mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,778
- 7,145
Wana Jf
Tulizoea vijana wengi wakata insurance kusheheni mjini kwa violist vingi vya ujanja ujanja huku wakiwapiga wateja. Vijana na wajanja wa mjini walikuwa wanachukua fedha nyingi za wateja huku ukilipishwa kitu hewa ilimradi tu umepewa stika trafiki asikubuguzi huku waliomba Mungu usipate ajari.
Ikitokea ajari ndio utawaona mara wanatqfuta ulipokosea wakunyime fedha. Lakini ubunifu walioutumia serikali katika kuondoa BiMa kanjanja umewafanya wafanya bishara ya BIMA kuwa makini na taarifa sahihi za mteja ili wasije wakalipa hewa. Pia serikali mapato yameongezeja japokuwa sijawahi ona Bima ya Taifa imetoa gawiwo kwenye serikali.
Kwa sasa bado usumbufu wa trafiki kutubebesha makadi wakati haya yote yanatakiwa kuwa kwenye computer. Pia ukataji wa leseni ya kuendesha gari imeondoa usumbufu kwani unaweza ukatembeq na risti huku ukisubiri kupata lessen kamili.
Tulizoea vijana wengi wakata insurance kusheheni mjini kwa violist vingi vya ujanja ujanja huku wakiwapiga wateja. Vijana na wajanja wa mjini walikuwa wanachukua fedha nyingi za wateja huku ukilipishwa kitu hewa ilimradi tu umepewa stika trafiki asikubuguzi huku waliomba Mungu usipate ajari.
Ikitokea ajari ndio utawaona mara wanatqfuta ulipokosea wakunyime fedha. Lakini ubunifu walioutumia serikali katika kuondoa BiMa kanjanja umewafanya wafanya bishara ya BIMA kuwa makini na taarifa sahihi za mteja ili wasije wakalipa hewa. Pia serikali mapato yameongezeja japokuwa sijawahi ona Bima ya Taifa imetoa gawiwo kwenye serikali.
Kwa sasa bado usumbufu wa trafiki kutubebesha makadi wakati haya yote yanatakiwa kuwa kwenye computer. Pia ukataji wa leseni ya kuendesha gari imeondoa usumbufu kwani unaweza ukatembeq na risti huku ukisubiri kupata lessen kamili.