Kumbe aliyekuwa anaogopewa ni hayati Magufuli lakini siyo utawala wake, Magufuli Bus Terminal mambo ni vurugu tupu!

Katiba ikiwa nzuri itaheshimika tu, kumbuia watu wanaidharqu katiba kwa kuwa ina mapengo mengi na kwa upande fulani inategemea utashi wa mtu mmoja.
Hatuna utamaduni wa kuheshimu katiba tusisingizie aina ya katiba sijui ikija katiba mpya ndio watu watakuwa na huo utamaduni ambao hawakonao sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…