Kulipuka kwa Pagers/RadioCalls Lebanon ni pigo kubwa kwa sekta ya uchukuzi na usafirishaji duniani

Kulipuka kwa Pagers/RadioCalls Lebanon ni pigo kubwa kwa sekta ya uchukuzi na usafirishaji duniani

Battery hata la smart watch ukikaa vby linakukata mkono..

Hatuwezi kuwa na uhakika hasa.. ni nini kilifanyika.. ila wameweza kuwatishia watu naona sahiv hata Tv watakuw wanaiogopa😅
😅😂😂
Hao majamaa Wana mbinu nyingi atakuja na nyingine, hilo la pagers limeisha, kesho atakuja na lisasi ukilifyatua linakugeukia mwenyewe
 
Kampuni ya Hungary iliyowauzia hesbullah hizo pagers ilianzishwa mwaka 2022. Kampuni ikiwa na mfanyakazi mmoja tu lakini ilijiingizia faida ya zaidi ya Bil 2. Hakuna sekretary, wala watu wa masoko, yaani inamtu mmoja tu kama mfanyakazi. Hapo wachambuzi wanaona kama ilikuwa ya mchongo. Kitu ambacho vijana wa vijana hayatollah hawakuwa makini kujua wanafanya biashara na nani au nani yuko nyuma ya hiyo kampuni.
Wale jamaa bado wanaoptions nyingi sana. Kuweka nchi kwa nguvu katikati ya maadui zako inabidi uwe na akili isiyo ya kawaida kusurvive.
Ni kweli kaka sale hawapo pale Kwa bahati wamejipanga haswa we angalia wanavyo shambuliwa ila wamekomaa tu
 
Ingia You Tube uone Lithium mlipuko wake.
Lebanon wamelipua vifaa vingi vya kielektronic , kuna sehem wamesema hadi zile scooter za umeme zinazotumia betri kuna ambazo zimelipuka,,,,,,,milipuko ingekua mikubwa sana wangekufa wengi,,ila wamekufa wachache ila wengi wamejeruhiwa, kwahio hakukua na c4 bali ni betri tu za hivyo vifaa ndo vimelipuliwa
 
Huwa naamini smarphone ni kama bomu tu, hao wazungu wanaweza kutrigger hiyo lithium battery na kukulipua muda wowote kama wanashida na wewe. Hata Hesbullah walijua hilo wakabuni kutumia simu za kizamani Pagers. Ingawa ni za kizamani lakini marekani kuna watu zaidi ya Millioni 2 wanazitumia. Hasa sekta ya afya.

Nimesoma mahala huko lebanoni, Iphone machomatatu moja imelikupa, Radio Calls za kampuni ya kijapan (Icom) zimelipuka na kuua. Pagers hizo kutoka Hungary ndio habari inayosambaa duniani.

Kwa taarifa zisizo rasmi wanadai inawezekana zilibadilishwa kinamna na majasusi wa Israel na kupandikiziwa vilipuzi. Hii ni kawaida miaka ya 70 hadi sabuni za hotelini ulaya ziliwekewa vilipuzi na majasusi wakiwawinda wabaya wao.

Wengine wanasema Israel imehack hivyo vifaa na kuvilipua kwa msaada wa materials yaliyotumika kutengenezea vifaa hivyo.

Pamoja na Yote, Israel kama kawaida yqke haijasema chochote na sitegemei iseme chochote. Matukio haya yatabaki kama hitilafu za kiufundi kwa vifaa vya hesbullah na ndugu zao.

Soma Pia: https://www.jamiiforums.com/threads/shambulio-linalosadikiwa-kufanywa-na-israel-dhidi-ya-magaidi-wa-hezbullah-kwa-kupitia-pagers-lathibitisha-akili-kubwa-ya-myahudi.2257919/

ISHU YANGU
Kama makontena ya Redio/Simu/Pagers yamesafiri kwa ndege kutoka Korea Au Hungary au Japan hadi kufika huko. Kote ndge zilikopita watu wa CIVIL AVIATION huwa wanamitambo mikubwa ya kisasa kugundua milipuko lakini haikujulikana. Je hatuoni kwamba sasa hii elimu iliyotumika ikitua mikononi mwa watu wenye nia ovu dunia haitakuwa salama.?

Mtu anaweza kuwa anapokea simu kumbe sio simu aliuziwa bomu.

Wale mnaopenda vitonga, kumbe pagers na simu za hesbullah zimeibiwa kimagendo na kuuzwa mitaani kwa kudanganywa ni used za dubai, zinakulipua na kupasua nusu fuvu.

Wale wa makampuni ya ulinzi wanaotumia radio calls kama hizo ICoM au Motorola, kama hazijatoka sehemu salama zinaweza kugeuka mabomu.

