MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Katika hali ya kushangaza wale madada waliokuwa wanatangaza round eti walivaa vipedo,hali ile ilimsikitisha kila mtu hata kumfanya Mwakinyo kuchelewa kumaliza mpambano.
Mwakyembe nilimuona hakuridhika kabisa na hali ile, hata watu wazima niliokuwa nashuhudia nao mpambano huo walilalamika pia, next time tusipokemea hili mtawaleta wale wadada wamevaa madera.
Mwakyembe nilimuona hakuridhika kabisa na hali ile, hata watu wazima niliokuwa nashuhudia nao mpambano huo walilalamika pia, next time tusipokemea hili mtawaleta wale wadada wamevaa madera.