Kida ze great
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 242
- 288
ππKobazi mkiambiwa acheni uchokozi dhidi ya myahudi hamumuwezi mnasema oooh!! Atatusaidia siku moja ona myahudi anaweza kukulipua kupitia smart phone yako, kupitia gari lako, kanzu yako mwenyewe
π ππBattery hata la smart watch ukikaa vby linakukata mkono..
Hatuwezi kuwa na uhakika hasa.. ni nini kilifanyika.. ila wameweza kuwatishia watu naona sahiv hata Tv watakuw wanaiogopaπ
Hao majamaa Wana mbinu nyingi atakuja na nyingine, hilo la pagers limeisha, kesho atakuja na lisasi ukilifyatua linakugeukia mwenyewe
Ni kweli kaka sale hawapo pale Kwa bahati wamejipanga haswa we angalia wanavyo shambuliwa ila wamekomaa tuKampuni ya Hungary iliyowauzia hesbullah hizo pagers ilianzishwa mwaka 2022. Kampuni ikiwa na mfanyakazi mmoja tu lakini ilijiingizia faida ya zaidi ya Bil 2. Hakuna sekretary, wala watu wa masoko, yaani inamtu mmoja tu kama mfanyakazi. Hapo wachambuzi wanaona kama ilikuwa ya mchongo. Kitu ambacho vijana wa vijana hayatollah hawakuwa makini kujua wanafanya biashara na nani au nani yuko nyuma ya hiyo kampuni.
Wale jamaa bado wanaoptions nyingi sana. Kuweka nchi kwa nguvu katikati ya maadui zako inabidi uwe na akili isiyo ya kawaida kusurvive.
Lebanon wamelipua vifaa vingi vya kielektronic , kuna sehem wamesema hadi zile scooter za umeme zinazotumia betri kuna ambazo zimelipuka,,,,,,,milipuko ingekua mikubwa sana wangekufa wengi,,ila wamekufa wachache ila wengi wamejeruhiwa, kwahio hakukua na c4 bali ni betri tu za hivyo vifaa ndo vimelipuliwaIngia You Tube uone Lithium mlipuko wake.
Huwa naamini smarphone ni kama bomu tu, hao wazungu wanaweza kutrigger hiyo lithium battery na kukulipua muda wowote kama wanashida na wewe. Hata Hesbullah walijua hilo wakabuni kutumia simu za kizamani Pagers. Ingawa ni za kizamani lakini marekani kuna watu zaidi ya Millioni 2 wanazitumia. Hasa sekta ya afya.
Nimesoma mahala huko lebanoni, Iphone machomatatu moja imelikupa, Radio Calls za kampuni ya kijapan (Icom) zimelipuka na kuua. Pagers hizo kutoka Hungary ndio habari inayosambaa duniani.
Kwa taarifa zisizo rasmi wanadai inawezekana zilibadilishwa kinamna na majasusi wa Israel na kupandikiziwa vilipuzi. Hii ni kawaida miaka ya 70 hadi sabuni za hotelini ulaya ziliwekewa vilipuzi na majasusi wakiwawinda wabaya wao.
Wengine wanasema Israel imehack hivyo vifaa na kuvilipua kwa msaada wa materials yaliyotumika kutengenezea vifaa hivyo.
Pamoja na Yote, Israel kama kawaida yqke haijasema chochote na sitegemei iseme chochote. Matukio haya yatabaki kama hitilafu za kiufundi kwa vifaa vya hesbullah na ndugu zao.
Soma Pia: https://www.jamiiforums.com/threads/shambulio-linalosadikiwa-kufanywa-na-israel-dhidi-ya-magaidi-wa-hezbullah-kwa-kupitia-pagers-lathibitisha-akili-kubwa-ya-myahudi.2257919/
ISHU YANGU
Kama makontena ya Redio/Simu/Pagers yamesafiri kwa ndege kutoka Korea Au Hungary au Japan hadi kufika huko. Kote ndge zilikopita watu wa CIVIL AVIATION huwa wanamitambo mikubwa ya kisasa kugundua milipuko lakini haikujulikana. Je hatuoni kwamba sasa hii elimu iliyotumika ikitua mikononi mwa watu wenye nia ovu dunia haitakuwa salama.?
Mtu anaweza kuwa anapokea simu kumbe sio simu aliuziwa bomu.
Wale mnaopenda vitonga, kumbe pagers na simu za hesbullah zimeibiwa kimagendo na kuuzwa mitaani kwa kudanganywa ni used za dubai, zinakulipua na kupasua nusu fuvu.
