Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Hahaha huyo anaweza kuwa hayupo nchini muda huu.Namuona DAB akitetemeka baada ya mwenzake kuhukumiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha huyo anaweza kuwa hayupo nchini muda huu.Namuona DAB akitetemeka baada ya mwenzake kuhukumiwa
Kwahiyo mungu wenu aliwaokoa na sasa hivi mnainjoi maisha?Ogopa sana mungu maana anajua jinsi ya kuwaokoa watu wake.
Aisee!Ukitazama mienendo ya wateule wake na watendaji wengine waliokuwa chini yake hasa ktk nyanja ya kuvunja haki za binadamu yakiwemo matendonya kuteka watu nyara, kupora, kubaka, kubambikia watu kesi kubwakubwa, uhujumu uchumi, wizi wa mali na mateso memgine huku ukiwahoji wanadai ni maagizo kutoka juu.
Asilimia kubwa inaonesha kama ICC wangepokea Mashtaka dhdi yake Hayati Magufuli kwa ukatili uliofanyika wakati wa uchaguzi 2020 na matukio mengine saa hizi angekuwa analia na kusaga meno Mikononi mwa Gereza la kimataifa.
Ushahidi umetimia kwa Sabaya.
Satanic RegimeHahhaa Satan Company
Kutumbuliwa kubaya naona akili yako bado haijakawa sawa kabisa. ICC haipokei minor case kama hiyo ndugu muulize mzee wa MIGA atakupa muongozo.Ukitazama mienendo ya wateule wake na watendaji wengine waliokuwa chini yake hasa ktk nyanja ya kuvunja haki za binadamu yakiwemo matendonya kuteka watu nyara, kupora, kubaka, kubambikia watu kesi kubwakubwa, uhujumu uchumi, wizi wa mali na mateso memgine huku ukiwahoji wanadai ni maagizo kutoka juu.
Asilimia kubwa inaonesha kama ICC wangepokea Mashtaka dhdi yake Hayati Magufuli kwa ukatili uliofanyika wakati wa uchaguzi 2020 na matukio mengine saa hizi angekuwa analia na kusaga meno Mikononi mwa Gereza la kimataifa.
Ushahidi umetimia kwa Sabaya.
Mahakama ya madikteta, watesaji na wauajiUjinga kabisa
Waafrika hatuna akili ya kujitegemea
ICC ndio kitu gani ???!!
Nasikia ana uhusiano na nchi jiraniHahaha huyo anaweza kuwa hayupo nchini muda huu.
Hatumuongelei mzee wako bali tunaongelea chawa wakeoya huamini kama mzee alishatangulia mbele za haki? tujadili yenye tija kwa taifa babuu
😂😂😂😂Kama ile ya Arusha ni yetu pia
Nani?Nasikia ana uhusiano na nchi jirani
USA ndio kiranja waoMahakama ya madikteta, watesaji na wauaji
DAB ana vinasaba na majirani zetu hivyo kukimbilia huko ni easyNani?
Kule walificha na boss wake wakapigwa na mafia so hawezi tia pua.DAB ana vinasaba na majirani zetu hivyo kukimbilia huko ni easy
Huyu jamaa lazima atoroke maana historia yake inaonyesha kuna ukaribu sana na mfungwa wa pale karangaKule walipigwa na mafia so hawezi tia pua.
First choice ni South Africa
Jiwe na sokoine walikuwa na chuki na waliofanikiwa kama ulilelewa kwenye umasikini usilazimishe watz wote wapitie uliyopita.Jiwe alitaka tuishi Kama mashetani(RIP)
Inawezekana wanatengeneza mchongo wamtoe,wampeleke hata Mozambique akaishi na mchumba wake,liletabasamu si haba.Sabaya kwa nje anacheka lakini ndani ana maumivu makali sana