Kumbe Aliponea Chupuchupu: Kama Kesi ingepokelewa ICC saa hizi Magufuli angekuwa jela

Kumbe Aliponea Chupuchupu: Kama Kesi ingepokelewa ICC saa hizi Magufuli angekuwa jela

Ogopa sana mungu maana anajua jinsi ya kuwaokoa watu wake.
Kwahiyo mungu wenu aliwaokoa na sasa hivi mnainjoi maisha?

Sasa wale wakimbizi wenu kule kwa akina amsterdam mbona hawarudi?
 
Ukitazama mienendo ya wateule wake na watendaji wengine waliokuwa chini yake hasa ktk nyanja ya kuvunja haki za binadamu yakiwemo matendonya kuteka watu nyara, kupora, kubaka, kubambikia watu kesi kubwakubwa, uhujumu uchumi, wizi wa mali na mateso memgine huku ukiwahoji wanadai ni maagizo kutoka juu.

Asilimia kubwa inaonesha kama ICC wangepokea Mashtaka dhdi yake Hayati Magufuli kwa ukatili uliofanyika wakati wa uchaguzi 2020 na matukio mengine saa hizi angekuwa analia na kusaga meno Mikononi mwa Gereza la kimataifa.

Ushahidi umetimia kwa Sabaya.
Aisee!
 
Ukitazama mienendo ya wateule wake na watendaji wengine waliokuwa chini yake hasa ktk nyanja ya kuvunja haki za binadamu yakiwemo matendonya kuteka watu nyara, kupora, kubaka, kubambikia watu kesi kubwakubwa, uhujumu uchumi, wizi wa mali na mateso memgine huku ukiwahoji wanadai ni maagizo kutoka juu.

Asilimia kubwa inaonesha kama ICC wangepokea Mashtaka dhdi yake Hayati Magufuli kwa ukatili uliofanyika wakati wa uchaguzi 2020 na matukio mengine saa hizi angekuwa analia na kusaga meno Mikononi mwa Gereza la kimataifa.

Ushahidi umetimia kwa Sabaya.
Kutumbuliwa kubaya naona akili yako bado haijakawa sawa kabisa. ICC haipokei minor case kama hiyo ndugu muulize mzee wa MIGA atakupa muongozo.
 
Kujipiga risasi mwenyewe.Ni kitendo cha kumpiga risasi anaekukosoa matokeo yake Mungu anamuokoa anakuchukua wewe.
 
Kule walipigwa na mafia so hawezi tia pua.
First choice ni South Africa
Huyu jamaa lazima atoroke maana historia yake inaonyesha kuna ukaribu sana na mfungwa wa pale karanga
 
Jiwe alitaka tuishi Kama mashetani(RIP)
Jiwe na sokoine walikuwa na chuki na waliofanikiwa kama ulilelewa kwenye umasikini usilazimishe watz wote wapitie uliyopita.
Mungu uwapa watu utajiri Ili masikini apate nafuu,we ni nani umkosoe.
 
Back
Top Bottom