Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza kufuatilia live
Baada ya takriban miezi 4 ya kusubiri kumjua atayejishindia zawadi ya andiko bora kwenye kinyang'anyiro cha storie of change 2022 siku imefika, leo ndio leo, washindi watatangazwa na kupewa zawadi zao.
Mshindi wa Shindano la “JF Stories Of Change” atakayejinyakulia kitita cha Tsh. Milioni 5 anatarajiwa kutangazwa na kupewa kitita hicho Jioni ya leo November 18, 2022 katika hafla fupi itakayoanza saa 12 jioni Jijini Dar. Washindi 20 kukabidhiwa zawadi siku ya leo jioni.
Zawadi kwa washindi zitakuwa kama ifuatavyo:-
Mshindi wa Kwanza Tsh. 5,000,000
Mshindi wa Pili Tsh. 3,000,000
Mshindi wa Tatu Tsh. 2,000,000
Mshindi wa Nne Tsh. 1,000,000
Mshindi wa Tano Tsh. 500,000
Mshindi wa Sita hadi kumi Tsh. 300,000
Mshindi wa Kumi na Moja hadi wa Ishirini Tsh. 200,000
Kuhusu Shindano hili
Jamii Forums (JF) ilitoa nafasi kwa wadau wake na wananchi wote wenye uwezo wa kutayarisha maudhui kushiriki kwenye shindano la uandishi wa maudhui mtandaoni wenye kuleta mabadiliko (Stories of Change 2022) kwa awamu ya pili.
Shindano lilikusudia kuongeza maudhui bora mtandaoni hususani ya lugha ya Kiswahili kwa ajili ya vizazi vya sasa na vya baadaye.
Pia, shindano lililenga kuhamasisha ushiriki wa raia pamoja na makundi yasiyopewa vipaumbele kama watu wanaoishi na ulemavu kushiriki katika ukusanyaji na utayarishaji wa taarifa nchini.
Shindano hili lilianza Julai 15 hadi Septemba 15, 2022
Zaidi soma: Uzinduzi wa Awamu ya Pili ya Shindano la Stories of Change(2022)
Tutawapa live kinachojiri katika utoaji zawadi kwa Washindi kutoka ukumbini kupitia huu uzi.
Storie of change 2022 mambo ni motoooooo. tukutane jioni.
Awamu ya kwanza ya shindano hili lilifanyika mwaka 2021, Soma: Stories of Change: Golder Anael Mmari ashinda Tsh. 5,000,000/- toka JamiiForums, katika awamu ya kwanza Golder Anael Mmari alitwaa ushindi. Je, nani leo kulala na kicheko?
Tukutane jioni ya leo.
View attachment 2420375
Hafla imeanza
Mgeni Rasmi Waziri, Nape Mnauye anaingia ukumbini muda huu, ameongozana na Mkurugenzi wa Jamii Forums, Maxence Melo pamoja na wageni waalikwa wengine.
Mkurugenzi wa Jamii Forums, Maxence Melo anatambulisha pamoja na kuwakaribisha wageni waalikwa waliofika kwenye hafoa hii, wapo, bodi ya Jamiiforums, Balozi mbalimbali na wengine wengi.
Pamoja na kutangazwa washindi pia leo Jamiiforums, inazindua mfumo wa kuhakiki uhakika wa taarifa yaani Jamii check, katika mfumo huu wananchi wataweza kuuliza, kuperuziau kuuliza uhakika wa taarifa zilizopo mtandaoni ili kuepuka kuamini uzushi au kuwa na taarifa zisizo sahihi.
Jamii Check itakuwa hewani leo kuanza kutumika, kama ni mwanachama wa Jamiiforums, hutatakiwa kufungua akaunti mpya kwa kuwa Jamiicheck ipo pamoja na Jamii forums ila kamahuna akaunt utatakiwa kufungua akaunt na kuweza kutumia.
Mgeni rasmi, Nape Mnauye
Natumia fursa hii kuwapongeza washindi, na pia nawapongeza Jamiiforims kwa kuzindua jukwaa la Jamii check na kuandaa shindano hili la Stories of change, ambalo linasaidia kuongeza maudhui bora mtandaoni.
