Kumbe Aliponea Chupuchupu: Kama Kesi ingepokelewa ICC saa hizi Magufuli angekuwa jela

Nina hakika hata Kama asinge fariki, na miaka ikapita bado siku moja angetokea mtawala anaye chukia maovu , Ange mburuta korokroni tu. Huyu mzee akishirikiana na genge lake la uhalifu wali watendea watu wengi ukatili usio vumilika kabisa.
This was expected
 
Nashangaa CCM waliwezaje kumpa madaraka makubwa kichaa kama yule
 
Mungu ni mwema wazee wa escrow na uhamsho wametoka nafasi yao watachukua sabaya na bashite.
Nao waonje sabaya
Yule mzee Ruge kawalaani. Wakaone ka.a ni patamu. Kuliwa na mbu usiku kucha usiombe
 
Kweli kabisa Kama mahakama hiyo ni ya ukoo wenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…