Kulinganisha Simba na Yanga ni sawa na kulinganisha mwanafunzi wa chuo kikuu na alifeli form two

Kulinganisha Simba na Yanga ni sawa na kulinganisha mwanafunzi wa chuo kikuu na alifeli form two

44mg44

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2019
Posts
2,158
Reaction score
2,186
Yanga ni mwanafunzi aliefeli form two baada ya kushindwa kufikisha "D" mbili katika masomo yake,na ikabidi arudie darasa Tena kwa Mara ya pili, hii inajidhihirisha baada ya kufeli vibaya kweny lig ya mabingwa Africa.

Simba yeye ni mwanafunzi aliepass vizuri masomo yake na Yuko chuo kikuu akiendelea na masomo yake vizuri, hii inajidhihirisha baada ya kufuzu hatua ya robo finali kwenye lig ya mabingwa baran Africa.

Ndugu mashabiki wa Simba nawashangaa Sana mnapokuwa mnapoteza muda wenu wa kubishana na aliefeli form two, atakusaidia nini Sasa?? Hebu acheni kujidhalilisha kwa kubishana na aliefeli harafu pia sio level yenu!!!

Nawasilisha
 
Haya wewe uliyefaulu mpaka chuo kikuu tuonyeshe Hilo kombe la maluza kabatini kwako.
 
Haya wewe uliyefaulu mpaka chuo kikuu tuonyeshe Hilo kombe la maluza kabatini kwako.
Mim siwez bishana na mtu aliefeli,tafuta level yako mkuu. Usinivunjie heshma bhana!!! Tafta "D" mbili kwanza
 
Ni huzuni tupu msimbazi!
Kilichobaki ni kujitutumua tu pira biriyani liko zake jagwani
 
Yanga ni mwanafunzi aliefeli form two baada ya kushindwa kufikisha "D" mbili katika masomo yake,na ikabidi arudie darasa Tena kwa Mara ya pili, hii inajidhihirisha baada ya kufeli vibaya kweny lig ya mabingwa Africa.
Simba yeye ni mwanafunzi aliepass vizuri masomo yake na Yuko chuo kikuu akiendelea na masomo yake vizuri, hii inajidhihirisha baada ya kufuzu hatua ya robo finali kwenye lig ya mabingwa baran Africa.
Ndugu mashabiki wa Simba nawashangaa Sana mnapokuwa mnapoteza muda wenu wa kubishana na aliefeli form two, atakusaidia nini Sasa?? Hebu acheni kujidhalilisha kwa kubishana na aliefeli harafu pia sio level yenu!!!
Nawasilisha
🚮
 
Back
Top Bottom