Mtoa mada ameleta hoja nzuri sana, uwekezaji kwenye miundombinu ya sekta ya kilimo ingeleta tija kubwa sana kwa wananchi wengi. Nadhani si kila hoja tunaingiza mambo ya siasa. Magufuli kuna mambo anafanya makosa sana.Subirini mkiingia madarakani mnunue matreakta hakuna shida waliompigia kura ndio walioenda haya na nyie mpigieni wenu anunue matrekta manajifanya mnajua sana wakati hapigi kura na mkipga mnakosea
Akili za Magufuli anazijua yeye mwenyewe MagufuliAnapandisha bei za kupanda ndege bila kupandisha mishahara, hapohapo ananyanyasa wafanyabiashara kwa kodi lukuki, sijui alitegemea nani azipande hizo ndege mpaka zilete faida. Hakukuwa na ulazima wa kununua ndege nyingi kwa cash. Meko anatumia vibaya kodi zetu hapaswi kupewa tena kazi.
Eti kila Kijiji kipewe trekta akili Huna Kuna vijiji Ni wafugaji sio wakulima na Kuna vijiji hawalimi hulima mazao ya kudumu Kama mikorosho ,Chai ,kahawa nk
Kuna vijiji viko maeneo ya milima yenye
Kuna vijiji Ni vya wavuvi hayo matrekta watalima kwenye maji? Chadema hamna akili
Eti kila Kijiji!!!!
Acheni kupayuka hovyo Atcl ilipokufa mlipiga kelele kuwa tunahitaji shirika la ndege la taifa. Leo limefufuliwa mnaanza kuponda bila sababu.
Kwani watalii walikua hawaji kwa kua hatuna ndege kuna mengi ya kufanya ku promot utalii na sio hizo propaganda za ndege kukuza utaliiUnajua nyuma ya pazaia fastjet ilikuwa na mizengwe gani mpaka ikawa inatoa huduma za bei rahisi? Kwa nini waliondok na ndege zao kukamatwa huku wakiwa na madeni kibao?
Hizi ndege zilizonunuliwa na serikali faida yake utaiona hasa zitapokuwa zinaleta watalii ambao wataliletea taifa pato kubwa tu. Umekariri upuuzi kudhania faida ya hizi ndege ni mpaka wananchi wazipande kwa bei rahisi.
Mbona ya mwalimu nyerere yalidumu ? Nayalilima mahekari ya vijiji miaka na miaka?Tractor zingekufa mwaka mmoja tu.
Hakuna kijiji kisichokuwa na wakulima nchini,kwani mfugaji haitaji trekta,unaijua kazi ya trektaEti kila Kijiji kipewe trekta akili Huna Kuna vijiji Ni wafugaji sio wakulima na Kuna vijiji hawalimi hulima mazao ya kudumu Kama mikorosho ,Chai ,kahawa nk..
Unafikra ndogo na fupi kama kinyesi. Hujui kuwa hapo unaua ndege mmoja kwa jiwe moja?Kwani watalii walikua hawaji kwa kua hatuna ndege kuna mengi ya kufanya ku promot utalii na sio hizo propaganda za ndege kukuza utalii
Tatizo la Afrika siyo katiba, tatizo ni mfumo wa uongozi hata katiba tuliyonayo bado kuna mazuri yake yanavunjwa kila siku na mheshimiwa na spika na jeshi la polisi. Hata ilitwe katiba nzuri vipi bila commitment na vyombo husika kufanya mambo kwa usahihi pasipo uoga haina maana.Kama ikatokea chama cha upinzani ikachukua nchi katiba mpya ni jambo la kwanza, pia kuwaondolea kinga viongozi waliofanya ujinga ili wawajibishwe kwa makosa yao. Kubadirisha sheria kandamizi na kupunguza mrundikano wa kodi kwa wafanyabiashara.
Sera za ACT- Wazalendo na CHADEMA ni sera bora na zimepangiliwa kwa kuakisi maisha halisi ya mtanzania na hali ya dunia kiujumla ilivyo kiuchumi.
Wewe babu yako katoka kijijini tena katembea peku maisha yake yote. Usijione mjanja kutumia laptop na iphone za kisasa.Kumbuka shida ni kuchagua watu kutoka vijijini halafu wabishi kushauriwa
Tractor zingekufa mwaka mmoja tu.
SMART PHONE KWA AJILI YA CONNECTION KKKwanini wewe unamiliki simu ya smartphone, nawakati familia yako ni masikini?
UNATAKA KUMFUNDISHA BABA KUTAWALA NYUMBA?Binafsi nimewahi kupanda ndege mara moja tu ukubwani, na utotoni sidhani kama nimewahi kupanda. Nililipa 120k tu kwenda Mbeya na kurudi kwa Fast Jet 2015 kabla midege yetu haijapata sifa hizi.
Sasa hizi ndege zimeleta faida kwa kundi lipi kama tangu awali kabla ya ujio wa haya ma bombardier na Airbus za Magufuli huduma bora na rahisi zilikuwepo?...