Kimsingi nimejifunza. Duniani tujifunze kunyooka. Hakuna aliye salama, chagua kuwa mwema tu. Leo Hesbullah wote wakiitana kwenye radio wanazikimbia. Simu zikiita wanazitupa. Hakuna aliye salama duniani. Kuwa mwema fanya yanayokuhusu kwa nia njema hata yakikupata isiwe kwa sababu ya kujiingiza kwenye migogoro hasi na wenye uwezo.

Ni hayo tu.

"......Leo Hesbullah wote wakiitana kwenye radio wanazikimbia. Simu zikiita wanazitupa. Hakuna aliye salama duniani. Kuwa mwema fanya yanayokuhusu kwa nia njema hata yakikupata isiwe kwa sababu ya kujiingiza kwenye migogoro hasi na wenye uwezo....."
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
kuna sehem wamesema hadi zile scooter za umeme zinazotumia betri kuna ambazo zimelipuka,
Hii inahitaji source lakini hadi sasa ni Pager na Walkie-talkies ndio zinaonyeshwa kwenye TV zote.

Lakini kumbuka lengo la wahusika ni kuzua taharuki hata Tairi likipasuka watu waseme limewekewa milipuko.
 
Hapa inathibitisha wana wa Abraham wako vizuri sana.............maana kira aliyejikuta kamanda sana yeye ni mtu wa system........kazi kutoa connection ajijue tayari yuko mlemavu wa bila kutaka au jivu eli mauti..............ogopa sana wa zee wa kidoni........hawana show mbovu..............sasa bado Iran.......
 
20240918_210213.jpg

Hata yule Ayatolah huenda kalimlipukia akiwa kwenye ukungu ndani ya Chopa mnasemaje Wakuu?!
 
-Kifo Cha Rais wa Iran na waziri wa mambo ya nje
-Kifo Cha Haniyeh ndani ya nchi ya Iran
-Shambulio la kulipuka kwa vilipuzi ,
Haya matukio yote ni matokeo ya operation za kijasusi za Israel na kamwe huwezi sikia wanaongelea.
Bado muda haujafika mkuu wa kurelease hizo info itachukua miaka kadha.
 
Kifaa chochote chenye battery kinaweza lipuka kama battery ikiwa over charged au ikiwekwa kwenye extrem hot condition.

Kwa ujuzi wangu mdogo naweza sema kuna uwezekano Israel ame configure remotely hizo pagers, akazi short circuit, matokeo yake yakawa ndio jayo ya mlipuko.
 
Ugaidi ni mbaya sana, huko Nigeria Boko Haramu wanaua raia huko Somalia Alshababu wanaua raia huko Mali na Burkina Faso Al Qaida Maghribi wanaua sana raia huko Msumbiji Islamic States inaua sana raia nk.
Mbona husemi Israel, Marekani na Ufaransa na uk wanavoua watu na watoto bila hatia? Huo ni ushamba dogo, wote hao ni magaidi na ushenzi
 
Huwa naamini smarphone ni kama bomu tu, hao wazungu wanaweza kutrigger hiyo lithium battery na kukulipua muda wowote kama wanashida na wewe. Hata Hesbullah walijua hilo wakabuni kutumia simu za kizamani Pagers. Ingawa ni za kizamani lakini marekani kuna watu zaidi ya Millioni 2 wanazitumia. Hasa sekta ya afya.

Nimesoma mahala huko lebanoni, Iphone machomatatu moja imelikupa, Radio Calls za kampuni ya kijapan (Icom) zimelipuka na kuua. Pagers hizo kutoka Hungary ndio habari inayosambaa duniani.

Kwa taarifa zisizo rasmi wanadai inawezekana zilibadilishwa kinamna na majasusi wa Israel na kupandikiziwa vilipuzi. Hii ni kawaida miaka ya 70 hadi sabuni za hotelini ulaya ziliwekewa vilipuzi na majasusi wakiwawinda wabaya wao.

Wengine wanasema Israel imehack hivyo vifaa na kuvilipua kwa msaada wa materials yaliyotumika kutengenezea vifaa hivyo.

Pamoja na Yote, Israel kama kawaida yqke haijasema chochote na sitegemei iseme chochote. Matukio haya yatabaki kama hitilafu za kiufundi kwa vifaa vya hesbullah na ndugu zao.

