.kwani huyo mwanamke alivyokuwa anachumbiwa alikuwa hajijui kama yeye ni mke wa mtu? mi sioni haja ya kumlaumu slaa coz mwanamke ndo ana makosa,yeye kwanini akubali kuchumbiwa kama ni mke wa mtu?by the way hizo ni personal issues whats matters here ni sera za kweli na uhakika
.
Walikutana pale kijitonyama wakiwa majirani, Dr Slaa akampenda huku akijua ni mke wa jirani yake.
.
Una maana Dr Slaa anaendelea kuzini. Makubwa hayo ya firauni ni madogo
crap........Kwa nia njema kabisa, namuomba Dr Slaa kuacha kwanza kuzungukazunguka na Josephine. anachafua jina zuri la Dr.
crap.......
Una maana Dr Slaa anaendelea kuzini. Makubwa hayo ya firauni ni madogo
crap......
Walikutana pale kijitonyama wakiwa majirani, Dr Slaa akampenda huku akijua ni mke wa jirani yake.
My 50cent
Slaa anadai alikuwa "hajui" kuwa Josephine ni mke wa mtu, granted! sasa kishajua na vithibitisho vime tolewa vikiwemo hati za ndoa nk. Lakini kwa jeuri na anaendelea kumtangaza kuwa ni mchumba kwa maana nyingine anavunja sheria huku sasa akijua kuwa anavunja sheria.
Huyu ndie anaepigiwa debe hapa aje kuwa "command in chief" kwa jeuri aliyo tukuka anavunja sheria mchana kweupe. Watanzani tuna elekea wapi?
My 50cent
Slaa anadai alikuwa "hajui" kuwa Josephine ni mke wa mtu, granted! sasa kishajua na vithibitisho vime tolewa vikiwemo hati za ndoa nk. Lakini kwa jeuri na anaendelea kumtangaza kuwa ni mchumba kwa maana nyingine anavunja sheria huku sasa akijua kuwa anavunja sheria.
Huyu ndie anaepigiwa debe hapa aje kuwa "command in chief" kwa jeuri aliyo tukuka anavunja sheria mchana kweupe. Watanzani tuna elekea wapi?
My 50cent
Slaa anadai alikuwa "hajui" kuwa Josephine ni mke wa mtu, granted! sasa kishajua na vithibitisho vime tolewa vikiwemo hati za ndoa nk. Lakini kwa jeuri na anaendelea kumtangaza kuwa ni mchumba kwa maana nyingine anavunja sheria huku sasa akijua kuwa anavunja sheria.
Huyu ndie anaepigiwa debe hapa aje kuwa "command in chief" kwa jeuri aliyo tukuka anavunja sheria mchana kweupe. Watanzani tuna elekea wapi?
Kwa nia njema kabisa, namuomba Dr Slaa kuacha kwanza kuzungukazunguka na Josephine. anachafua jina zuri la Dr.
Hivi dr. Slaa amekosa mwanamke wa kumnadi ktk mikutano yake mpaka amtumie huyu mwanamke controvercial aliyemtoroka mumewe?? Mimi naona kakurupuka kuchomoa mke bomu ili aonekane mgombea urais nayeye ana mke!, sasa bahati mbaya huyu ni mke wa mtu!
Namshauri slaa kwanza amrudishe josephine mushumbushi kwa mwenyewe, halafu alipe fidia hata kama sio bilioni 1 ili kuonyesha kitendo alichikifanya ni kichafu lakini alidanganywa hivyo atakuwa ameonyesha utu na kwa kuwa yeye ni padri anajuwa maadili!!
Tunakuomba rais wetu mtarajiwa kabla hujaingia ikulu ambayo ni takatifu achana na huyu changudoa na tafuta mke mwingine kwa haraka ili siku ukiapishwa uwe na mkeo pembeni lakini wa halali sio wa kuokoteza barabarani!!!!
Eeka Mangi
Ni vyema ukaibua hoja tukaitafakari kwa sababu sheria hiyo ina mambo mengi sana.
Kwako Drphone
Ninashukuru kwa udadisi wako. Sote ni wanafunzi lakini hukumu zifuatazo zitakuonyesha ya kuwa yule mama hata kama ameivunja hiyo ndoa bado anastahili mgawo stahili kulingana na mchango wake kwenye ndoa hiyo hadi pale alipojitoa.
Mmoja wa wanandoa kujitoa hakumzui kufaidika na jasho lake kama lipo na haya ndiyo maelekezo ya mahakama ya rufaa na ya Mahakama Kuu kwenye kesi zifuatazo:-
a) Roberto Aranjo v. Zena Mwijuma 1986 TLR 207 (CA):-
b) Omari Chikamba v. Fatuma Mohamed malunga 1989 TLR 39 (HC):-
.
Una maana dr slaa anaendelea kuzini. Makubwa hayo ya firauni ni madogo