Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Kumbe smartphone yako inafaidaaa.SMART PHONE KWA AJILI YA CONNECTION KK
Kijiji gani kina heka zisizozidi 10?Si mnasema serikali isifanye biashara ambazo Mimi na wewe tunaweza fanya?
Pili mngt yake ya kukodisha na control ingekuwaje??
3.serikali in encourage watu wajiunge in groups ili walime mashamba makubwa na pia wawe na mitaji mikubwa na pia waweze kukopesheka
Sasa wewe una eka 2 au kumi , tractor utakuwa una li under utilise.
NADHANI MWENYE MWENYE NYWELE NYEUPE ALIPAMBANA NA UMASKINI LAKN CHAMA CHA MAPUTO HAKIKUFA UNASEMAJE APO?Lengo sio kuuondoa umasikini ili watawale milele ukiuondoa umasikin na ccm itakufa
Kiuchumi, unapokuwa na hela ambayo haitoshi mfano Nchi zote za ulimwengu wa tatu; kuna kitu kinaitwa Opportunity costBinafsi nimewahi kupanda ndege mara moja tu ukubwani, na utotoni sidhani kama nimewahi kupanda. Nililipa 120k tu kwenda Mbeya na kurudi kwa Fast Jet 2015 kabla midege yetu haijapata sifa hizi...
Acha basi na wewe hizo, unataka kila mtu achangie unavyotaka wewe?, Harafu unahubiri uhuru wa kujielezaMawazo ya kimaskini na ya kipumbavu. Hivi kipi kinahitaji care kubwa kati ya tractor na ndege?
Kwani si kila tractor angepewa supervisor ambaye yeye ndiye angewejibishwa kwa Kila uhujumu?
Iko grounded??? Muulize Lissu anaipanda kila siku kumpeleka kwenye kampeni zake sijui zingekuwa hazipo sijui angepanda Punda wa kwao?Mungu wa ajabu sana ameiadhiri mindege ipo grounded siku nyingi laana ya watu kweli hushika
Katiba mpya ili muingize haki zenu za USHOGA!Kama ikatokea chama cha upinzani ikachukua nchi katiba mpya ni jambo la kwanza, pia kuwaondolea kinga viongozi waliofanya ujinga ili wawajibishwe kwa makosa yao. Kubadirisha sheria kandamizi na kupunguza mrundikano wa kodi kwa wafanyabiashara.
Sera za ACT- Wazalendo na CHADEMA ni sera bora na zimepangiliwa kwa kuakisi maisha halisi ya mtanzania na hali ya dunia kiujumla ilivyo kiuchumi.
Sio kila mtu anayeongelea mabadiriko ukamfikiria ni mwanachama au ni mtu wa mlengo fulani. Embu tanua bhasi ubongo wako kijana, fikiria ya familia yako, ya jirani yako na ya jamii nzima inayokuzunguka na kesho yenu. If you're bold and keen enough you will understand what I mean.Katiba mpya ili muingize haki zenu za USHOGA!
Fast jet ilikuwa ni budget carrier , hata ulaya zipo Mf Ryan air na easy jet , wanachofanya budget carrier ni kuondoa unnecessary costs Kama kugawa vinywaji na offer za kubeba mizigo, Ile juice na biscuit unaona unapewa bure kiuhalisia umelipia pesa mingi sana na offer ya kubeba kilo 10 for free , sio bure Bali umelipia pesa mingi hata Kama hutabeba hizo kg.Unajua nyuma ya pazaia fastjet ilikuwa na mizengwe gani mpaka ikawa inatoa huduma za bei rahisi? Kwa nini waliondok na ndege zao kukamatwa huku wakiwa na madeni kibao?
Hizi ndege zilizonunuliwa na serikali faida yake utaiona hasa zitapokuwa zinaleta watalii ambao wataliletea taifa pato kubwa tu. Umekariri upuuzi kudhania faida ya hizi ndege ni mpaka wananchi wazipande kwa bei rahisi.
