Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #21
Weka urogweVilevile hata kuweka taarifa zozote muhimu kwenye akaunti ni hatari kwako na wanaokuzunguka/familia yako.Huwa siweki profile picture wala picha za wanafamilia kwenye akaunti.Watu wengine si wema hata kidogo.