Wale wa makampuni ya ulinzi wanaotumia radio calls kama hizo ICoM au Motorola, kama hazijatoka sehemu salama zinaweza kugeuka mabomu.
Kimsingi nimejifunza. Duniani tujifunze kunyooka. Hakuna aliye salama, chagua kuwa mwema tu. Leo Hesbullah wote wakiitana kwenye radio wanazikimbia. Simu zikiita wanazitupa. Hakuna aliye salama duniani. Kuwa mwema fanya yanayokuhusu kwa nia njema hata yakikupata isiwe kwa sababu ya kujiingiza kwenye migogoro hasi na wenye uwezo.
Ni hayo tu.
Hii inahitaji source lakini hadi sasa ni Pager na Walkie-talkies ndio zinaonyeshwa kwenye TV zote.kuna sehem wamesema hadi zile scooter za umeme zinazotumia betri kuna ambazo zimelipuka,
Bado muda haujafika mkuu wa kurelease hizo info itachukua miaka kadha.-Kifo Cha Rais wa Iran na waziri wa mambo ya nje
-Kifo Cha Haniyeh ndani ya nchi ya Iran
-Shambulio la kulipuka kwa vilipuzi ,
Haya matukio yote ni matokeo ya operation za kijasusi za Israel na kamwe huwezi sikia wanaongelea.
Unateseka ukiwa wapi shehe.π€£π€£π€£Israel na US na Europe ni magaidi tu wameona Israel kashindwa vita na Hezbullah wakadhani kufanya hivyo watawatisha Hezbullah. Kesho kiongozi wa Hezbullah ataeleza kichapo watakacho mchapa Israel.
Hii inahitaji source lakini hadi sasa ni Pager na Walkie-talkies ndio zinaonyeshwa kwenye TV zote.
Lakini kumbuka lengo la wahusika ni kuzua taharuki hata Tairi likipasuka watu waseme limewekewa milipuko.
Mbona husemi Israel, Marekani na Ufaransa na uk wanavoua watu na watoto bila hatia? Huo ni ushamba dogo, wote hao ni magaidi na ushenziUgaidi ni mbaya sana, huko Nigeria Boko Haramu wanaua raia huko Somalia Alshababu wanaua raia huko Mali na Burkina Faso Al Qaida Maghribi wanaua sana raia huko Msumbiji Islamic States inaua sana raia nk.
Ngoja nifuatilie maana kuna uongo mwingi.
Magaidi ya ISIS yameua Waisilamu wengi kuliko Ufaransa na US.Mbona husemi Israel, Marekani na Ufaransa na uk wanavoua watu na watoto bila hatia? Huo ni ushamba dogo, wote hao ni magaidi na ushenzi
Dunia haiko salama tangu miaka na mikaka...dunia haitakuwa salama
Duuh hatari Mkuu!Huwa naamini smarphone ni kama bomu tu, hao wazungu wanaweza kutrigger hiyo lithium battery na kukulipua muda wowote kama wanashida na wewe. Hata Hesbullah walijua hilo wakabuni kutumia simu za kizamani Pagers. Ingawa ni za kizamani lakini marekani kuna watu zaidi ya Millioni 2 wanazitumia. Hasa sekta ya afya.
Nimesoma mahala huko lebanoni, Iphone machomatatu moja imelikupa, Radio Calls za kampuni ya kijapan (Icom) zimelipuka na kuua. Pagers hizo kutoka Hungary ndio habari inayosambaa duniani.
Kwa taarifa zisizo rasmi wanadai inawezekana zilibadilishwa kinamna na majasusi wa Israel na kupandikiziwa vilipuzi. Hii ni kawaida miaka ya 70 hadi sabuni za hotelini ulaya ziliwekewa vilipuzi na majasusi wakiwawinda wabaya wao.
Wengine wanasema Israel imehack hivyo vifaa na kuvilipua kwa msaada wa materials yaliyotumika kutengenezea vifaa hivyo.
Pamoja na Yote, Israel kama kawaida yqke haijasema chochote na sitegemei iseme chochote. Matukio haya yatabaki kama hitilafu za kiufundi kwa vifaa vya hesbullah na ndugu zao.