Natoa wito kwa watu kushiriki kuandika au kuandaa maudhui mitandaoni kwani katika ulimwengu huu wa teknolojia hiki ni kitu muhimu.
Katika mazingira haya ya kidigitali mtu anaweza kuandika chochote mtandaoni ivyo kuwepo kwa Jamii check itasaidia kuweka usahihi wa habari rasmi na kuepeusha Uzushi.
Jamii forums mmesaidia kazi ya Wizara yangu maana tutapaga sehemj ya kujua ukweli wa taarifa, kwa niaba ya Serikali Jamiiforums mmefanya kazi nzuri na mnachagia katika kuufanha mtandao kuwa salama, ndio maana nimeona nije, na mimi ni mwanachama wa JamiiForums na nasoma mabo mengi sana japo wakati mwingine nasemwa ila nasoma.
Shindano hili la Stories of Change, tangu limeanzishwa limeibua mambo mengi mazuri na yanafanyiwa kazi na Serikali, hivuo mzidi kuandika na kusema na nawahakikishia Serikali inafurahishwa na kuna sheria ya ulinzi wa taarifa binafsi unakuja na sheria hiuo ni mchango wa Jamiiforums, na wadaj wengine, hivyo Jioji ya leo natambua mchango wa Jamiiforums katika Taifa hili.
Pia katika sheria hiyo, kuna mambo yameongezeka wanataka kuwekwe usawa wa kijinsia, na nimelivhukua na nitalifanyia kazi, kwa kweli Jamiiforums inaoeta mawazo mazuri na nawapongeza katika ushiriki huu kwa jamii katika kuhakikisha jamii inakuwanna sehemu salama ya kuishi.
Nimefurahi, kuwepo hapa jioni ya leo na nawashukuru sana kwa mwaliko. Asanteni.
TunasubiriUnaweza kufuatilia live
Baada ya takriban miezi 4 ya kusubiri kumjua atayejishindia zawadi ya andiko bora kwenye kinyang'anyiro cha storie of change 2022 siku imefika, leo ndio leo, washindi watatangazwa na kupewa zawadi zao.
Mshindi wa Shindano la “JF Stories Of Change” atakayejinyakulia kitita cha Tsh. Milioni 5 anatarajiwa kutangazwa na kupewa kitita hicho Jioni ya leo November 18, 2022 katika hafla fupi itakayoanza saa 12 jioni Jijini Dar. Washindi 20 kukabidhiwa zawadi siku ya leo jioni.
Zawadi kwa washindi zitakuwa kama ifuatavyo:-
Mshindi wa Kwanza Tsh. 5,000,000
Mshindi wa Pili Tsh. 3,000,000
Mshindi wa Tatu Tsh. 2,000,000
Mshindi wa Nne Tsh. 1,000,000
Mshindi wa Tano Tsh. 500,000
Mshindi wa Sita hadi kumi Tsh. 300,000
Mshindi wa Kumi na Moja hadi wa Ishirini Tsh. 200,000
Kuhusu Shindano hili
Jamii Forums (JF) ilitoa nafasi kwa wadau wake na wananchi wote wenye uwezo wa kutayarisha maudhui kushiriki kwenye shindano la uandishi wa maudhui mtandaoni wenye kuleta mabadiliko (Stories of Change 2022) kwa awamu ya pili.
Shindano lilikusudia kuongeza maudhui bora mtandaoni hususani ya lugha ya Kiswahili kwa ajili ya vizazi vya sasa na vya baadaye.
Pia, shindano lililenga kuhamasisha ushiriki wa raia pamoja na makundi yasiyopewa vipaumbele kama watu wanaoishi na ulemavu kushiriki katika ukusanyaji na utayarishaji wa taarifa nchini.
Shindano hili lilianza Julai 15 hadi Septemba 15, 2022
Zaidi soma: Uzinduzi wa Awamu ya Pili ya Shindano la Stories of Change(2022)
Tutawapa live kinachojiri katika utoaji zawadi kwa Washindi kutoka ukumbini kupitia huu uzi.
