This was expectedNina hakika hata Kama asinge fariki, na miaka ikapita bado siku moja angetokea mtawala anaye chukia maovu , Ange mburuta korokroni tu. Huyu mzee akishirikiana na genge lake la uhalifu wali watendea watu wengi ukatili usio vumilika kabisa.
Walitaka kujaribu Masalia wake hapo juzi juziSwali inalobidi tujiulize, Wasiojulikana=Magufuli? Maana since kavuta kamba hatujasikia huo upuuzi
Huyo hawamgusiNasikia anapigia simu kila mtu kujaribu Lobbying.
Hana raha kabisa.
Wameshindwa vibaya mnoo, na wakirogwa wafanye huo upuuzi wakikamatwa imekula kwao, hawatakuwa na mteteziWalitaka kujaribu Masalia wake hapo juzi juzi
ImekutachiHuu ni ushuzi umeandika.......
Mungu ni mwema wazee wa escrow na uhamsho wametoka nafasi yao watachukua sabaya na bashite.Yani hayo majangili yalikuwa yanabambikia watu kesi ambazo kimsingi wao ndio walikuwa wanazifanya. Shenz type.
Nashangaa CCM waliwezaje kumpa madaraka makubwa kichaa kama yuleUkitazama mienendo ya wateule wake na watendaji wengine waliokuwa chini yake hasa ktk nyanja ya kuvunja haki za binadamu yakiwemo matendonya kuteka watu nyara, kupora, kubaka, kubambikia watu kesi kubwakubwa, uhujumu uchumi, wizi wa mali na mateso memgine huku ukiwahoji wanadai ni maagizo kutoka juu.
Asilimia kubwa inaonesha kama ICC wangepokea Mashtaka dhdi yake Hayati Magufuli kwa ukatili uliofanyika wakati wa uchaguzi 2020 na matukio mengine saa hizi angekuwa analia na kusaga meno Mikononi mwa Gereza la kimataifa.
Ushahidi umetimia kwa Sabaya.
Yule mzee Ruge kawalaani. Wakaone ka.a ni patamu. Kuliwa na mbu usiku kucha usiombeMungu ni mwema wazee wa escrow na uhamsho wametoka nafasi yao watachukua sabaya na bashite.
Nao waonje sabaya
Shetani kafungwa minyororo kwann wasirudiNa akina Lema na Lissu watarudi
Kweli kabisa Kama mahakama hiyo ni ya ukoo wenu.Ukitazama mienendo ya wateule wake na watendaji wengine waliokuwa chini yake hasa ktk nyanja ya kuvunja haki za binadamu yakiwemo matendonya kuteka watu nyara, kupora, kubaka, kubambikia watu kesi kubwakubwa, uhujumu uchumi, wizi wa mali na mateso memgine huku ukiwahoji wanadai ni maagizo kutoka juu.
Asilimia kubwa inaonesha kama ICC wangepokea Mashtaka dhdi yake Hayati Magufuli kwa ukatili uliofanyika wakati wa uchaguzi 2020 na matukio mengine saa hizi angekuwa analia na kusaga meno Mikononi mwa Gereza la kimataifa.
Ushahidi umetimia kwa Sabaya.
Ndege wafananao. Walitaka kumkomoa Lowasa. Na kwakweli waliweza.Nashangaa CCM waliwezaje kumpa madaraka makubwa kichaa kama yule
Akupewa na ccm bali mwendazakeNashangaa CCM waliwezaje kumpa madaraka makubwa kichaa kama yule
Kafungwa kuzimu yule Joka ibilisi shetaniShetani kafungwa minyororo kwann wasirudi
Mkuu yawezekana kalipiga mahesabu kakaona isiwe tabu kakanywa sumuAu kale kazee kaliishtuka kakaona isiwe tabu kakameza sumu? Kale kajamaa kalikuwa kajanja kama sungura
Kale kazee nuksi na kakipara kake kambonyeo.Mkuu yawezekana kalipiga mahesabu kakaona isiwe tabu kakanywa sumu
Let KARMA takes its own course.....Tuwasamehe lakini wajitokeze hadharani wakiri kuwa hawatarudia tena.
Kama ile ya Arusha ni yetu piaKweli kabisa Kama mahakama hiyo ni ya ukoo wenu.
It has done its work. Fruit is sweet for Good TanzaniansLet KARMA takes its own course.....
so iz ze madamHe was an engineer of almost all evils