Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu yangu samahani kidogo, hao washindi wengine number 6 mpaka 20 wapo wapi?Updates zipo, pia unaweza kutufuatilia live YouTube au Facebook
Akhsante
wamelala. jana ni mwanzo wa wikiendiMbona komenti chache sana, hizi tuzo zina hujuma nini?
Nimeona kwa kiasi kikubwa washindi ni wavumbuzi na wabunifu "Innovators" sio walioleta maandiko ya kushawishi .
Washindi wote wapo kwenye uzi, unaweza kusoma maandiko yao.Ndugu yangu samahani kidogo, hao washindi wengine number 6 mpaka 20 wapo wapi?
Wabongo utawaweza. Hata ningekua mimi ningefungua ID mpya kulinda anonymity.
Sawa ndugu yangu nimewaona.Washindi wote wapo kwenye uzi, unaweza kusoma maandiko yao.
Akhsante
Naamini hoja hizi umeweka kabla ya kusoma maandiko yote 20 yaliyoshinda, ambamo ndani yake kuna masuala ya Afya, Tamaduni, elimu, ujasiriamali nk.Nimeona kwa kiasi kikubwa washindi ni wavumbuzi na wabunifu "Innovators" sio walioleta maandiko ya kushawishi mabadiriko. Naona kuna haja katika hizi tuzo muweke kipengele cha Uvumbuzi au Ubunifu na kuwe na tuzo yake ili mtu ambaye atavumbua au kubuni kitu flani cha manufaa kwa jamii kwa kushare mawazo yake hapa JF apewe tuzo.
Ni mawazo yangu lakini.
Mkuu mimi nimesoma hoja zote.Naamini hoja hizi umeweka kabla ya kusoma maandiko yote 20 yaliyoshinda, ambamo ndani yake kuna masuala ya Afya, Tamaduni, elimu, ujasiriamali nk. Naomba uiangalie post ya kwanza kusoma nyuzi zote 20.
Lakini pia ningependa uniambie kama 'Innovation' haileti mabadiliko?
Sasa kuvote kuna maana ipi?
JamiiForums specifically semeni mnatumia vigezo vipi kupata washindi
Nimekusoma bro. Umefanya research vizuri, shukrani umenieleza vema.Mad Max
Nimeona comment yako kwenye qoute ambayo tayari ishafutwa/ushaifuta.
Nimepitia profile za washidi wa 1 hadi 5, wa 3 wametumia ID zenye vifupisho vya majina yao halisi, Mmoja ametumia jina halisi(Nathaniel Mpasi), mwingine katumia ID fake.
Kati ya hao 5, wanne wamefungua ID zao mwezi July pindi shindano lilipoanza, Mmoja(Nathaniel) yeye ID yake ni ya mwaka 2014.
Waliofungua ID mpya nina imani hawalitaki kutunza anonymity zao kwa ID fake za siku zote endapo wangeshinda, kwani ukishinda unatakiwa utoe details zako halisi kama tunavyoona walivyotangazwa kwa majina halisi.
Kwa hiyo hoja ya kusema washindi wapo kimkakati/kimchongo hapo nakataa, hawa washindi wengi wao waliandika mabandiko kadhaa ambapo wameshinda bandiko moja moja lililobora.