wakati najiuliza swali hilo hata mtangazaji wa Azam Sports Patrick Nyembera aliuliza wachambuzi wa Azam Sports swali hilo hilo.

Lakini si mimi wala hao wachambuzi walikuwa na majibu ya kueleweka.

Mbali na hilo licha ya kufungwa lakini Singida Black Stars ni kama walikuwa wanapoteza muda wenyewe kwenye mechi hiyo tofauti kabisa na mechi ya Simba kule Liti Stadium - Singida ambapo waliuma meno mwanzo mwisho.

Ni nini kinaendelea kwenye hizi mechi za Yanga??
Hili swali ulipaswa ukaulize management ya SBS na kocha wao
 
Hhahaha kwa hiyo Tabora waliuza mechi??
Kumbe wewe ni maumivu na wivu tu ndio vinakusumbua auna lolote la maana,,scenario inayojitokezaga mnapocheza na Tabora Kila mtu anajua alafu unaleta hekaya za abunuwasi hapa,,Kila timu ishinde mechi zake!mm
 
Back
Top Bottom