Umechukua nyingi sana iyo mkuu. Siku hizi wagumu tunafaulu mtihani wa ugumu wa maisha kwa kukopa tu elfu25 ikizidi sana 35.Wanajamvi kama unataka kufanya jambo lako na hela inapungua bora usubiri tu upate hela umalizie jambo lako maana sio poa.nilikuwa nataka kununua kitu last month hela ikapungua kama laki mbili hivi,basi nikamcheki mshikaji wako aniongezee then tarehe 21 ntamrefund nikitegemea mshahara kuingia,so mshahara umeingia toka jtatu bado naona ngumu kumlipa yaani sio poa na hela ninayo
Nakuzingua tu.Hahahaha mkuu....kwanini?
una pepo lakutokulipa madeniWanajamvi kama unataka kufanya jambo lako na hela inapungua bora usubiri tu upate hela umalizie jambo lako maana sio poa.
Nilikuwa nataka kununua kitu last month hela ikapungua kama laki mbili hivi, basi nikamcheki mshikaji wako aniongezee then tarehe 21 ntamrefund nikitegemea mshahara kuingia, so mshahara umeingia toka Jumatatu bado naona ngumu kumlipa yaani sio poa na hela ninayo