Kumbe Amber Ruty mwenyewe ndo huyu jomoni!

Kumbe Amber Ruty mwenyewe ndo huyu jomoni!

Mhhhh ila hakuna mtu anatia kichefu chefu kama huyu dada.
 
Kweli mjini kuna mastaa malimbukeni namba moja ndo huyu anaona fasheni kuanika hayo makalio yake nje.

Tulichelewa kukujua au ulichelewa kuja na kujua mjini? Chupi zenyewe mtumba unaokotaga Kariakoo, huo mtatoo sasa utadhani ngariba la mwendokasi.
1aa4169ed83d37a83941e501fb57ce0b.jpg

Cheki sura sasa, halafu mapicha ya uchi siku hizi hapa bongo yashakua zilipendwa na zimexpry. Nashangaa [HASHTAG]#Basata[/HASHTAG] mnachekea tu lakini ingekua Ney mngekua mshamblock kuweni makini.
dbdefecb14906e1d3e62ad3f39f87e35.jpg

Haki hiyo sweta sasa nakojoaaaaaaaaaaa
Amber Ruty unajihisi wewe ni star au tukikwambia unahisi tunakuonea wivu jomoni.

Hivi na wewe ni wa kuonewa wivu? Nakushangaa unavyodhalilisha sana na unajidhalilisha wewe na mwili wako ukidhani sifa kumbe huna lolote kuanzia unyayo mpaka vidole vya miguuni jitazame vizuri.
personal attack?[emoji381] [emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna wakati inabidi ukae kimya mkuu, inakera mwanaume anakuandikia xaxa ...now wamekuja na upuuzi wa jomoni kama huyu mtoa post

anahisi ni ujanja kama huyu amba ruty sijui kumbe upuuzi tu. sasa mwanaume unaandikaje jomoni kama si dalili ya kupumuliwa
hata hivyo sina uhakika kama mleta mada ni ridhiki,ana dalili zote za kuwa me mwenye hormone za ke...
 
Ebu weka picha zake tuone kama chupi zake ni k/koo
 
Braza Ray upo?
Kumbe mleta uzi ni Me..[emoji15] [emoji15]
Basi wazazi tunapaswa kuwalinda watoto wa kiume kuliko hata wakike, maana Duhhh..... sio kwa muandiko huu
 
eti hao ndio ma models na video Queen bongo.. daah alafu hata hawaoni tabu kuonyesha vitambi vyao kwenye runinga sijui wanazani tunavipenda, wabadilike kwa kweli
 
Back
Top Bottom