Mkuu kama umenisoma vizuri nilianza na point ya kama upinzani ikipata ridhaa ya kuongoza hii nchi, nilimaanisha wao ndio watakuwa chachu ya kubadirisha mfumo mzima wa kiuongozi then wafuate yanayohusu katiba.Tatizo la Afrika siyo katiba, tatizo ni mfumo wa uongozi hata katiba tuliyonayo bado kuna mazuri yake yanavunjwa kila siku na mheshimiwa na spika na jeshi la polisi. Hata ilitwe katiba nzuri vipi bila commitment na vyombo husika kufanya mambo kwa usahihi pasipo uoga haina maana.
Kenya juzi nimeona wanalalamikia katiba yao wanataka eti ipigwe kura ya maoni na Raila Odinga ndiye anayeongoza hii movement. Nikabaki nashangaa si juzi juzi tu wamepata katiba mpya wakasema ni dawa ya matatizo yao yote.
Kama hujui kitu kwa nini usikae kimya? Unajua mpaka wanaondoka wanadaiwa na kampuni ngapi? Kwa nini ndege yao ilishikiliwa?Fast jet ilikuwa ni budget carrier , hata ulaya zipo Mf Ryan air na easy jet , wanachofanya budget carrier ni kuondoa unnecessary costs Kama kugawa vinywaji na offer za kubeba mizigo, Ile juice na biscuit unaona unapewa bure kiuhalisia umelipia pesa mingi sana na offer ya kubeba kilo 10 for free , sio bure Bali umelipia pesa mingi hata Kama hutabeba hizo kg
Kwa mikakati kama hii na mingine budget carriers huwa wanarusha ndege zao zikiwa na uzito ndogo sana na hivyo kusave gharama za mafuta ,
Acheni kupayuka hovyo Atcl ilipokufa mlipiga kelele kuwa tunahitaji shirika la ndege la taifa. Leo limefufuliwa mnaanza kuponda bila sababu.
Ningeshangaa kama hii hoja ya watalii isingeibuka kwenye uzi huu, kabla ya hizo ndege hapakuwepo na mashirika mengine ya ndege yaliyoleta wageni hapa nchini? ama ndege hizi za ATCL zina kivutio cha ziada kitakachopelekea wageni wazipande kwa wingi kumiminika Tanzania?Unajua nyuma ya pazaia fastjet ilikuwa na mizengwe gani mpaka ikawa inatoa huduma za bei rahisi? Kwa nini waliondok na ndege zao kukamatwa huku wakiwa na madeni kibao?
Hizi ndege zilizonunuliwa na serikali faida yake utaiona hasa zitapokuwa zinaleta watalii ambao wataliletea taifa pato kubwa tu. Umekariri upuuzi kudhania faida ya hizi ndege ni mpaka wananchi wazipande kwa bei rahisi.
Na huku upo mhe. DAS. Pambana mkuuIko grounded??? Muulize Lissu anaipanda kila siku kumpeleka kwenye kampeni zake sijui zingekuwa hazipo sijui angepanda Punda wa kwao?
Wakishalima watasafilishaje mazao yao?Mtoa mada ameleta hoja nzuri sana, uwekezaji kwenye miundombinu ya sekta ya kilimo ingeleta tija kubwa sana kwa wananchi wengi. Nadhani si kila hoja tunaingiza mambo ya siasa. Magufuli kuna mambo anafanya makosa sana.
Hao watalii wanatoka BombayNingeshangaa kama hii hoja ya watalii isingeibuka kwenye uzi huu, kabla ya hizo ndege hapakuwepo na mashirika mengine ya ndege yaliyoleta wageni hapa nchini? ama ndege hizi za ATCL zina kivutio cha ziada kitakachopelekea wageni wazipande kwa wingi kumiminika Tanzania?
Ulitaka serikali ikope kwa riba?Kununua ndege kwa idadi hiyo kwa fedha za kigeni taslimu ilikuwa ndio sharti la kufufua ATCL ?