Storie of change 2022 mambo ni motoooooo. tukutane jioni.
Awamu ya kwanza ya shindano hili lilifanyika mwaka 2021, Soma: Stories of Change: Golder Anael Mmari ashinda Tsh. 5,000,000/- toka JamiiForums, katika awamu ya kwanza Golder Anael Mmari alitwaa ushindi. Je, nani leo kulala na kicheko?
Tukutane jioni ya leo.
View attachment 2420375
Hafla imeanza
Mgeni Rasmi Waziri, Nape Mnauye anaingia ukumbini muda huu, ameongozana na Mkurugenzi wa Jamii Forums, Maxence Melo pamoja na wageni waalikwa wengine.
Mkurugenzi wa Jamii Forums, Maxence Melo anatambulisha pamoja na kuwakaribisha wageni waalikwa waliofika kwenye hafoa hii, wapo, bodi ya Jamiiforums, Balozi mbalimbali na wengine wengi.
Pamoja na kutangazwa washindi pia leo Jamiiforums, inazindua mfumo wa kuhakiki uhakika wa taarifa yaani Jamii check, katika mfumo huu wananchi wataweza kuuliza, kuperuziau kuuliza uhakika wa taarifa zilizopo mtandaoni ili kuepuka kuamini uzushi au kuwa na taarifa zisizo sahihi.
Jamii Check itakuwa hewani leo kuanza kutumika, kama ni mwanachama wa Jamiiforums, hutatakiwa kufungua akaunti mpya kwa kuwa Jamiicheck ipo pamoja na Jamii forums ila kamahuna akaunt utatakiwa kufungua akaunt na kuweza kutumia.
Mgeni rasmi, Nape Mnauye
Natumia fursa hii kuwapongeza washindi, na pia nawapongeza Jamiiforims kwa kuzindua jukwaa la Jamii check na kuandaa shindano hili la Stories of change, ambalo linasaidia kuongeza maudhui bora mtandaoni.
Natoa wito kwa watu kushiriki kuandika au kuandaa maudhui mitandaoni kwani katika ulimwengu huu wa teknolojia hiki ni kitu muhimu.
Katika mazingira haya ya kidigitali mtu anaweza kuandika chochote mtandaoni ivyo kuwepo kwa Jamii check itasaidia kuweka usahihi wa habari rasmi na kuepeusha Uzushi.
Jamii forums mmesaidia kazi ya Wizara yangu maana tutapaga sehemj ya kujua ukweli wa taarifa, kwa niaba ya Serikali Jamiiforums mmefanya kazi nzuri na mnachagia katika kuufanha mtandao kuwa salama, ndio maana nimeona nije, na mimi ni mwanachama wa JamiiForums na nasoma mabo mengi sana japo wakati mwingine nasemwa ila nasoma.
Shindano hili la Stories of Change, tangu limeanzishwa limeibua mambo mengi mazuri na yanafanyiwa kazi na Serikali, hivuo mzidi kuandika na kusema na nawahakikishia Serikali inafurahishwa na kuna sheria ya ulinzi wa taarifa binafsi unakuja na sheria hiuo ni mchango wa Jamiiforums, na wadaj wengine, hivyo Jioji ya leo natambua mchango wa Jamiiforums katika Taifa hili.
Pia katika sheria hiyo, kuna mambo yameongezeka wanataka kuwekwe usawa wa kijinsia, na nimelivhukua na nitalifanyia kazi, kwa kweli Jamiiforums inaoeta mawazo mazuri na nawapongeza katika ushiriki huu kwa jamii katika kuhakikisha jamii inakuwanna sehemu salama ya kuishi.
Nimefurahi, kuwepo hapa jioni ya leo na nawashukuru sana kwa mwaliko. Asanteni.
_______
Kama ulishiriki na hujaona PM ujue ushaliwa kichwa.Kwahiyo hata washindi wenyewe hawajijui?
Au ndio kama Mtu hujaona PM yoyote basi imepita hiyo.
Anyway Kila la kheri Kwa washindi watumie iyo Pesa vizuri
Nakazia.Mmetumia kigezo gani kualika hao watu.