Soma Pia: https://www.jamiiforums.com/threads/shambulio-linalosadikiwa-kufanywa-na-israel-dhidi-ya-magaidi-wa-hezbullah-kwa-kupitia-pagers-lathibitisha-akili-kubwa-ya-myahudi.2257919/

ISHU YANGU
Kama makontena ya Redio/Simu/Pagers yamesafiri kwa ndege kutoka Korea Au Hungary au Japan hadi kufika huko. Kote ndge zilikopita watu wa CIVIL AVIATION huwa wanamitambo mikubwa ya kisasa kugundua milipuko lakini haikujulikana. Je hatuoni kwamba sasa hii elimu iliyotumika ikitua mikononi mwa watu wenye nia ovu dunia haitakuwa salama.?

Mtu anaweza kuwa anapokea simu kumbe sio simu aliuziwa bomu.

Wale mnaopenda vitonga, kumbe pagers na simu za hesbullah zimeibiwa kimagendo na kuuzwa mitaani kwa kudanganywa ni used za dubai, zinakulipua na kupasua nusu fuvu.

Wale wa makampuni ya ulinzi wanaotumia radio calls kama hizo ICoM au Motorola, kama hazijatoka sehemu salama zinaweza kugeuka mabomu.

Kimsingi nimejifunza. Duniani tujifunze kunyooka. Hakuna aliye salama, chagua kuwa mwema tu. Leo Hesbullah wote wakiitana kwenye radio wanazikimbia. Simu zikiita wanazitupa. Hakuna aliye salama duniani. Kuwa mwema fanya yanayokuhusu kwa nia njema hata yakikupata isiwe kwa sababu ya kujiingiza kwenye migogoro hasi na wenye uwezo.

Ni hayo tu.
Duuh hatari Mkuu!
 
Huwa naamini smarphone ni kama bomu tu, hao wazungu wanaweza kutrigger hiyo lithium battery na kukulipua muda wowote kama wanashida na wewe. Hata Hesbullah walijua hilo wakabuni kutumia simu za kizamani Pagers. Ingawa ni za kizamani lakini marekani kuna watu zaidi ya Millioni 2 wanazitumia. Hasa sekta ya afya.

Nimesoma mahala huko lebanoni, Iphone machomatatu moja imelikupa, Radio Calls za kampuni ya kijapan (Icom) zimelipuka na kuua. Pagers hizo kutoka Hungary ndio habari inayosambaa duniani.

Kwa taarifa zisizo rasmi wanadai inawezekana zilibadilishwa kinamna na majasusi wa Israel na kupandikiziwa vilipuzi. Hii ni kawaida miaka ya 70 hadi sabuni za hotelini ulaya ziliwekewa vilipuzi na majasusi wakiwawinda wabaya wao.

Wengine wanasema Israel imehack hivyo vifaa na kuvilipua kwa msaada wa materials yaliyotumika kutengenezea vifaa hivyo.

Pamoja na Yote, Israel kama kawaida yqke haijasema chochote na sitegemei iseme chochote. Matukio haya yatabaki kama hitilafu za kiufundi kwa vifaa vya hesbullah na ndugu zao.

Soma Pia: https://www.jamiiforums.com/threads/shambulio-linalosadikiwa-kufanywa-na-israel-dhidi-ya-magaidi-wa-hezbullah-kwa-kupitia-pagers-lathibitisha-akili-kubwa-ya-myahudi.2257919/

ISHU YANGU
Kama makontena ya Redio/Simu/Pagers yamesafiri kwa ndege kutoka Korea Au Hungary au Japan hadi kufika huko. Kote ndge zilikopita watu wa CIVIL AVIATION huwa wanamitambo mikubwa ya kisasa kugundua milipuko lakini haikujulikana. Je hatuoni kwamba sasa hii elimu iliyotumika ikitua mikononi mwa watu wenye nia ovu dunia haitakuwa salama.?

Mtu anaweza kuwa anapokea simu kumbe sio simu aliuziwa bomu.

Wale mnaopenda vitonga, kumbe pagers na simu za hesbullah zimeibiwa kimagendo na kuuzwa mitaani kwa kudanganywa ni used za dubai, zinakulipua na kupasua nusu fuvu.

Wale wa makampuni ya ulinzi wanaotumia radio calls kama hizo ICoM au Motorola, kama hazijatoka sehemu salama zinaweza kugeuka mabomu.

Kimsingi nimejifunza. Duniani tujifunze kunyooka. Hakuna aliye salama, chagua kuwa mwema tu. Leo Hesbullah wote wakiitana kwenye radio wanazikimbia. Simu zikiita wanazitupa. Hakuna aliye salama duniani. Kuwa mwema fanya yanayokuhusu kwa nia njema hata yakikupata isiwe kwa sababu ya kujiingiza kwenye migogoro hasi na wenye uwezo.

Ni hayo tu.
Mwenye masikio na asikie!
Mwenye macho na aone!

Cyber Warfare is real, usiwachezee Wayahudi au Wazungu.
 
Back
Top Bottom