Kulinda amani vitani kunakofanywa na wanajeshi wa UN kunamaanisha nini?

Kulinda amani vitani kunakofanywa na wanajeshi wa UN kunamaanisha nini?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Habari za asubuhi ndugu huwa nasikia wanajeshi wa UN wanakwenda mission mfano labda congo au sudan kulinda amani kwamba aao hawahusiki na vita ila kazi yao ni kulinda amani sasa nataka nijue kwa lugha nyepesi tu kulinda aman huko ndo kukoje yaani majukumu gani haswa wanayofanya kwa mfano waasi wanaua raia na wenyewe wakajua je wanaruhusiwa kuingilia hio vita kupambana na hao waasi?
 
Habari za asubuhi ndugu huwa nasikia wanajeshi wa UN wanakwenda mission mfano labda congo au sudan kulinda amani kwamba aao hawahusiki na vita ila kazi yao ni kulinda amani sasa nataka nijue kwa lugha nyepesi tu kulinda aman huko ndo kukoje yaani majukumu gani haswa wanayofanya kwa mfano waasi wanaua raia na wenyewe wakajua je wanaruhusiwa kuingilia hio vita kupambana na hao waasi?
Ukipewa lindo ulinde wakija majambazi kuvamia unafanyaje?
 
umoja wa mataifa wanatuma askari kwenye vita na majukumu yao wanapewa kutokana na hali ya vita ilivyo.
mfano vita ya kisiasa.labda chama kimeingia msituni wataitwa waasi. lakini kuasi kwao labda wako sahihi kutokana na chama kilichopo madalakani kinafanya mabaya zaidi.
hapa umoja wa mataifa wanasema hebu kaangalieni kinachoendelea kwenye nchi hiyo wakati wanafuatilia vita wanapewa na jukumu la kulinda wakimbizi,mabenk,hospitali ambazo kikawaida sehem hizi kwa kanuni za bita na haki za binadam hazitakiwi kushambuliwa.
iwapo serikali inafikia hatua ya kushambulia wakimbizi au waasi wanashambulia benk au hospital basi hawa ote wanavunja sheria.hapa UN wanatuma timu ingine na wanapewa sasa majukumu makubwa zaidi.na kama wakiona haifai kutumia nguvu zao ,wansweza kukaa upande wa yule mkolofi iwe kwa waasi au serkali.

lakini kwenye vita za sikuhiz nchi zina muunganiko wa kikanda au bara zima linaku na jeshi lao.basi UN wanaweza kuupa nguvu muunganiko huo kwa lengo la kumdhibiti mkolofi wa ndani ya nchi husika.lakini UN pia bado wataendelea kua waangalizi hadi waelewane.
UN wanatuma askari kwa majukumu tofauti zaidi ya 6.kila wanapoona kuna uhitaji kutokana na vita inavyoendelea ,na wao wanaongeza au wanapunguza majukumu.
 
umoja wa mataifa wanatuma askari kwenye vita na majukumu yao wanapewa kutokana na hali ya vita ilivyo.
mfano vita ya kisiasa.labda chama kimeingia msituni wataitwa waasi. lakini kuasi kwao labda wako sahihi kutokana na chama kilichopo madalakani kinafanya mabaya zaidi.
hapa umoja wa mataifa wanasema hebu kaangalieni kinachoendelea kwenye nchi hiyo wakati wanafuatilia vita wanapewa na jukumu la kulinda wakimbizi,mabenk,hospitali ambazo kikawaida sehem hizi kwa kanuni za bita na haki za binadam hazitakiwi kushambuliwa.
iwapo serikali inafikia hatua ya kushambulia wakimbizi au waasi wanashambulia benk au hospital basi hawa ote wanavunja sheria.hapa UN wanatuma timu ingine na wanapewa sasa majukumu makubwa zaidi.na kama wakiona haifai kutumia nguvu zao ,wansweza kukaa upande wa yule mkolofi iwe kwa waasi au serkali.

lakini kwenye vita za sikuhiz nchi zina muunganiko wa kikanda au bara zima linaku na jeshi lao.basi UN wanaweza kuupa nguvu muunganiko huo kwa lengo la kumdhibiti mkolofi wa ndani ya nchi husika.lakini UN pia bado wataendelea kua waangalizi hadi waelewane.
UN wanatuma askari kwa majukumu tofauti zaidi ya 6.kila wanapoona kuna uhitaji kutokana na vita inavyoendelea ,na wao wanaongeza au wanapunguza majukumu.
Shukrani sana mkuu
 
Back
Top Bottom