JF inajengwa na sisi walala hoi pia, najua hao wavaa suti wana mchango ila na sisi tuna mchango wetu.
Ata wawili watatu tu.
Kwa washindi ambao wameshindwa kuhudhuria Leo, utaratibu wao WA kupokea zawadi zao ukoje? AsanteUpdates zipo, pia unaweza kutufuatilia live YouTube au Facebook
Akhsante
Unaweza kufuatilia live
Baada ya takriban miezi 4 ya kusubiri kumjua atayejishindia zawadi ya andiko bora kwenye kinyang'anyiro cha storie of change 2022 siku imefika, leo ndio leo, washindi watatangazwa na kupewa zawadi zao.
Mshindi wa Shindano la “JF Stories Of Change” atakayejinyakulia kitita cha Tsh. Milioni 5 anatarajiwa kutangazwa na kupewa kitita hicho Jioni ya leo November 18, 2022 katika hafla fupi itakayoanza saa 12 jioni Jijini Dar. Washindi 20 kukabidhiwa zawadi siku ya leo jioni.
Zawadi kwa washindi zitakuwa kama ifuatavyo:-
Mshindi wa Kwanza Tsh. 5,000,000
Mshindi wa Pili Tsh. 3,000,000
Mshindi wa Tatu Tsh. 2,000,000
Mshindi wa Nne Tsh. 1,000,000
Mshindi wa Tano Tsh. 500,000
Mshindi wa Sita hadi kumi Tsh. 300,000
Mshindi wa Kumi na Moja hadi wa Ishirini Tsh. 200,000
Kuhusu Shindano hili
Jamii Forums (JF) ilitoa nafasi kwa wadau wake na wananchi wote wenye uwezo wa kutayarisha maudhui kushiriki kwenye shindano la uandishi wa maudhui mtandaoni wenye kuleta mabadiliko (Stories of Change 2022) kwa awamu ya pili.
Shindano lilikusudia kuongeza maudhui bora mtandaoni hususani ya lugha ya Kiswahili kwa ajili ya vizazi vya sasa na vya baadaye.
Pia, shindano lililenga kuhamasisha ushiriki wa raia pamoja na makundi yasiyopewa vipaumbele kama watu wanaoishi na ulemavu kushiriki katika ukusanyaji na utayarishaji wa taarifa nchini.
Shindano hili lilianza Julai 15 hadi Septemba 15, 2022
Zaidi soma: Uzinduzi wa Awamu ya Pili ya Shindano la Stories of Change(2022)
Tutawapa live kinachojiri katika utoaji zawadi kwa Washindi kutoka ukumbini kupitia huu uzi.
Storie of change 2022 mambo ni motoooooo. tukutane jioni.
Awamu ya kwanza ya shindano hili lilifanyika mwaka 2021, Soma: Stories of Change: Golder Anael Mmari ashinda Tsh. 5,000,000/- toka JamiiForums, katika awamu ya kwanza Golder Anael Mmari alitwaa ushindi. Je, nani leo kulala na kicheko?
Tukutane jioni ya leo.
View attachment 2420375
Hafla imeanza
Mgeni Rasmi Waziri, Nape Mnauye anaingia ukumbini muda huu, ameongozana na Mkurugenzi wa Jamii Forums, Maxence Melo pamoja na wageni waalikwa wengine.
Maxence Melo atambulisha wageni waalikwa na kumkaribisha mgeni rasmi
Mkurugenzi wa Jamii Forums, Maxence Melo anatambulisha pamoja na kuwakaribisha wageni waalikwa waliofika kwenye hafoa hii, wapo, bodi ya Jamiiforums, Balozi mbalimbali na wengine wengi.
Pamoja na kutangazwa washindi pia leo Jamiiforums, inazindua mfumo wa kuhakiki uhakika wa taarifa yaani Jamii check, katika mfumo huu wananchi wataweza kuuliza, kuperuziau kuuliza uhakika wa taarifa zilizopo mtandaoni ili kuepuka kuamini uzushi au kuwa na taarifa zisizo sahihi - Maxence Melo
Jamii Check itakuwa hewani leo kuanza kutumika, kama ni mwanachama wa Jamiiforums, hutatakiwa kufungua akaunti mpya kwa kuwa Jamiicheck ipo pamoja na Jamii forums ila kamahuna akaunt utatakiwa kufungua akaunt na kuweza kutumia.
