Kulwa Masanja Isenge anyakua milioni 5 katika Shindano la 'Stories of change' 2022

Kwahiyo id fake inakushawishije kusema tuzo zimetolewa kihalali, sioni logic hapo. Kwani mtu mgeni hawezi honga kwenye flani akapata tenda
 
Binafsi nianze Kwa kumshukuru Mungu, jamiiforums na nawashukuru wadau wote wa jamiiforums kwa kunivumilia kipindi nawafata PM kuomba kura zenu. Mnisupport sana sana, nimebahatika kuwa mshindi wa name(8).

Nawaombea Kwa Mungu Ili Kwa Muda wenu mlotumia kunipigia kura awabariki na kuwazidishia zaidi. Japo Jana sikuweza kuhudhuria kutokana na msiba wa mdogo wangu ambaye tumemzika Jana. Nawashukuru nyote.

Msichoke kutusupport ikitokea Tena mashindano hayo.

Asanteni
 
Kwahiyo id fake inakushawishije kusema tuzo zimetolewa kihalali, sioni logic hapo. Kwani mtu mgeni hawezi honga kwenye flani akapata tenda
Sijui kama umeelewa comment yangu....


Mad Max alihoji mbona hawa washindi ID zao zinashabihiana na majina yao kamili? mimi nikatoa maoni yangu vile.

Wewe ni kipi unachohisi kuwa zimetolewa kimchongo?
 
Wabongo utawaweza. Hata ningekua mimi ningefungua ID mpya kulinda anonymity.
Hata mimi pia, mwakani Mungu akijalia nitashiriki kwa mtindo huo huo

Hii ID sitaweza kuitumia maana nikija kupokea zawadi yeyote nitajulikana kwa majina halisi na watu wataanza kufukua nyuzi zilizopo kwenye ID, mengine tushaandika ni ya aibu, itakuwa fedheha bure
 
Aisee kumbe washindi walishatangazwa?
Vipi kuhusu yule aliyeleta bandiko la MAMA YANGU NI KICHAA AKANIZAA MIMI?
 
Kwa mwendo huu sitakuja kushiriki shindano lolote la JF....kwa maana naona Kuna post ambazo hazitundishi zimeshinda ..ilhali za kufundisha hazijashinda
 
Leo napenda kuangalia vitu vichache tu hapa
1. Kuna Makala ambazo hazitundishi na zimeshinda
2. Kuna uandishi usio na tija na Makala zimeshinda
3. Makala zilizoshinda nyingine hazina vigezo kulingana na vigezo vya ushindi, Makala Ina kura Moja, itashindaje?
4. Kwanini mchague majaji nyie wenyewe , hapa Max umefeli brother



 
Dah, Mwanangu UMUGHAKA hayumo ???
 
Ndugu zetu katika Mnyaaaazi wavaa Kobaz, bila Kubebwa hawatoboagi, nimeona Mmoja Tu kwenye List
 
kama ni hivyo sio haki kabisa
 
[emoji134][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…