Soma Pia: https://www.jamiiforums.com/threads/shambulio-linalosadikiwa-kufanywa-na-israel-dhidi-ya-magaidi-wa-hezbullah-kwa-kupitia-pagers-lathibitisha-akili-kubwa-ya-myahudi.2257919/
ISHU YANGU
Kama makontena ya Redio/Simu/Pagers yamesafiri kwa ndege kutoka Korea Au Hungary au Japan hadi kufika huko. Kote ndge zilikopita watu wa CIVIL AVIATION huwa wanamitambo mikubwa ya kisasa kugundua milipuko lakini haikujulikana. Je hatuoni kwamba sasa hii elimu iliyotumika ikitua mikononi mwa watu wenye nia ovu dunia haitakuwa salama.?
Mtu anaweza kuwa anapokea simu kumbe sio simu aliuziwa bomu.
Wale mnaopenda vitonga, kumbe pagers na simu za hesbullah zimeibiwa kimagendo na kuuzwa mitaani kwa kudanganywa ni used za dubai, zinakulipua na kupasua nusu fuvu.
Wale wa makampuni ya ulinzi wanaotumia radio calls kama hizo ICoM au Motorola, kama hazijatoka sehemu salama zinaweza kugeuka mabomu.
Kimsingi nimejifunza. Duniani tujifunze kunyooka. Hakuna aliye salama, chagua kuwa mwema tu. Leo Hesbullah wote wakiitana kwenye radio wanazikimbia. Simu zikiita wanazitupa. Hakuna aliye salama duniani. Kuwa mwema fanya yanayokuhusu kwa nia njema hata yakikupata isiwe kwa sababu ya kujiingiza kwenye migogoro hasi na wenye uwezo.
Ni hayo tu.
Mwenye masikio na asikie!Huwa naamini smarphone ni kama bomu tu, hao wazungu wanaweza kutrigger hiyo lithium battery na kukulipua muda wowote kama wanashida na wewe. Hata Hesbullah walijua hilo wakabuni kutumia simu za kizamani Pagers. Ingawa ni za kizamani lakini marekani kuna watu zaidi ya Millioni 2 wanazitumia. Hasa sekta ya afya.
Nimesoma mahala huko lebanoni, Iphone machomatatu moja imelikupa, Radio Calls za kampuni ya kijapan (Icom) zimelipuka na kuua. Pagers hizo kutoka Hungary ndio habari inayosambaa duniani.
Kwa taarifa zisizo rasmi wanadai inawezekana zilibadilishwa kinamna na majasusi wa Israel na kupandikiziwa vilipuzi. Hii ni kawaida miaka ya 70 hadi sabuni za hotelini ulaya ziliwekewa vilipuzi na majasusi wakiwawinda wabaya wao.
Wengine wanasema Israel imehack hivyo vifaa na kuvilipua kwa msaada wa materials yaliyotumika kutengenezea vifaa hivyo.
Pamoja na Yote, Israel kama kawaida yqke haijasema chochote na sitegemei iseme chochote. Matukio haya yatabaki kama hitilafu za kiufundi kwa vifaa vya hesbullah na ndugu zao.
Soma Pia: https://www.jamiiforums.com/threads/shambulio-linalosadikiwa-kufanywa-na-israel-dhidi-ya-magaidi-wa-hezbullah-kwa-kupitia-pagers-lathibitisha-akili-kubwa-ya-myahudi.2257919/
ISHU YANGU
Kama makontena ya Redio/Simu/Pagers yamesafiri kwa ndege kutoka Korea Au Hungary au Japan hadi kufika huko. Kote ndge zilikopita watu wa CIVIL AVIATION huwa wanamitambo mikubwa ya kisasa kugundua milipuko lakini haikujulikana. Je hatuoni kwamba sasa hii elimu iliyotumika ikitua mikononi mwa watu wenye nia ovu dunia haitakuwa salama.?
Mtu anaweza kuwa anapokea simu kumbe sio simu aliuziwa bomu.
Wale mnaopenda vitonga, kumbe pagers na simu za hesbullah zimeibiwa kimagendo na kuuzwa mitaani kwa kudanganywa ni used za dubai, zinakulipua na kupasua nusu fuvu.
Wale wa makampuni ya ulinzi wanaotumia radio calls kama hizo ICoM au Motorola, kama hazijatoka sehemu salama zinaweza kugeuka mabomu.
Kimsingi nimejifunza. Duniani tujifunze kunyooka. Hakuna aliye salama, chagua kuwa mwema tu. Leo Hesbullah wote wakiitana kwenye radio wanazikimbia. Simu zikiita wanazitupa. Hakuna aliye salama duniani. Kuwa mwema fanya yanayokuhusu kwa nia njema hata yakikupata isiwe kwa sababu ya kujiingiza kwenye migogoro hasi na wenye uwezo.
Ni hayo tu.