Mgeni rasmi, Nape Mnauye akaribishwa kutoa neno
Natumia fursa hii kuwapongeza washindi, na pia nawapongeza Jamiiforims kwa kuzindua jukwaa la Jamii check na kuandaa shindano hili la Stories of change, ambalo linasaidia kuongeza maudhui bora mtandaoni.
Natoa wito kwa watu kushiriki kuandika au kuandaa maudhui mitandaoni kwani katika ulimwengu huu wa teknolojia hiki ni kitu muhimu.
Katika mazingira haya ya kidigitali mtu anaweza kuandika chochote mtandaoni ivyo kuwepo kwa Jamii check itasaidia kuweka usahihi wa habari rasmi na kuepeusha Uzushi.
Jamii forums mmesaidia kazi ya Wizara yangu maana tutapaga sehemj ya kujua ukweli wa taarifa, kwa niaba ya Serikali Jamiiforums mmefanya kazi nzuri na mnachagia katika kuufanha mtandao kuwa salama, ndio maana nimeona nije, na mimi ni mwanachama wa JamiiForums na nasoma mabo mengi sana japo wakati mwingine nasemwa ila nasoma.
Shindano hili la Stories of Change, tangu limeanzishwa limeibua mambo mengi mazuri na yanafanyiwa kazi na Serikali, hivuo mzidi kuandika na kusema na nawahakikishia Serikali inafurahishwa na kuna sheria ya ulinzi wa taarifa binafsi unakuja na sheria hiuo ni mchango wa Jamiiforums, na wadaj wengine, hivyo Jioji ya leo natambua mchango wa Jamiiforums katika Taifa hili.
Pia katika sheria hiyo, kuna mambo yameongezeka wanataka kuwekwe usawa wa kijinsia, na nimelivhukua na nitalifanyia kazi, kwa kweli Jamiiforums inaoeta mawazo mazuri na nawapongeza katika ushiriki huu kwa jamii katika kuhakikisha jamii inakuwanna sehemu salama ya kuishi.
Nimefurahi, kuwepo hapa jioni ya leo na nawashukuru sana kwa mwaliko. Asanteni.
_____
Kwa sasa kuna mapumziko mafupi na burudani ya muziki Kabla ya zoezi la kutangaza washindi kuanza.
Maxence Melo na Mgeni Rasmi wakaribishwa kwa ajili ya kuanza kutangaza washindi
Washindi wa Stories of change
Mshindi wa tano ni philibert Moshi Bisama
Ameshinda Shilingi laki tano
Andiko lake ni: SoC 2022 - Mtoto ndani ya giza jeusi
Mshindi wa nne ni Abeid Othman
Amejishindia Shilingi milioni 1
Andiko lake ni:SoC02 - Madarasa ya TEHAMA muhimu Shuleni
Abeid Abubakar Namuuliza mtoto wangu anayesoma darasa la sita katika shule binafsi moja ya mchepuo wa Kiingereza kama wanafundishwa kompyuta. Jibu lake la hapana linaninyong’onyesha. Pengine ningeliamini kama angekuwa anasoma shule katika moja ya shule za umma, ambazo weng tunajua hali zake...www.jamiiforums.com
Mshindi wa tatu ni Nathaniel Atanas Mpasi
Amejishindia Shilingi milioni 2
Andiko lake ni: SoC 2022 - Mfumo Huru wa Kompyuta wa Kupigiana Kura. Jina La Mfumo: Fair Election (FAEL)
Mshindi wa pili ni Rayson Julius Mkelame
Amejishindia Shilingi milioni 3
Andiko lake ni: SoC 2022 - Jinsi harufu ya Simba inavyoweza kukomesha migogoro ya wakulima na wafugaji
1. Mshindi wa kwanza ni Kulwa Masanja Isenge
Amejishindia kiasi Cha Shilingi milioni 5
Andiko lake ni: SoC 2022 - Nilivyobuni kifaa cha kutatua changamoto ya malipo ya bili za Umeme kwa wapangaji
Unaweza kufuatilia live
Baada ya takriban miezi 4 ya kusubiri kumjua atayejishindia zawadi ya andiko bora kwenye kinyang'anyiro cha storie of change 2022 siku imefika, leo ndio leo, washindi watatangazwa na kupewa zawadi zao.
