Kulipa deni ni mtihani

Ukweli pesa inaumiza sana kupunguza ili ulipie deni.
Mwanzoni hadi nilikuwa nikitetemeka nikikutana na mdeni wangu.Lakini sasa nilipozoea leo ninamzigo wa madeni.

Jitahidi sana usizoee hali hiyo.Hata sisi tulianza kama wewe!
 
Ila watanzania hatuna tabia ya kulipa deni, sio wewe tu wengi wanadaiwa na hawana mpango wakulipa deni, sijui ni tabia au upumbavu.
 
konekshen ya karani iko site pendwa tayari, vpn yako tu
 
Roho ya utapeli ukitoke maana unapoteza uaminifu na utakuja kuuliwa
 
Nimejifunza aiseee nilimkopesha mwana hela yangu hadi leo kila siku sababu .hadi nimechoka siku nitampelela polisi potelea mbali urafiki na ufe mana nilimpa hadi option ya kulipa atakachopata lakin hata kumi hajanipa na kitambi kinamtoka
 
Nimejifunza aiseee nilimkopesha mwana hela yangu hadi leo kila siku sababu .hadi nimechoka siku nitampelela polisi potelea mbali urafiki na ufe mana nilimpa hadi option ya kulipa atakachopata lakin hata kumi hajanipa na kitambi kinamtoka
Pole mkuu
 
Aiseee,wewe si mlipaji kabisaaaaaa
 
Usimlipe huyo jamaa. Kaushia na kupotezea kwasababu na uhakika hata yeye kapiga na kudhulumu wengine wote watanzania ndo tulivyo. Usipomlipa utakuwa umeitendea haki karma ila na wewe pia utapigwa tu na atayekupiga naye atapigwa vile×2.

It's a cycle!

Ncha Kali hydroxo Chaliifrancisco
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…