DJ SEPETU
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 8,413
- 12,336
Juzi kati rafiki Yangu mmoja alitutoa dar hadi huko bukoba kama kampani wakati anaenda kumposa binti flani.
Ni familia nzuri na yenye uwezo wa kati wacha Mungu.
Kilichonishangaza ni kiasi cha mahari ya million 8 aliyopangiwa jamaa yetu
Ingawa jamaa anampenda huyu dada ila nadhani ataweza ghairi sababu ya hii mahari
Ni familia nzuri na yenye uwezo wa kati wacha Mungu.
Kilichonishangaza ni kiasi cha mahari ya million 8 aliyopangiwa jamaa yetu
Ingawa jamaa anampenda huyu dada ila nadhani ataweza ghairi sababu ya hii mahari