Mshindi wa Shindano la “JF Stories Of Change” atakayejinyakulia kitita cha Tsh. Milioni 5 anatarajiwa kutangazwa na kupewa kitita hicho Jioni ya leo November 18, 2022 katika hafla fupi itakayoanza saa 12 jioni Jijini Dar. Washindi 20 kukabidhiwa zawadi siku ya leo jioni.
Zawadi kwa washindi zitakuwa kama ifuatavyo:-
Mshindi wa Kwanza Tsh. 5,000,000
Mshindi wa Pili Tsh. 3,000,000
Mshindi wa Tatu Tsh. 2,000,000
Mshindi wa Nne Tsh. 1,000,000
Mshindi wa Tano Tsh. 500,000
Mshindi wa Sita hadi kumi Tsh. 300,000
Mshindi wa Kumi na Moja hadi wa Ishirini Tsh. 200,000
Kuhusu Shindano hili
Jamii Forums (JF) ilitoa nafasi kwa wadau wake na wananchi wote wenye uwezo wa kutayarisha maudhui kushiriki kwenye shindano la uandishi wa maudhui mtandaoni wenye kuleta mabadiliko (Stories of Change 2022) kwa awamu ya pili.
Shindano lilikusudia kuongeza maudhui bora mtandaoni hususani ya lugha ya Kiswahili kwa ajili ya vizazi vya sasa na vya baadaye.
Pia, shindano lililenga kuhamasisha ushiriki wa raia pamoja na makundi yasiyopewa vipaumbele kama watu wanaoishi na ulemavu kushiriki katika ukusanyaji na utayarishaji wa taarifa nchini.
Shindano hili lilianza Julai 15 hadi Septemba 15, 2022
Zaidi soma: Uzinduzi wa Awamu ya Pili ya Shindano la Stories of Change(2022)
Tutawapa live kinachojiri katika utoaji zawadi kwa Washindi kutoka ukumbini kupitia huu uzi.
Storie of change 2022 mambo ni motoooooo. tukutane jioni.
Awamu ya kwanza ya shindano hili lilifanyika mwaka 2021, Soma: Stories of Change: Golder Anael Mmari ashinda Tsh. 5,000,000/- toka JamiiForums, katika awamu ya kwanza Golder Anael Mmari alitwaa ushindi. Je, nani leo kulala na kicheko?
Tukutane jioni ya leo.
View attachment 2420375
Hafla imeanza
Mgeni Rasmi Waziri, Nape Mnauye anaingia ukumbini muda huu, ameongozana na Mkurugenzi wa Jamii Forums, Maxence Melo pamoja na wageni waalikwa wengine.
Maxence Melo atambulisha wageni waalikwa na kumkaribisha mgeni rasmi
Mkurugenzi wa Jamii Forums, Maxence Melo anatambulisha pamoja na kuwakaribisha wageni waalikwa waliofika kwenye hafoa hii, wapo, bodi ya Jamiiforums, Balozi mbalimbali na wengine wengi.
Pamoja na kutangazwa washindi pia leo Jamiiforums, inazindua mfumo wa kuhakiki uhakika wa taarifa yaani Jamii check, katika mfumo huu wananchi wataweza kuuliza, kuperuziau kuuliza uhakika wa taarifa zilizopo mtandaoni ili kuepuka kuamini uzushi au kuwa na taarifa zisizo sahihi - Maxence Melo
Jamii Check itakuwa hewani leo kuanza kutumika, kama ni mwanachama wa Jamiiforums, hutatakiwa kufungua akaunti mpya kwa kuwa Jamiicheck ipo pamoja na Jamii forums ila kamahuna akaunt utatakiwa kufungua akaunt na kuweza kutumia.
Mgeni rasmi, Nape Mnauye akaribishwa kutoa neno
Natumia fursa hii kuwapongeza washindi, na pia nawapongeza Jamiiforims kwa kuzindua jukwaa la Jamii check na kuandaa shindano hili la Stories of change, ambalo linasaidia kuongeza maudhui bora mtandaoni.
Natoa wito kwa watu kushiriki kuandika au kuandaa maudhui mitandaoni kwani katika ulimwengu huu wa teknolojia hiki ni kitu muhimu.
Katika mazingira haya ya kidigitali mtu anaweza kuandika chochote mtandaoni ivyo kuwepo kwa Jamii check itasaidia kuweka usahihi wa habari rasmi na kuepeusha Uzushi.
Jamii forums mmesaidia kazi ya Wizara yangu maana tutapaga sehemj ya kujua ukweli wa taarifa, kwa niaba ya Serikali Jamiiforums mmefanya kazi nzuri na mnachagia katika kuufanha mtandao kuwa salama, ndio maana nimeona nije, na mimi ni mwanachama wa JamiiForums na nasoma mabo mengi sana japo wakati mwingine nasemwa ila nasoma.
Shindano hili la Stories of Change, tangu limeanzishwa limeibua mambo mengi mazuri na yanafanyiwa kazi na Serikali, hivuo mzidi kuandika na kusema na nawahakikishia Serikali inafurahishwa na kuna sheria ya ulinzi wa taarifa binafsi unakuja na sheria hiuo ni mchango wa Jamiiforums, na wadaj wengine, hivyo Jioji ya leo natambua mchango wa Jamiiforums katika Taifa hili.
Pia katika sheria hiyo, kuna mambo yameongezeka wanataka kuwekwe usawa wa kijinsia, na nimelivhukua na nitalifanyia kazi, kwa kweli Jamiiforums inaoeta mawazo mazuri na nawapongeza katika ushiriki huu kwa jamii katika kuhakikisha jamii inakuwanna sehemu salama ya kuishi.
Nimefurahi, kuwepo hapa jioni ya leo na nawashukuru sana kwa mwaliko. Asanteni.
_____
Kwa sasa kuna mapumziko mafupi na burudani ya muziki Kabla ya zoezi la kutangaza washindi kuanza.
Maxence Melo na Mgeni Rasmi wakaribishwa kwa ajili ya kuanza kutangaza washindi
Washindi wa Stories of change
Mshindi wa tano ni philibert Moshi Bisama
Ameshinda Shilingi laki tano
Andiko lake ni: SoC 2022 - Mtoto ndani ya giza jeusi
Mshindi wa nne ni Abeid Othman
Amejishindia Shilingi milioni 1
Andiko lake ni:SoC02 - Madarasa ya TEHAMA muhimu Shuleni
Abeid Abubakar Namuuliza mtoto wangu anayesoma darasa la sita katika shule binafsi moja ya mchepuo wa Kiingereza kama wanafundishwa kompyuta. Jibu lake la hapana linaninyong’onyesha. Pengine ningeliamini kama angekuwa anasoma shule katika moja ya shule za umma, ambazo weng tunajua hali zake...www.jamiiforums.com
Mshindi wa tatu ni Nathaniel Atanas Mpasi
Amejishindia Shilingi milioni 2
Andiko lake ni: SoC 2022 - Mfumo Huru wa Kompyuta wa Kupigiana Kura. Jina La Mfumo: Fair Election (FAEL)
Mshindi wa pili ni Rayson Julius Mkelame
Amejishindia Shilingi milioni 3
Andiko lake ni: SoC 2022 - Jinsi harufu ya Simba inavyoweza kukomesha migogoro ya wakulima na wafugaji
1. Mshindi wa kwanza ni Kulwa Masanja Isenge
Amejishindia kiasi Cha Shilingi milioni 5
Andiko lake ni: SoC 2022 - Nilivyobuni kifaa cha kutatua changamoto ya malipo ya bili za Umeme kwa wapangaji
Akhsante kwa kututangazia mshindi.Ili shindano kuna kitu nyuma ya pazia...